Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
1. Mchezo ulikuwa wetu kabisa ule, sema wachezaji wetu wazembe sana.
2. Kocha naye kazingua sana, amechelewa sana kufanya sub.
3. Morrison naye utoto amezidi, sasa pale baada ya kufunga analeta ubishoo.
4. Kisinda angebakia kule kule Berkane, kazi yake kukimbia tu kama swala.
5. Bangala kwanini achezeshwe namba 5 wakati akicheza sita ndio ananoga?
6. Mwamnyeto siyo mchezaji wa kuchezea Yanga.
7. Aziz Ki hamna mtu mle, tumepigwa.
8. Fei Toto anasumbua bongo tu, ugenini kawa ulojo.
9. Hasira zetu sasa tuzimalizie kwa Simba tarehe 23.
10. Nabi atuachie timu yetu.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
2. Kocha naye kazingua sana, amechelewa sana kufanya sub.
3. Morrison naye utoto amezidi, sasa pale baada ya kufunga analeta ubishoo.
4. Kisinda angebakia kule kule Berkane, kazi yake kukimbia tu kama swala.
5. Bangala kwanini achezeshwe namba 5 wakati akicheza sita ndio ananoga?
6. Mwamnyeto siyo mchezaji wa kuchezea Yanga.
7. Aziz Ki hamna mtu mle, tumepigwa.
8. Fei Toto anasumbua bongo tu, ugenini kawa ulojo.
9. Hasira zetu sasa tuzimalizie kwa Simba tarehe 23.
10. Nabi atuachie timu yetu.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app