CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
*manula.... huyu hata kumuelezea ni ngumu siku akiamua kudaka anadaka kwelikweli siku akiamu kuvurunda kama jana utafurahi mwenyewe kwa huzuni
*Boko .... Huyu naye kama Manula probably hana miaka 32 kama anavyosema
*Wawa .... Hili ndilo kubwa la magodfather huwa halipendi kuruka kama goli la pili jana utadhani mpira wa watoto wa primary school kuna possibility kwamba pasenti ya mshahara wake anawagaia baadhi ya viongozi na benchi la ufundi maana mechi na bishara alitakiwa atolewe sub akakataa akabisha na Gomez akamuogopa hakutoka badala yake akatolewa Inonga, huyu ni mojawapo ya wastaafu ambao hata kuuza mechi kubwa za afrika haoni hatari anakusanya pensheni za mwishomwisho
*Zimbwe jr ... Jana kaboa sitashangaa kama naye alikula mlungula sitashangaa hata kama ile mechi ya Kaizer Chiefs south africa naye alihusika kwenye maprekecheee, apumzishwe kwanza Gadiel naye acheze liwalo na liwe
*Kapombe...disaster kubwa jana apumzike Mwenda acheze tu maprekeche ya jana yeye na zimbwe kwa kweli duuuh,atalaaniwa sana kama alikuala mlungula
Hao watano kwa kweli wapumzike tu, lwanga naye apumzike namba sita asogee Inonga,Kennedy na Nonyango wakae katikati, Mwenda na Gadiel Michael wacheze pembeni Kakolanya golini, Kagere aanze mbele
LIWALO NA LIWE MAANA HATA UBINGWA INAVYOONEKANA MWAKA HUU NI W A UTOPWINYO
*Boko .... Huyu naye kama Manula probably hana miaka 32 kama anavyosema
*Wawa .... Hili ndilo kubwa la magodfather huwa halipendi kuruka kama goli la pili jana utadhani mpira wa watoto wa primary school kuna possibility kwamba pasenti ya mshahara wake anawagaia baadhi ya viongozi na benchi la ufundi maana mechi na bishara alitakiwa atolewe sub akakataa akabisha na Gomez akamuogopa hakutoka badala yake akatolewa Inonga, huyu ni mojawapo ya wastaafu ambao hata kuuza mechi kubwa za afrika haoni hatari anakusanya pensheni za mwishomwisho
*Zimbwe jr ... Jana kaboa sitashangaa kama naye alikula mlungula sitashangaa hata kama ile mechi ya Kaizer Chiefs south africa naye alihusika kwenye maprekecheee, apumzishwe kwanza Gadiel naye acheze liwalo na liwe
*Kapombe...disaster kubwa jana apumzike Mwenda acheze tu maprekeche ya jana yeye na zimbwe kwa kweli duuuh,atalaaniwa sana kama alikuala mlungula
Hao watano kwa kweli wapumzike tu, lwanga naye apumzike namba sita asogee Inonga,Kennedy na Nonyango wakae katikati, Mwenda na Gadiel Michael wacheze pembeni Kakolanya golini, Kagere aanze mbele
LIWALO NA LIWE MAANA HATA UBINGWA INAVYOONEKANA MWAKA HUU NI W A UTOPWINYO