Wadau mbalimbali wa muziki hapa nchini, wote kwa pamoja wamesema kuwa Prof Jay ndie msanii aliyeweza kukaa kwenye gemu muda mrefu hapa nchini kwasababu ya VVU.
kirefu cha neno VVU- Vina Vya Ukweli
Wadau mbalimbali wa muziki hapa nchini, wote kwa pamoja wamesema kuwa Prof Jay ndie msanii aliyeweza kukaa kwenye gemu muda mrefu hapa nchini kwasababu ya VVU.
kirefu cha neno VVU- Vina Vya Ukweli
Kama sio heading nsingesoma.....
Wadau mbalimbali wa muziki hapa nchini, wote kwa pamoja wamesema kuwa Prof Jay ndie msanii aliyeweza kukaa kwenye gemu muda mrefu hapa nchini kwasababu ya VVU.
kirefu cha neno VVU- Vina Vya Ukweli
Kinana Bariidihahaaa nishatoka lumumba tayari, nipo hapa Sinza kona, napata moja bariidi!