Yaweza kuwa Kikwete amerudi madarakani kwa sura nyingine?

Yaweza kuwa Kikwete amerudi madarakani kwa sura nyingine?

Kundi lililopoteza ni kipindi chao cha kuja na ramli chonganisha kwa kwa uhakika hawana tena.
Ccm asili ndo inayotuunganisha sio ile iliyokuwa inahubiri chili na uadui
 
Habari za jioni wakuu! Naamini wengi tushaanza kukubali kuwa JPM hatuko nae tena. Ni wazi kuwa maisha lazima yaendelee hivyo nimejikuta nawaza mustakabali wa taifa letu linakoelekea.

Kwanza kabisa wote tunajua kuwa JK ndo alimteua Mama Samia kuwa waziri 2010 -2015, lakini pia Ijumaa ya 26.3.2021 JK alisikika akisema yeye alihusika kuhakikisha Mama Samia anakuwa mgombea mwenza wa JPM 2015,

Pili ukifuatilia kwa ukaribu utagundua Mwinyi Jr na Samia wana ukaribu sana na hata baada ya kuapa kuwa rais Mama akimuita Mwinyi Jr kaka alimshukuru sana kwa ukaribu wake kipindi kile cha majonzi, wakati huo huo inaonekana Mwinyi Jr aliaminiwa na JK toka 2005 hadi 2015 kwa kumpa wizara mbalimbali ikiwemo wizara ya ulinzi na inasemekana alishaandaliwa kuchukua kijiti cha JPM kama yasingetokea yakutokea, hivyo tunaona kuwa JK=Mwinyi Jr=Samia.

Tatu ni kuibuka kwa kundi la Vigogo(2014 ,2021, Kigogo Kigogo nk) ambao siku zote wamekuwa wakimpinga JPM na team yake huku wakionekana kutoigusa na pengine kuisifia kwa mbali team JK (January, Nape, Ridhiwan, Membe, Nchimbi nk) kitu ambacho kimewaaminisha watu kuwa Vigogo ni team JK walio ndani na nje ya serikali ambao wanahisi kutengwa na JPM na sasa wanataka kurudisha nafasi zao . Vigogo wamekuwa wakipata taarifa hadi za Ikulu kabla hazijatolewa rasmi ikiwemo ya Kakoko kutumbuliwa ambayo wameitoa kabla ya Rais kusema hivyo inaonekana wamejikita kila sehemu na wameanza kuaminika kitu ambacho ni hatari sana pale wanapotoa taarifa zisizo sahihi kwa ajili ya maslahi yao..

Kwa muktadha huo, inaweza kuwa JK akalirudisha genge lake kwa kutumia ukaribu wake na Marais wote wawili? Mradi wa Bagamoyo na Gesi Mtwara inaweza kurudi kifisadi tena kwa kasi? Mikataba ya madini mibovu inaweza kurudi upya ? Makusanyo yanaweza rudi chini ya trioni moja ?

Sina imani kabisa na JK
Fiction not fact
 
Mkuu vipi mbona ulipotea sn .Huwa una makala nzuri Sana.Tunazihitaji Sana maana inaonekana ulimfahamu vizuri sana malehemu JPM.
 
Habari za jioni wakuu! Naamini wengi tushaanza kukubali kuwa JPM hatuko nae tena. Ni wazi kuwa maisha lazima yaendelee hivyo nimejikuta nawaza mustakabali wa taifa letu linakoelekea.

Kwanza kabisa wote tunajua kuwa JK ndo alimteua Mama Samia kuwa waziri 2010 -2015, lakini pia Ijumaa ya 26.3.2021 JK alisikika akisema yeye alihusika kuhakikisha Mama Samia anakuwa mgombea mwenza wa JPM 2015,

Pili ukifuatilia kwa ukaribu utagundua Mwinyi Jr na Samia wana ukaribu sana na hata baada ya kuapa kuwa rais Mama akimuita Mwinyi Jr kaka alimshukuru sana kwa ukaribu wake kipindi kile cha majonzi, wakati huo huo inaonekana Mwinyi Jr aliaminiwa na JK toka 2005 hadi 2015 kwa kumpa wizara mbalimbali ikiwemo wizara ya ulinzi na inasemekana alishaandaliwa kuchukua kijiti cha JPM kama yasingetokea yakutokea, hivyo tunaona kuwa JK=Mwinyi Jr=Samia.

Tatu ni kuibuka kwa kundi la Vigogo(2014 ,2021, Kigogo Kigogo nk) ambao siku zote wamekuwa wakimpinga JPM na team yake huku wakionekana kutoigusa na pengine kuisifia kwa mbali team JK (January, Nape, Ridhiwan, Membe, Nchimbi nk) kitu ambacho kimewaaminisha watu kuwa Vigogo ni team JK walio ndani na nje ya serikali ambao wanahisi kutengwa na JPM na sasa wanataka kurudisha nafasi zao . Vigogo wamekuwa wakipata taarifa hadi za Ikulu kabla hazijatolewa rasmi ikiwemo ya Kakoko kutumbuliwa ambayo wameitoa kabla ya Rais kusema hivyo inaonekana wamejikita kila sehemu na wameanza kuaminika kitu ambacho ni hatari sana pale wanapotoa taarifa zisizo sahihi kwa ajili ya maslahi yao..

Kwa muktadha huo, inaweza kuwa JK akalirudisha genge lake kwa kutumia ukaribu wake na Marais wote wawili? Mradi wa Bagamoyo na Gesi Mtwara inaweza kurudi kifisadi tena kwa kasi? Mikataba ya madini mibovu inaweza kurudi upya ? Makusanyo yanaweza rudi chini ya trioni moja ?

Sina imani kabisa na JK
Yaani MATAGA mnanichekesha. Inaonekana hamjaamini kuwa mtakatifu wenu yuko futi 6 chini! Kubalini maisha yaendelee. Wenzenu tumeshafungua ukurasa upya!
 
Habari za jioni wakuu! Naamini wengi tushaanza kukubali kuwa JPM hatuko nae tena. Ni wazi kuwa maisha lazima yaendelee hivyo nimejikuta nawaza mustakabali wa taifa letu linakoelekea.

Kwanza kabisa wote tunajua kuwa JK ndo alimteua Mama Samia kuwa waziri 2010 -2015, lakini pia Ijumaa ya 26.3.2021 JK alisikika akisema yeye alihusika kuhakikisha Mama Samia anakuwa mgombea mwenza wa JPM 2015,

Pili ukifuatilia kwa ukaribu utagundua Mwinyi Jr na Samia wana ukaribu sana na hata baada ya kuapa kuwa rais Mama akimuita Mwinyi Jr kaka alimshukuru sana kwa ukaribu wake kipindi kile cha majonzi, wakati huo huo inaonekana Mwinyi Jr aliaminiwa na JK toka 2005 hadi 2015 kwa kumpa wizara mbalimbali ikiwemo wizara ya ulinzi na inasemekana alishaandaliwa kuchukua kijiti cha JPM kama yasingetokea yakutokea, hivyo tunaona kuwa JK=Mwinyi Jr=Samia.

Tatu ni kuibuka kwa kundi la Vigogo(2014 ,2021, Kigogo Kigogo nk) ambao siku zote wamekuwa wakimpinga JPM na team yake huku wakionekana kutoigusa na pengine kuisifia kwa mbali team JK (January, Nape, Ridhiwan, Membe, Nchimbi nk) kitu ambacho kimewaaminisha watu kuwa Vigogo ni team JK walio ndani na nje ya serikali ambao wanahisi kutengwa na JPM na sasa wanataka kurudisha nafasi zao . Vigogo wamekuwa wakipata taarifa hadi za Ikulu kabla hazijatolewa rasmi ikiwemo ya Kakoko kutumbuliwa ambayo wameitoa kabla ya Rais kusema hivyo inaonekana wamejikita kila sehemu na wameanza kuaminika kitu ambacho ni hatari sana pale wanapotoa taarifa zisizo sahihi kwa ajili ya maslahi yao..

Kwa muktadha huo, inaweza kuwa JK akalirudisha genge lake kwa kutumia ukaribu wake na Marais wote wawili? Mradi wa Bagamoyo na Gesi Mtwara inaweza kurudi kifisadi tena kwa kasi? Mikataba ya madini mibovu inaweza kurudi upya ? Makusanyo yanaweza rudi chini ya trioni moja ?

Sina imani kabisa na JK
Mfuate jeipiemu

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Kikwete hakuchukua pesa za almashauri. Makusanyo yake ni m800 mpaka m700 kwa mwezi.

One of the best president. Asante MUNGU kwa JK.

UTAWALA UMEBADILIKA NA NCHI ITAENDELEA TU HATA KELELE KAMA HIZI ZIKIPIGWA.

RIP JPM.
 
Habari za jioni wakuu! Naamini wengi tushaanza kukubali kuwa JPM hatuko nae tena. Ni wazi kuwa maisha lazima yaendelee hivyo nimejikuta nawaza mustakabali wa taifa letu linakoelekea.

Kwanza kabisa wote tunajua kuwa JK ndo alimteua Mama Samia kuwa waziri 2010 -2015, lakini pia Ijumaa ya 26.3.2021 JK alisikika akisema yeye alihusika kuhakikisha Mama Samia anakuwa mgombea mwenza wa JPM 2015,

Pili ukifuatilia kwa ukaribu utagundua Mwinyi Jr na Samia wana ukaribu sana na hata baada ya kuapa kuwa rais Mama akimuita Mwinyi Jr kaka alimshukuru sana kwa ukaribu wake kipindi kile cha majonzi, wakati huo huo inaonekana Mwinyi Jr aliaminiwa na JK toka 2005 hadi 2015 kwa kumpa wizara mbalimbali ikiwemo wizara ya ulinzi na inasemekana alishaandaliwa kuchukua kijiti cha JPM kama yasingetokea yakutokea, hivyo tunaona kuwa JK=Mwinyi Jr=Samia.

Tatu ni kuibuka kwa kundi la Vigogo(2014 ,2021, Kigogo Kigogo nk) ambao siku zote wamekuwa wakimpinga JPM na team yake huku wakionekana kutoigusa na pengine kuisifia kwa mbali team JK (January, Nape, Ridhiwan, Membe, Nchimbi nk) kitu ambacho kimewaaminisha watu kuwa Vigogo ni team JK walio ndani na nje ya serikali ambao wanahisi kutengwa na JPM na sasa wanataka kurudisha nafasi zao . Vigogo wamekuwa wakipata taarifa hadi za Ikulu kabla hazijatolewa rasmi ikiwemo ya Kakoko kutumbuliwa ambayo wameitoa kabla ya Rais kusema hivyo inaonekana wamejikita kila sehemu na wameanza kuaminika kitu ambacho ni hatari sana pale wanapotoa taarifa zisizo sahihi kwa ajili ya maslahi yao..

Kwa muktadha huo, inaweza kuwa JK akalirudisha genge lake kwa kutumia ukaribu wake na Marais wote wawili? Mradi wa Bagamoyo na Gesi Mtwara inaweza kurudi kifisadi tena kwa kasi? Mikataba ya madini mibovu inaweza kurudi upya ? Makusanyo yanaweza rudi chini ya trioni moja ?

Sina imani kabisa na JK

Kufikiri JK kurudi ni sawa na kusema Raisi Samia hana nguvu kitu ambacho sio kweli. Huyu Mama kwa nguvu ya katiba anaweza kufanya lolote pale.
 
Ila una imani na Magufuli[emoji16][emoji16]View attachment 1737082
20210328_130415.jpg
View attachment 1737083
 
Kikwete hakuchukua pesa za almashauri. Makusanyo yake ni m800 mpaka m700 kwa mwezi

Waziri wa Kikwete wa TAMISEMI mama Hawa Ghasia unafikiri alikuwa anamkusanyia nani Fedha toka kwenye Halmashauri? Kama Kikwete atainfluence Serikali ya huyu mama ndio mwanzo na mwisho wake!!! DO NOT SAY YOU WERE NOT WARNED! TRANSITIONS ARE ALWAYS VERY TRICKY!!!!
 
Waziri wa Kikwete wa TAMISEMI mama Hawa Ghasia unafikiri alikuwa anamkusanyia nani Fedha toka kwenye Halmashauri? Kama Kikwete atainfluence Serikali ya huyu mama ndio mwanzo na mwisho wake!!! DO NOT SAY YOU WERE NOT WARNED! TRANSITIONS ARE ALWAYS VERY TRICKY!!!!
Mwanzo na mwisho wake unamaanisha nn boss?

Wakati unanipa jibu ukumbuke hii ni nchi, na nchi ina utaratibu wa kuishi na maraisi wastaafu. In short zisiwe conspiracy tafadhali
 
Back
Top Bottom