johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Alikuwa hashauriki, hili aliliweka bayana mwenyeweNauliza tu kwa wenye uzoefu na mambo ya teuzi
Naelewa kwamba kila zama na kitabu chake lakini naona kama mama anapata kazi ya xiada kuteua tena.
Kazi Iendelee!
Kesho ni Pentecoste.
Aisee!Wizara ya mambo ya nje ni ya kufumuliwa yote kwa kweli
Haikuwa wizara inayojua diplomasia, wao walijikita zaidi katika kutunishana misuli na majirani, matifa ya nje na taasisi za kimataifa
Kasikilize hotuba za Kabudi Bungeni na akiwa anaongea na Waandishi mambo ya Diplomasia ndio utajua kweli hakua mtu sahihi
Kumbe!Haijalishi.
Hayo ndiyo MAMLAKA, MADARAKA NA WAJIBU ya / wa Rais. Angeamua hata angeweza kuanza UPYA KABISA katika kila Teuzi bila kujali aliyekuwepo alishirikisha mtu au la!
Daaah...! Uwe na busara hata kidogo mzee hata Kama una chuki hii imeexceed limitJiwe alikuwa akiokota majitu Majalalani huko na kuyapa kazi za heshima
Matokeo yake nchi Ikawa na Siasa na Sera ya Mambo ya Nje ya Hovyo na Chafu kama jalala...
unauliza majibu ili iweje ?Nauliza tu kwa wenye uzoefu na mambo ya teuzi
Naelewa kwamba kila zama na kitabu chake lakini naona kama mama anapata kazi ya xiada kuteua tena.
Kazi Iendelee!
Kesho ni Pentecoste.
Nipate uhakika!unauliza majibu ili iweje ?
Diplomasia ni nini, ni kukubali matakwa yote ya wazungu au kusimamia mikakati ya watanzania.. Kama diplomasia ya Tanzania ilikua mbaya.Wizara ya mambo ya nje ni ya kufumuliwa yote kwa kweli...
Mataga itawachukua muda Sana kuamini kuwa tupo awamu ya 6,Diplomasia ni nini, ni kukubali matakwa yote ya wazungu au kusimamia mikakati ya watanzania.. Kama diplomasia ya Tanzania ilikua mbaya.. Ya Marekani inayovamia nchi za watu ipo kundi gani. Chuki zinawafanya mshindwe kufikiri. Hakuna hata balozi moja iliyofungwa halafu mnasema diplomasia ilikua mbaya
Nakataa tokana na hotuba zakeNauliza tu kwa wenye uzoefu na mambo ya teuzi
Naelewa kwamba kila zama na kitabu chake lakini naona kama mama anapata kazi ya xiada kuteua tena.
Kazi Iendelee!
Kesho ni Pentecoste.
Nimekuelewa bwashee!Nakataa tokana na hotuba zake
Kuna hotuba aliwakemea viongozi kutoleta majina watu furani wanaofanya vzr Kwa ajiri ya teuzi...
Mimi sio mataga ila nakuona mshamba tuu.. Maana ungetuliza kichwa ungeelewa.. Hao unaowashabikia ndio walikuchukua utumwani sasa leo ndio wamegeuka malaika.. Ni mjinga tuu ndio anaweza jiaminisha hivyoMataga itawachukua muda Sana kuamini kuwa tupo awamu ya 6,
Lakini hamjachelewa, Chato nafasi bado ipo.
Jiwe alikuwa akiokota majitu Majalalani huko na kuyapa kazi za heshima....
All in all tukiacha chuki Mwendazake ametufanyia Mambo mengi yenye tija Kama Taifa...Tukubali hakua mwanasiasa mzuri kwaio nawashauri vijana wa bavicha muache chuki mzee wetu apumzike kwa amani.Naendelea kufuatilia huu mtanange huku nakula popcorn
Uhakika anao BashiruNipate uhakika!