Ukubali ukatae wewe ni Taga kama siyo Sukuma gangMimi sio mataga ila nakuona mshamba tuu.. Maana ungetuliza kichwa ungeelewa.. Hao unaowashabikia ndio walikuchukua utumwani sasa leo ndio wamegeuka malaika.. Ni mjinga tuu ndio anaweza jiaminisha hivyo