GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Haiingii Akilini unaenda kupata Tiba ya Kiroho kwa Mtumishi wa Mungu halafu Yeye badala ya Kukuonea Huruma kama alivyokuwa Yesu Kristo anaanza Kukuambia kuwa ili Akuombee na Upone tatizo lako ulilonalo Kwanza utoe Shilingi Laki Tano au Milioni Mbili.
Kwanini GENTAMYCINE nisiendelee kwenda kwa Mganga wangu Hatari aliyeko nyuma ya Milima ya Uluguru (Matomboni) Mkoani Morogoro ambaye Yeye ukienda tu na tatizo lako anakutibia na anakuambia umpe tu Shilingi Mia Mbili ya Sarafu ya Kitanzania au Shilingi Mia Tano na uende na Mafanikio unaanza kuyaona pale pale tu?
Na ni Mganga huyu huyu nilimwomba asababishe Maafa Jangwani na Mtu akafa mara mbili mfululizo na Kuchanganyikiwa.
Kwanini GENTAMYCINE nisiendelee kwenda kwa Mganga wangu Hatari aliyeko nyuma ya Milima ya Uluguru (Matomboni) Mkoani Morogoro ambaye Yeye ukienda tu na tatizo lako anakutibia na anakuambia umpe tu Shilingi Mia Mbili ya Sarafu ya Kitanzania au Shilingi Mia Tano na uende na Mafanikio unaanza kuyaona pale pale tu?
Na ni Mganga huyu huyu nilimwomba asababishe Maafa Jangwani na Mtu akafa mara mbili mfululizo na Kuchanganyikiwa.