Yawezekana huyu ndo Secret Service counter assault team member aliyemuua jamaa aliyempiga risasi Donald Trump

Yawezekana huyu ndo Secret Service counter assault team member aliyemuua jamaa aliyempiga risasi Donald Trump

Hakika Bwana wa Majeshi atukuzwe .

Kitendo Cha Trump kujishika Sikio lake, kunapelekea Risasi iloachiliwa Tayari kumkosa kosa kumwaga Ubongo badala yake inatoboa SIKIO na kwenda kumuua mfuasi wa Trump
IMG_20240714_063954_146.jpg
 
huu mpango lazima vyombo vya ulinzi na mifumo yake ilikuwa inaujua. viongozi wakuu ngazi ya Trump sio wa kuachiwa matundu dhaifu ya kuruhusu wahalifu watimize azma yao ovu kirahisi hivyo. tukiacha uchochezi na misimamo yaje dhidi ya utawala, yeye ni rais mstaafu-itifaki za ulinzi zilitimizwa? Trump kama mgombea machachari; suala la ulinzi wake waliachiwa walinzi binafsi pekee?

BBC kuna shuhuda aliona na kutoa taarifa mapema kwa vyombo, alimuona mlengaji akimnyooshea bunduki mzee Trump bado ikaachwa ilivyo.

sijui uchambuzi wa masuala ya usalama lakini kwa kiki za US na ubora wao kiteknolojia kama wanavyoutambia ulimwengu; tunajipa uhuru kuwananga au kuwashuku huu mpango 'ulisukwa'

Wanafunzi wa demokrasia kutoka Afrika, Latin America, Bara Asia (USSR, KIDUKU) wamejifunza nini kwa 'baba wa demokrasia' duniani? vipi ni wakati sahihi kwao kuyapuuza na kuyaona kama uonevu yale matamko ya kulaani na kuweka vikwazo kwa maafisa au serikali nzima zinazohatarisha usalama, haki za binadamu?
 
The shooter was very open... Halafu sio pro... Aliinuka kidogo ndio akapiga risasi ndio maana hakupata target vizuri..
Hakuna gun detector hapo? Au mpaka akisha kuwa Potus ndio kunakuwa na hizo detectors na surveillance cams!??
Sheria za kubeba silaha zipo america ni tofauti. Haku a kitu kinaitwa gun detector kwenye such enviroment
 
Usikute alipuuzwa na huenda ndie Ali slow impact au Ali block sehem sahihi iliyotakiwa kutumika ku shoot hadi mlengaji akajikuta kwenye position iliyompa wakati mgumu kushoot straight kwenye kichwa
In fact mlengaji aliipata Tageti vizuri kabisaa.

Ndio Sababu Risasi imemtoboa Trump Sehem ya juu ya Sikio.

Ukitazama Video ile Milliseconds Kadhaa Trump aligeuza Upande Kichwa chake na hivo kupelekea Risasi kutoboa sikio na kupitaa.



Kama Trump angebaki ametizama mbele sawa na mwili wake , Ubongo ungemwagika kama ilivyokua Kwa JFK .
 
Ni wazi Wafuasi wa Trump walimuona huyu Muuaji akipanda juuu hapo na akiwa na Silaha.

Kwa kelele hizi, ni kithibitisho tosha kua.

Kumbe hata Marekan, Kuna Highest level of incompetence, negligence , ignorance , insubordination among Security secret services !! .

Hapa chini Wananchi wa Trump wanapoga kelele sekunde kadhaaa muuajianafyatua risasi

 
i think hii ni Propaganda aliyotengeneza Trump ili kugain Urais ni simple tu ametengeneza Tukio ili ionekane kuwa Amepigwa risasi na Joe biden..

So ameharibie biden ili ashinde..
A sniper Hawezi kukosa Kuchapa risasi trump na alikuwa sehemu nyeupe hivyo..
Na kwanini wamewahi kumuua wasingeacha kumuhoji?
 
Back
Top Bottom