Yawezekana narudia uzi ila next move ya Feisal ni Simba SC

Yawezekana narudia uzi ila next move ya Feisal ni Simba SC

Feitoto ameshinda[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mpemba asiyejua kingereza, amemshinda msomali msomi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
hiyo ndege sio ya Rais, ni ndege ya kwetu, halafu haya maamuzi ya mtu mmoja inabidi ifike mahali Tanzania tuyakatae. Katiba mpya ndio umuhimu wake nauona hapa, sasa hiyo ndege kwenda algeria na ni ndege ya biashara, ina maana Rais ametoa pesa kugarimia kibiashara au ameamuru tu kwamba ndege ambayo inatakiwa kuingiza pesa kibiashara iende huko? audit ya pesa hizo zinatoka wapi?za mtu binafsi, za taasisi? zinatoka kwa kifungu gani? au ukiwa Rais unaweza kutumia pesa yetu upendavyo?
Si ungehojii wakati kabla tamko LA Fei kutolewaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa mnalia nn tenaaa??
 
ukweli mchungu ni kwamba, Rais hatakiwi kuingilia timu za mpira, kama anavyoonekana. kama mkataba unasema vingine na dogo anaonyesha kiburi, hatakiwi kutulazimisha kukubaliana naye, tutaweka mfano mbaya. na hapo mchezaji yeyote atakuja na mambo ya kiswahili ya kwenda kinyume na mkataba akijua kuna Rais atamtetea. ili michezo iende mbele hatuhitaji hawa wanasiasa waingilie kwa namna yeyote, na zaidi wengi wanaona anatetewa labda kwasababu ni mzanzibari. kiburi cha huyo dogi kisimchafue hata Rais na Rais ana mambo mengi na ya muhimu kuyafanya kuliko kufualia Faisal. tujifunze hata kwa marais wa nchi zingine tu kama wanaweza kuingilia mambo kama haya.

cha pili, mashirika ya ndege haya ni bora yakataifishwa tu yote, hata bandari taifisha hadi reli taifisha ili private sector ichukue mkondo wake. kukiwa na private sector iliyoshikilia hayo huwezi kuona malalamiko au doubts as to whether malipo yamefanywa au kiongozi fulani kaagiza ndege ipeleke lemutuz Dodoma, au ipeleke utopolo algeria. biashara gani hii? (kama amelipa pesa, Mungu ambariki, ila kama sio, tunaingiliwa wazee). hapo simba nao wanasubiri kuja kupewa ndege, Lipuli wanasubiri, azam wanasubiri, kwasababu ni cha wote, kila mmoja anatakiwa atendewe hivyo hivyo kwasababu umeanzisha. hii ndio sababu tunasema mashirika ya biashara hayatakiwi kusogelewa na wanasiasa kabisa.

pia, hivi kwa viongozi wanaoumiza kichwa kama Magufuli na wengine duniani, hata huo muda wa kufuatilia mpira unaupata wapi? ndio maana tunasema 2025 tunatakiwa kufanya maamuzi ya busara sana kwa ajili ya mwelekeo wa nchi yetu. we need to be more serious than we are now.
Order imeshatolewaa na kasema apelekewe mrejesho haraka iwezekanavyoooo.

Hersi huko aliko anatafuta documents za mkataba wa Fei, tena wataachana hata bila kukutana livee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Shoga unahangaika na Nini ? . Inshu ya dogo Iko CAS unafikiri Maneno ya rais yatatekelezwa kabla kesi kuamliwa na CAS? . Kumbe mtu ukiwa [emoji304][emoji304] hata akiri unakosa !!!!?[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu nijieee taratibuuu, mbna povuu jingii hivyoo?? Umevurugwaaa weee?
Poleeeeeeh
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu nijieee taratibuuu, mbna povuu jingii hivyoo?? Umevurugwaaa weee?
Poleeeeeeh
Shoga mkuu humi jukwaani . Hebu tupe updates kuhusu OKRAH.😂😂
 
Shoga mkuu humi jukwaani . Hebu tupe updates kuhusu OKRAH.[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tuko buzzy na order ya mama kuhusu Feisal, wala usinitoe kwenye rail.
Kuhusu Okrah ukifika muda wake atazungumzwaa.

Tena mzoefuu haswaaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tuko buzzy na order ya mama kuhusu Feisal, wala usinitoe kwenye rail.
Kuhusu Okrah ukifika muda wake atazungumzwaa.

Tena mzoefuu haswaaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mzoefu wa kunywa gongo labda 😂😂😂
 
Dogo anaenda zake uarabuni, preferably Oman kwa wajomba zake
 
Kuna uzi nilishawahi kuupandisha humu kama sio kuuchangia, kuwa zile sarakasi za kipindi kile kuna wana walimchanua kuwa anatumika kidhuluma.,ila next move yake ilikua iwe Simba SC, Azam FC ilikua gharasha tu.

Na iwe na linakua.
hapana simba ni geredha ila fei na peter banda wanaenda azam
 
Rais amewaambia utopolo acheni ujinga wenu mwacheni feitoto aende simba
 
kwani mkataba unasemaje, na Rais anaposema wakalimalize, wakalimalize kinyume na mkataba? ana maanisha nini?

Rais kasema hatiki team kubwa kushindana na katoto😂😂😂
 
Mpemba asiyejua kingereza, amemshinda msomali msomi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Team kubwa haitakiwi kushindana na katoto
Ni fedheha😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom