inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Anaenda Azam Ila siyo bureFei keshashinda
Fanyeni mfanyalo mtamwachilia tuu😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaenda Azam Ila siyo bureFei keshashinda
Fanyeni mfanyalo mtamwachilia tuu😅😅
Yanga hawamuuzi 112m,usiwapangie beiHela ilishawekwa kitambo we unafikiri fei alitoa wapi 112M?
Unamkumbuka Singano ?Kuna uzi nilishawahi kuupandisha humu kama sio kuuchangia, kuwa zile sarakasi za kipindi kile kuna wana walimchanua kuwa anatumika kidhuluma.,ila next move yake ilikua iwe Simba SC, Azam FC ilikua gharasha tu.
Na iwe na linakua.
Mnamuuzia nani wakati fei kasema hakuna timu inayomtaka, yeye anavunja mkataba na kipengele cha kuvunja kinamtaka fei alipe hiyo pesa.Yanga hawamuuzi 112m,usiwapangie bei
SawaLabda angekua amekosa kombe
Yep, RamadhanUnamkumbuka Singano ?
akili unazo kweli!!!Gongowazi wamepigwa KO, lazima Feisal Salum wamuachie aende anakotaka kwenda.
Unazo wewe mpaka ukajiita Jike Dume...!akili unazo kweli!!!
Yap kiukweli Fei kiwango chake ni cha kawaida Sana na hili wataliona akianza kucheza wengi watadai kalogwa we subiri [emoji38]Rais amekosea sana, na amekuwa biased, au kwasababu kile kidogo ni kizanzibari? faiza anachotakiwa kuelewa ni kwamba, siasa hazitamsaidia, mimi sijawahi kumkubali hata siku moja afu huwa naona hajui mpira.ndio maana hata nje hawezi kwenda kwasababu ya kichwa cha kamasi kama chake.
huwezi tafsiri ID yng km huna akiliUnazo wewe mpaka ukajiita Jike Dume...!
Rais ametumia uzanzibari kwenye ili suala.Rais amekosea sana, na amekuwa biased, au kwasababu kile kidogo ni kizanzibari? faiza anachotakiwa kuelewa ni kwamba, siasa hazitamsaidia, mimi sijawahi kumkubali hata siku moja afu huwa naona hajui mpira.ndio maana hata nje hawezi kwenda kwasababu ya kichwa cha kamasi kama chake.
Akashtaki anakojua,sisi hatuvunji mkataba mpaka uishe,akae nyumbani Kama hakuna timu inayomtaka,anahangaika nini!?Mnamuuzia nani wakati fei kasema hakuna timu inayomtaka, yeye anavunja mkataba na kipengele cha kuvunja kinamtaka fei alipe hiyo pesa.
Shida ni Mkataba na siyo Yanga ilijifedhesha.Yanga walijifedhehesha sana kwa issue ya feitoto
Tuone yanga na Rais wa nchi nani zaidi, muda ni hakimu mzuri sanaAkashtaki anakojua,sisi hatuvunji mkataba mpaka uishe,akae nyumbani Kama hakuna timu inayomtaka,anahangaika nini!?
Hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Team kubwa haitakiwi kushindana na katoto
Ni fedheha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Chetu lazimaTuone yanga na Rais wa nchi nani zaidi, muda ni hakimu mzuri sana
Only 112M, msitegemee zaidi ya hapoChetu lazima