Yawezekana wanaocha dawa wakiamini watapona baada ya kuombewa na Mwamposa wengi sana wakawa wanafariki pasipo kujulikana

Yawezekana wanaocha dawa wakiamini watapona baada ya kuombewa na Mwamposa wengi sana wakawa wanafariki pasipo kujulikana

Bapalidako

Member
Joined
Aug 6, 2024
Posts
79
Reaction score
166
Iko hivi kuna watu wengi Sana,wameamua kuachana na doze za dawa wanazotumia wakiwa na imani kwamba, wamepona baada ya kuombewa na Mwamposa na baadhi ya wachungaji wa amakanisa ya kilokole

Hivi inaingia akilini mgonjwa anayetumia dawa za kufubaza virusi vya ukimwi apone kwa kuombewa tu, au mgonjwa wa presha aachane kutumi dawa baada ya kuombewa? Naamini watu wengi wanakufa kimyakimya majumbani mwao,Selikali isipokuwa makini na haya makanisa kuna nguvu kazi nyingi zinapotea bure kwa kufa huku wachungaji wanatajirika
 
Hivi inaingia akilini mgonjwa anayetumia dawa za kufubaza virusi vya ukimwi apone kwa kuombewa tu, au mgonjwa wa presha aachane kutumi dawa baada ya kuombewa? naamini watu wengi wanakufa kimyakimya majumbani mwao,Selikali isipokuwa makini na haya makanisa kuna nguvu kazi nyingi zinapotea bure kwa kufa huku wachungaji wanatajirika
Sema na wewe unaua sana lugha ya Kiswahili
 
Mimi sio muumini wa Mwamposa au nabii yeyote. Pia si muumini wa mtu yeyote anayechaji pesa yoyote ili akuuzie vifaa vya kiroho.
Ila nina msimamo wangu uko kama swali : Kama yupo Mungu anayeweza kufanya jambo basi huyo MUNGU hawezi kushindwa kufanya jambo lolote, anaweza kumponya magonjwa wa ugonjwa wowote.
Labda kama hukubali uwepo wake hapo sawa. Ila kama anaweza kuumba mtu atashindwa kumponya huyo mtu?
 
Mimi sio muumini wa Mwamposa au nabii yeyote. Pia si muumini wa mtu yeyote anayechaji pesa yoyote ili akuuzie vifaa vya kiroho.
Ila nina msimamo wangu uko kama swali : Kama yupo Mungu anayeweza kufanya jambo basi huyo MUNGU hawezi kushindwa kufanya jambo lolote, anaweza kumponya magonjwa wa ugonjwa wowote.
Labda kama hukubali uwepo wake hapo sawa. Ila kama anaweza kuumba mtu atashindwa kumponya huyo mtu?
Kwahiyo mungu amepitisha uungu wake kwa Mwamposa?, nyie wafuasi Mwamposa wapuuzi sana.
 
Mimi sio muumini wa Mwamposa au nabii yeyote. Pia si muumini wa mtu yeyote anayechaji pesa yoyote ili akuuzie vifaa vya kiroho.
Ila nina msimamo wangu uko kama swali : Kama yupo Mungu anayeweza kufanya jambo basi huyo MUNGU hawezi kushindwa kufanya jambo lolote, anaweza kumponya magonjwa wa ugonjwa wowote.
Labda kama hukubali uwepo wake hapo sawa. Ila kama anaweza kuumba mtu atashindwa kumponya huyo mtu?
Iko hivi unamuomba Mungu akuponye huku unakunywa dawa, Siyo unamuomba Mungu akuponye halafu unaacha kutumia dawa
 

Mwamposa ni mpigaji kama wapigaji wengine tu.
 
Mimi sio muumini wa Mwamposa au nabii yeyote. Pia si muumini wa mtu yeyote anayechaji pesa yoyote ili akuuzie vifaa vya kiroho.
Ila nina msimamo wangu uko kama swali : Kama yupo Mungu anayeweza kufanya jambo basi huyo MUNGU hawezi kushindwa kufanya jambo lolote, anaweza kumponya magonjwa wa ugonjwa wowote.
Labda kama hukubali uwepo wake hapo sawa. Ila kama anaweza kuumba mtu atashindwa kumponya huyo mtu?
Mkuu,Rudia kusoma Ulichoandika.Kumbrainwash Mgonjwa ni Utapeli ambao Serikali inapaswa iingilie kabla Ya Yashakahola hayajaanza...
 
Back
Top Bottom