magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Mkuu hapa unakuwa hueleweki sasa, umeuliza kwani Etoo kawahi kubeba Uefa, kwa mpenzi wa mpira huwezi uliza swali kama hilo. Hiki ulichoandika kinasound kama Etoo kabeba Uefa mara moja tu tena akiwa na Inter. Then baada ya kugundua ulivyotaka kutuingiza chaka unakuja na mada nyingine kwamba jamaa hakuwa na msaada wowote pale Inter. Really?!Nilijuwa utasema kabeba mkuu, wakati Diego Millito ndiye alikuwa engine ya inter, wakiwemo na akina sneider, samuel water n.k..huyo etoo alikuwa anasubiri kutengewa tu.inshort hakuwa na msaada!