Yeboyebo hizi mnzosuka hizi!

Jimmy Romio

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
367
Reaction score
278
Hivi jamani dada zangu hizi rasta za mnazosuka mistari ya twende kilioni style huwa zinabadilishwa baada ya mda gani. Nauliza hivi kwa sababu wengi ninaopishana nao huwa unakuta zinatoa uvundo kweli.

Kama basi mtu kaka kiti cha mbele yako kwenye daladala utajuta. Na haka kajoto kalivyokolea ni balaa tupu. Asinyeshewe mvua. lo..lo.. loh..!

SAMAHANINI LAKINI.
 
Nywele zinasukwa elfu 20-30 unategemea afumue baada ya wiki moja usawa huu??? Me ndo maana nimebaki na nywele fupi....mambo gani ya kusuka nywele zikae kichwani mwezi na nusu to 2months bila kichwa kuwekwa maji!!!!! wengine hukaa hata miezi 6 na nywele ukiuliza hapo ameosha nywele mara 3 toka asuke. hata kiafya sio nzuri............ Mwanamke mazingira...usafi muhimu
 
Kwa mwingine amenambia amesuka Rasta ndogo ndogo kwa elfu 70!
Basi sijui atafumua lini; Kazi ni kwako! Ndio maana hawaachi kujikuna vichwa!
 
Hahahahahahahaha yani wanawake me hata sijui niseme nini....,,hata kama na mm ni m/ke lakini penye ukweli lazima usemwe..... sasa mbona sioni wanawake wenzangu hapa kutoa comments zao???
 
wewe yebo zinaoshwa sana na kukaushwa vizuri na zinarudi upya
 
kwamba wote zinatema siamini. Sema dem wako mchaf kichwan kama vip anyoe ka mm.
 
Kwa mwingine amenambia amesuka Rasta ndogo ndogo kwa elfu 70!
Basi sijui atafumua lini; Kazi ni kwako! Ndio maana hawaachi kujikuna vichwa!

sabini!!! duh! alafu mchana anashindia maji!
 
zile sehemu zilizopitiwa na mistari zinao
shwaje? au mnachokonoa kwa tooth pick au pamba za maskioni? zikiwa safi na zimesukwa vimistari viduchu duchu ni tamu sana

Hebu tembelea saluni za maana utajua. Acha za Mwenge Dada karibu usuke au Ilala kwa wamasai
 
Sio wote wanao kumbuka kuziosha. wengine zinatoa uvundo na njasho la DSM. Usiombe ukutane nao kwenye daladala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…