Yedioth Ahronoth: Takriban wanajeshi 10,000 wa Israel wameuawa/kujeruhiwa katika miezi 9 iliyopita ya vita vya Israel kwenye Ukanda wa Gaza

Mnajifarij na habar za uongo..ismail yuko na mabikra zake saizi
 
Brother usibishe huo ni uongo kabisa taarifa niko nayo ni zaidi ya elfu 10 mimi niko kwenye group zote brigades watoa taarifa zao hadi vifo vya hamas vinatolewa humo hawafichi kitu tena wanarekod video zipo ambazo hazitizamiki wanajeshi wa Israel wanadhalilishwa sana yaani battle ya ardhini hawawezi wengi ni vijana wadogo mno. Wao kinacho wasaidia ni air force wanadondosha then wanakimbia
 
U
Unaambiwa hakuna Hamas hata mmoja kauwawa wanaouliwa ni wanawake na watoto tu.Viva wana muqawama wa hamas.
Hivi Houthi wako wapi siku hizi?Siwasikii kabisa!
 
Scripts from masjid ubwabwa in which the source is also the main contributor showing how unrealistic the information is.
 
Nachojua. Israel imepata hasara lakini sio wanajeshi 10000. Hiyo ni idadi kubwa sana kwa jeshi la viwango vya israel.
Jeshi la viwango gani
Israhell kiwango chake kwenye midia ni A+ ila kwenye uhalisia ni -D bure kabisa
Kukomboa mateka wao wameshindwa mwaka sasa haya hawataki mateka kumaliza vita wameshindwa mwaka sasa
Angalizo israhell anapigana na kaeneo tu
 
Hawataki kujiunga na jeshi wanajua wanaenda kufa.


View: https://x.com/suppressednws/status/1820395398550135065?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Uongo upo wapi? Hujui lolote jinga kabisa.

View: https://x.com/globeeyenews/status/1820040267468271664?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Yaani wewe upo Rungwe unapingana na Waisrael wenyewe.

The names of tens of thousands of Israeli soldiers are listed among the dead or wounded in the ongoing conflict in the Gaza Strip, as per Israeli newspaper Yedioth Ahronoth.

In a report published today, Sunday, the Israeli newspaper revealed that at least 10,000 Israeli soldiers have been killed or injured during the prolonged months of combat in the Gaza Strip.

The newspaper highlighted that approximately a thousand soldiers are added to the ranks of those physically and mentally wounded in the Israeli military's rehabilitation department each month, according to departmental data.

Despite these staggering numbers, both the Knesset and the government have proceeded with redrafting and passing legislation to extend mandatory military service, leaving regular soldiers in a state of significant frustration, as per Israeli media.
 
U

Unaambiwa hakuna Hamas hata mmoja kauwawa wanaouliwa ni wanawake na watoto tu.Viva wana muqawama wa hamas.
Hivi Houthi wako wapi siku hizi?Siwasikii kabisa!
Unaambiwa na nani? Wewe ndiyo mvivu wa kutafuta habari mbona Hamas wanatangaza vifo kibao tu vya wanajeshi wao.

Wayemen wamefunga Red Sea wewe utawasikia wapi BBC au CNN?

Marekani katoa kila ofa pamoja na ahadi kibao waache vita na wasishambulie meli Yemen wamemwambia sisi hatutaki chochote kutoka kwenu waambie Israel waondoke Gaza na sisi tutaacha vita๐Ÿ˜€
 
Hamas wamekufa wangapi??
Yaani hushangai Gaza ilivyogeuzwa kifusi??
 
Hamas wamekufa wangapi??
Yaani hushangai Gaza ilivyogeuzwa kifusi??

Unakimbia kuniambia ni wapi Yesu alisema Mimi ni Mungu niliyevaa nyama Za binadamu?
 
Unakimbia kuniambia ni wapi Yesu alisema Mimi ni Mungu niliyevaa nyama Za binadamu?
Narudia Tena YESU Aliposema Yeye ni MUNGU!
๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
John 14:8-9
[8]Filipo akamwambia, Bwana, utuonyeshe Baba, yatutosha.

[9]Yesu akamwambia, Mimi nimekuwapo pamoja nanyi siku hizi zote, wewe usinijue, Filipo? Aliyeniona mimi amemwona Baba; basi wewe wasemaje, Utuonyeshe Baba?

muham mad aka allah naye anakubali YESU ni NENO NA ROHO YA MWENYEZI MUNGU!
Sasa nitajie Mtume au Nabii Aliyetambulishwa Kwa Watu Kuwa yeye ni NENO NA ROHO YA MWENYEZI MUNGU ๐ŸŽค
๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
: ุฅูุฐู’ ู‚ูŽุงู„ูŽุชู ุงู„ู’ู…ูŽู„ูŽุงุฆููƒูŽุฉู ูŠูŽุง ู…ูŽุฑู’ูŠูŽู…ู ุฅูู†ู‘ูŽ ุงู„ู„ู‘ูŽู‡ูŽ ูŠูุจูŽุดู‘ูุฑููƒู ุจููƒูŽู„ูู…ูŽุฉู ู…ู‘ูู†ู’ู‡ู ุงุณู’ู…ูู‡ู ุงู„ู’ู…ูŽุณููŠุญู ุนููŠุณูŽู‰ ุงุจู’ู†ู ู…ูŽุฑู’ูŠูŽู…ูŽ ูˆูŽุฌููŠู‡ู‹ุง ูููŠ ุงู„ุฏู‘ูู†ู’ูŠูŽุง ูˆูŽุงู„ู’ุขุฎูุฑูŽุฉู ูˆูŽู…ูู†ูŽ ุงู„ู’ู…ูู‚ูŽุฑู‘ูŽุจููŠู†ูŽ

(AL I'MRAN - 45)
Na pale Malaika walipo sema: Ewe Maryamu! Hakika Mwenyezi Mungu anakubashiria. kwa neno litokalo kwake. Jina lake ni Masihi Isa mwana wa Maryamu, mwenye hishima katika dunia na Akhera, na miongoni mwa walio karibishwa.
 


Unaleta maneno ya sijui Filipo akamwambia , huyo anayesema hapo unamjua wewe na kanisa lako hayo si maneno ya Yesu

Maneno ya alimwambia babu Flipo au babu Paulo , na hadithi za Hapo mwanzo kulikuwa na neno, hizo hadithi wapeni hao vipofu wenzenu kanisani

Mimi nataka kumsikia Yesu mwenyewe anasema mimi ni mungu niliyevaa mwili wa kibinaadamu , sio umsemee wewe na , wazee wa kanisa lako



Nilikuambia Lete maneno ya Yesu mwenyewe anasema Mimi Yesu ni mungu niliyevaa nyama za kibinaadamu ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ