Kuna dogo mmoja huwa nikimkumbuka nacheka sana,alikuwa anaima ile sentence ya ubeti wa kwanza hivi;"vitusu vinanukiaa aaa",vitusu akimaamisha vitumbua!Teh,teh,teh!
yaelekea we kikongwe sana mkuu,mwaka huo,wengne 2likua ha2jafkria hata kuzaliwa!Yani naandika hapa huku nacheka sana!Wimbo huu wa Mory Cante(sijui nimepatia spelling za hili jina!)ndo nausikia kwenye kituo kimoja cha radio muda huu,nakumbuka kama sikosei kwa mara ya kwanza nilipokuwa nausikia mwaka 1987 tulikuwa na michezo ile ya baba na mama,tulikuwa hatujali kama huo ubaba na umama uliwahusisha ndugu,na sio siri hata ile "michezo" ya baba na mama!!(naimani Mungu ametusamehe)Au mnabisha?Nimecheka sana!
yaani nyie ndo hamkufkria kuzaliwaaa? Au wazazi ndo hawakufikiria kuwazaeni? Embu niweke sawa hapo.yaelekea we kikongwe sana mkuu,mwaka huo,wengne 2likua ha2jafkria hata kuzaliwa!
sana tu. Ukiona siku imeanza kwa tabasam bashasha basi ujue kila utakalo lifanya siku hiyo litakuwa powaa.Teh,teh,teh.....Kutabasam asubuhi kuna utam wake!
dah!nimechemsha kujieleza,ni 2likua ha2jafikiriwa kuzaliwa.yaani nyie ndo hamkufkria kuzaliwaaa? Au wazazi ndo hawakufikiria kuwazaeni? Embu niweke sawa hapo.