jozaa KYLLA
Member
- Sep 7, 2012
- 9
- 0
kuna mdau alitoaga wazo la kuweka interview kabla mtu hajaingia humu jf...nlimbishia lakin sasa naona umuhimu wake....LUGHA MBOVU KUANDIKA HAJUI SIJUI NANI ALIMSHIKA MKONO WAKATI ANAINGIA HUMU.....mkuu kwanza rekebisha lugha yako kwa maana umetumia lugha mbovu mno!!! kama kuandika huwez nkikwambia ziliko utapataje???Ifi ii kichwa angu imelala au n muhas ndo imelala. Mbona hiyo majina ya pipo silisochaguliwa na tcu kwenda muhas siioni kwa net ya muhas. Ebu saidia hii kichwa ndugu. "che pasua sana kichwa ati" naeza chelewa sule afu ii kitu inaita karo hesib saidia bana mutu iendelee kimasomo ati.