Yele yele yele yeeele!!!

Yele yele yele yeeele!!!

jozaa KYLLA

Member
Joined
Sep 7, 2012
Posts
9
Reaction score
0
Ifi ii kichwa angu imelala au n muhas ndo imelala. Mbona hiyo majina ya pipo silisochaguliwa na tcu kwenda muhas siioni kwa net ya muhas. Ebu saidia hii kichwa ndugu. "che pasua sana kichwa ati" naeza chelewa sule afu ii kitu inaita karo hesib saidia bana mutu iendelee kimasomo ati.
 
unaleta utani hapa eeh ur not serious
 
Ero najua ati imeniacha hoi hiyo kisaili ya masai,jf saidia hi mutu,ili isiachie zakaria zake nje,
 
Ifi ii kichwa angu imelala au n muhas ndo imelala. Mbona hiyo majina ya pipo silisochaguliwa na tcu kwenda muhas siioni kwa net ya muhas. Ebu saidia hii kichwa ndugu. "che pasua sana kichwa ati" naeza chelewa sule afu ii kitu inaita karo hesib saidia bana mutu iendelee kimasomo ati.
kuna mdau alitoaga wazo la kuweka interview kabla mtu hajaingia humu jf...nlimbishia lakin sasa naona umuhimu wake....LUGHA MBOVU KUANDIKA HAJUI SIJUI NANI ALIMSHIKA MKONO WAKATI ANAINGIA HUMU.....mkuu kwanza rekebisha lugha yako kwa maana umetumia lugha mbovu mno!!! kama kuandika huwez nkikwambia ziliko utapataje???
kwa msaada:::: matokeo ya muhas hayapatikani jf nenda kwenye web yao huko au google utayapata!!!! ABOVE ALL KARIBU SANA JF!!
 
Join Date : 7th September 2012
Posts : 3
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given0
mi nahisi alikua anajifunza kupost na kutumia jf...karibu sana....ila lugha uliyotumia inaboa...
 
ivi jamani mbona mi simuelewi huyo anamaanisha nini?
 
leo ndo naona kwa mara ya kwanza rafudhi inaaffect mwandiko poster jipange!
 
Du!!! humu ndani kasheshe. ila ndo tunaelimika kwa stail hiyo. saluti wanajf
 
YANI KILA NIKIIONA HII POST NAPATA KICHEFU CHEFU.....mods sijui mko wap!!!
 
Back
Top Bottom