Hujui kwamba houthi alisafirisha drone zaidi ya kilomita 2000 na ikaenda kupiga tel aviv?Its Good kusema Israel hajashambulia paza basi sauti ili waarabu waanze kushambuliana wenyewe kwa wenyewe... some people will support you for this Taqiyya hahaha
Usumbufu wa Houth wa Yemen hausumbui sana kivile Israel.. Egypt ndio kala hasara mno kuliko maelezo na Nduguze Muslim wa Houthi wa Yemen wanadinda tu.. and jeuri nyingi kumbe anga lake juepe kama tui la nazi unaangusha chochote tu kinatua salama salimini
MadrasaYemen bwana ajui amshike nani mnyonge wake.
Kuna siku utasikia yemen kaionya rwanda
MadrasaHivi vijamaa vinavyochimbaga mkwala unaweza kuhisi vinauwezo kweli kumbe wakivimwagia Moto mkali wiki moja vinaanza kutulilia mpaka tuliopo huku nyalugusu tuvihurumie
Ile opereshen imefanywa na NATO nzima. Hata Saudi Arabia wamesaidia katika kupigwa Wayemeni.Wanaukumbi.
โ ๏ธ ๐๐ซ๐๐๐ค๐ข๐ง๐ ๐๐๐ฐ๐ฌ โ ๏ธ
๐๐๐ฆ๐๐ง ๐ฐ๐๐ซ๐ง๐ฌ ๐๐ญ๐๐ฅ๐ฒ ๐๐จ๐ซ ๐ญ๐ก๐ฌ๐ ๐โฆ
Yemen imeionya Italia kuwa itashambulia kambi ya Italia huko Djibouti ikiwa itaunga mkono operesheni za Israel.
Ndege za Italia zilisaidia kujaza mafuta ndege za Israel kushambulia Yemen...
View: https://x.com/iranspec/status/1816471284387312063?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Upo sahihi kabisa but hilo la vibaraka katika nchi hizo zote kuondoka ndo ngumu ukizingatia nchi hizo ulizotaja zinatawaliwa Kifalme ukiiondoa Misri.Ile opereshen imefanywa na NATO nzima. Hata Saudi Arabia wamesaidia katika kupigwa Wayemeni.
Egypt wanaisaidia Israel, Saudi Arabia, Jordan kuiangamiza Palestina na kutaka wawekwe vibaraka wa israel, kama walivyo wao, katika nchi zote zinazoisaidia Palestine.
Hii vita haina mwisho wala suluhisho, mpaka israel iwachie ardhi yote ya Palestina na tawala zao kama Saudi Arabia, Jordan, Egypt, UAE zisiwepo, hizo nchi zitawaliwe na wenye nchi zao, siyo hao mazayuni.
Na wao waalikane sasa wanasubiri nn waalikane waivamie Israel waitoe pale si mnasemaga iran anamuweza marekani na ulaya yote si aende sasa auKuna bwege hapa alituambia F35 inaweza kutoka Israel kwenda nakurudi bila kuwarefuel nilimjibu kuwa kwa namna navyo zifahamu ndege za kivita haiwezekani mpaa ziwe refuel.
Akajidai Israel ana technology ๐
Mimi na uhakika kila siku zikienda Yemen watafatilia footprint za hizo ndege lazima wameshiriki nchi za kiarabu kuidhuru Yemen kama si Saud Arabia au Egypt pamoja na Jordan, itakuwa ajabu kubwa sana.
Israel anakuzwa tu hilo dola la kifake halijawahi ingia vita bila kusaidiwa.
dogo tulizana ataondoka taratibu kama alivyo kuja taratibu.Na wao waalikane sasa wanasubiri nn waalikane waivamie Israel waitoe pale si mnasemaga iran anamuweza marekani na ulaya yote si aende sasa au
Ndio raha ya kua na maswahaba. Israeli inapendwa mashallah. Ndomana hawataki mpendwa wao adhurike wanamsaidia tu.Kuna bwege hapa alituambia F35 inaweza kutoka Israel kwenda nakurudi bila kuwarefuel nilimjibu kuwa kwa namna navyo zifahamu ndege za kivita haiwezekani mpaa ziwe refuel.
Akajidai Israel ana technology ๐
Mimi na uhakika kila siku zikienda Yemen watafatilia footprint za hizo ndege lazima wameshiriki nchi za kiarabu kuidhuru Yemen kama si Saud Arabia au Egypt pamoja na Jordan, itakuwa ajabu kubwa sana.
Israel anakuzwa tu hilo dola la kifake halijawahi ingia vita bila kusaidiwa.
Isi ambao ni magaidi wa kiislam sindio eehNdio raha ya kua na maswahaba. Israeli inapendwa mashallah. Ndomana hawataki mpendwa wao adhurike wanamsaidia tu.
Kuna uzi humu wamesema hadi ISI wanawasaidia israel.
Israel anasaidiwa sababu ni omba omba we huoni anavyo lia nipeni silaha kama mitoto inayo lilia uji ๐Ndio raha ya kua na maswahaba. Israeli inapendwa mashallah. Ndomana hawataki mpendwa wao adhurike wanamsaidia tu.
Kuna uzi humu wamesema hadi ISI wanawasaidia israel.
Wacha wa refuel ndege za Israel tena, uone hapo Djibouti kama atabaki Italy au France.Ukimshambulia Djibouti unakuwa umeishambulia Africa na France kipigo kizito kitafuatia kwa hao wala Murungi.
Chuki zenu pelekeni kule tuachieni Afrika yetu.Wacha wa refuel ndege za Israel tena, uone hapo Djibouti kama atabaki Italy au France.
Si ajabu hata yule Ismaรฏl Omar Guelleh watamchukua kama pasal ๐
wanawavutia kasi, kama manati, wakija kuivuta, watapigwa kama ngoma.Hao magaidi shida sana. Muda unakuja watakuja kuponza akina mama na watoto wa Yemen kwa sababu watatafuta hifadhi kwao.
Israel ina deal na wakaazi wa Gaza, yaani lazima wawe wa DemoNashangaa israeli inawalea hao mbuzi.Hao ilitakiwa wapewe kipigo kikali mpaka wakikohoa wanatoa moshi wa bomu.Israel piga hao mende mpaka yemeni iwe flat na sehem ya kokoto nyingi maneener zao.
Zanzbar karibu yote ni Waislam 90% wapi wamesafishwa? Afu mimi hata zanzbar sijawahi kufika ๐Waisrael hamtawaweza mtaishia kuuwawa tu kama mlivyosafishwa Zanzibar wakati wa mapinduzi.
Polepole Uisilamu wa msimamo mkali unazidi kutokomea hujasikia kuwa bila Waisilamu Breweries zingefungwa?๐Zanzbar yote ni Waislam wapi wamesafishwa? Afu mimi hata zanzbar sijawahi kufika
Uislam ni imani hao wanao enda kulewa hao wana majina tu yakislamu. Kwa hio umefurahi kuona walevi wanazidi kama yule Paulo wengine wanasema alishiriki kutaka kumuwa Yesu, afu mara akamuota anampa utume, mimi na amini hakuwahi kumuona Yesu alimuona shetani ๐Polepole Uisilamu wa msimamo mkali unazidi kutokomea hujasikia kuwa bila Waisilamu Breweries zingefungwa?๐
Hao ndio Waisilamu wasiolipua na kuua Watu Waisilamu safi wanywa Konyagi sio kama ninyi Siasa kali wapenda shari za kuchinjana.Uislam ni imani hao wanao enda kulewa hao wana majina tu yakislamu