Hujui kwamba houthi alisafirisha drone zaidi ya kilomita 2000 na ikaenda kupiga tel aviv?Its Good kusema Israel hajashambulia paza basi sauti ili waarabu waanze kushambuliana wenyewe kwa wenyewe... some people will support you for this Taqiyya hahaha
Usumbufu wa Houth wa Yemen hausumbui sana kivile Israel.. Egypt ndio kala hasara mno kuliko maelezo na Nduguze Muslim wa Houthi wa Yemen wanadinda tu.. and jeuri nyingi kumbe anga lake juepe kama tui la nazi unaangusha chochote tu kinatua salama salimini