Yemen imeionya Italia itaishambulia.

Kweli kabisa tunaona taifa teule lenu linavyo jibrand hata ISIS na boko haramu hawaoni kitu.
 
Punguzeni Chuki dhidi ya Dini na Imani nyingine zama za kusambaza Dini kwa Upanga na sasa kwa Mabomu zimeisha.
Unanikumbusha ukristo ulivyo tumia panga, hivi hujui dini yenu ilianza kutumia mapanga haswa sehemu za Romania, hebu fatilia ukristo ulivyo sambazwa kwa upanga hata bibilia zenu zilitema cheche 😄

Do not suppose that I have come to bring peace to the earth. I did not come to bring peace, but a sword. (Matthew 10:34)
 
Watakwambia umeielewa vibays Bible. Huwezi kuilewa bible bila ya kufunuliwa na roho "mtukutu"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…