Yemen imeionya Italia itaishambulia.

Yemen imeionya Italia itaishambulia.

Umeambiwa ukikosoa dini za wengine ndo tutafuata ya kwako?
Sisi wala hatuna haja ya kukosoa dini yako kwa sababu yenyewe inajibrand kupitia houthi,Hamas,Isis,Hizbullah,Boko haram,Alshabaab na vitendo vya kikatili vya chuki ya waziwazi kwa Mayahudi na Wakristu.
Dini inayokufanya usiwe mtu bora achana nayo
Kweli kabisa tunaona taifa teule lenu linavyo jibrand hata ISIS na boko haramu hawaoni kitu.
 
Punguzeni Chuki dhidi ya Dini na Imani nyingine zama za kusambaza Dini kwa Upanga na sasa kwa Mabomu zimeisha.
Unanikumbusha ukristo ulivyo tumia panga, hivi hujui dini yenu ilianza kutumia mapanga haswa sehemu za Romania, hebu fatilia ukristo ulivyo sambazwa kwa upanga hata bibilia zenu zilitema cheche 😄

Do not suppose that I have come to bring peace to the earth. I did not come to bring peace, but a sword. (Matthew 10:34)
 
Unanikumbusha ukristo ulivyo tumia panga, hivi hujui dini yenu ilianza kutumia mapanga haswa sehemu za Romania, hebu fatilia ukristo ulivyo sambazwa kwa upanga hata bibilia zenu zilitema cheche 😄

Do not suppose that I have come to bring peace to the earth. I did not come to bring peace, but a sword. (Matthew 10:34)
Watakwambia umeielewa vibays Bible. Huwezi kuilewa bible bila ya kufunuliwa na roho "mtukutu"
 
Back
Top Bottom