Yemen imeionya Italia itaishambulia.

Yemen imeionya Italia itaishambulia.

Ile opereshen imefanywa na NATO nzima. Hata Saudi Arabia wamesaidia katika kupigwa Wayemeni.

Egypt wanaisaidia Israel, Saudi Arabia, Jordan kuiangamiza Palestina na kutaka wawekwe vibaraka wa israel, kama walivyo wao, katika nchi zote zinazoisaidia Palestine.

Hii vita haina mwisho wala suluhisho, mpaka israel iwachie ardhi yote ya Palestina na tawala zao kama Saudi Arabia, Jordan, Egypt, UAE zisiwepo, hizo nchi zitawaliwe na wenye nchi zao, siyo hao mazayuni.
mnapenda kukuza mambo
 
Hao ndio Waisilamu wasiolipua na kuua Watu Waisilamu safi wanywa Konyagi sio kama ninyi Siasa kali wapenda shari za kuchinjana.
Uislam na kuchinjana wapi na wapi hao wakuchinjana ni mafunzo ya kina Paulo a.k.a Wayahud. We umesahau hata mungu wawakristo walimtundika msalabani, ambao nyie mnaubudu.
 
Hao magaidi shida sana. Muda unakuja watakuja kuponza akina mama na watoto wa Yemen kwa sababu watatafuta hifadhi kwao.
Bikira 72 na milungi zinaharibu ubongo( uwezo wa kufikilia) changanya na mafundisho ya madrasa
 
yaani pigo moja tu la myahudi, hadi leo hawana hata mafuta ya kuendeshea bodaboda, wakipiga mara 10 hivi itakuwaje? wamefyata mkia imebaki kupiga mkwara tu. petrol station siku ya kwanza tu zilijaa watu wamepanga foleni baada ya matank ya mafuta kulipuliwa.
 
Kuna bwege hapa alituambia F35 inaweza kutoka Israel kwenda nakurudi bila kuwarefuel nilimjibu kuwa kwa namna navyo zifahamu ndege za kivita haiwezekani mpaa ziwe refuel.

Akajidai Israel ana technology 😄

Mimi na uhakika kila siku zikienda Yemen watafatilia footprint za hizo ndege lazima wameshiriki nchi za kiarabu kuidhuru Yemen kama si Saud Arabia au Egypt pamoja na Jordan, itakuwa ajabu kubwa sana.

Israel anakuzwa tu hilo dola la kifake halijawahi ingia vita bila kusaidiwa.
Sasa Yemen si ampige myahudi! Kwa nini ahangaike na Italy?
 
Uislam ni imani hao wanao enda kulewa hao wana majina tu yakislamu. Kwa hio umefurahi kuona walevi wanazidi kama yule Paulo wengine wanasema alishiriki kutaka kumuwa Yesu, afu mara akamuota anampa utume, mimi na amini hakuwahi kumuona Yesu alimuona shetani 😄

Afu mafunzo yake hayaendani na Yesu kabisa.


View: https://youtu.be/3DY-t_Fwxv0?si=jpCUAJLas-LJvsTU

Paulo aningiaje kwenye kipigo cha magaidi ya Kiislam?
 
Ile opereshen imefanywa na NATO nzima. Hata Saudi Arabia wamesaidia katika kupigwa Wayemeni.

Egypt wanaisaidia Israel, Saudi Arabia, Jordan kuiangamiza Palestina na kutaka wawekwe vibaraka wa israel, kama walivyo wao, katika nchi zote zinazoisaidia Palestine.

Hii vita haina mwisho wala suluhisho, mpaka israel iwachie ardhi yote ya Palestina na tawala zao kama Saudi Arabia, Jordan, Egypt, UAE zisiwepo, hizo nchi zitawaliwe na wenye nchi zao, siyo hao mazayuni.
Alaf we mdada ni kwanini unapenda sana vita ?
 
Watoto wa Quran wanacheksha sana wakiwa wanatoa Mikwara.. kile kisasi chao bado wanakitoa kwa mdomo tu bila vitendo.. ila at least wanajigamba and nasikia wameidhisha sikukuu ya kuua Muisrael for the first time katika historia yao ya vita... Sherehe zitafanyika kila mwaka
Hahaaaaa wajukuu wa allah ni wa kuwaonea huruma tu. Ona wanavyojiliza humu JF.
 
Alaf we mdada ni kwanini unapenda sana vita ?
Wajukuu wote wa allah kwa binti zake wale watatu huwa wana majini yanayotaka damu ndio maana wanapenda vita ili damu imwagike. Huyo mdada yeye ana Jini Maimuna ndio maana anapenda vita.
 
Wajukuu wote wa allah kwa binti zake wale watatu huwa wana majini yanayotaka damu ndio maana wanapenda vita ili damu imwagike. Huyo mdada yeye ana Jini Maimuna ndio maana anapenda vita.
Hii jamii ingekuwa na nguvu ingetutesa sana tusio wa imani hiyo.
Inapenda sana kupigania na wenye imani tofauti na yao.
Ni kwamba haina upendo kwa wengine.
 
Alaf we mdada ni kwanini unapenda sana vita ?
Unataka kukataa ukweli, hakuna vita sasa hivi mashariki ya kati? Hakuna vita sasa hivi Afrika?

Jiulize kwanini Mashariki ya kati na Afrika tu ndiyo vita haziishi? Labda ukipata jibu hutaukwepa ukweli.
 
Sasa Yemen si ampige myahudi! Kwa nini ahangaike na Italy?
Tulizana usiwe na pupa nani kakuambia Yemen hata mpiga Israel? We hujui huko Israel wanaharisha kabla hata hazijafika hizo Missiles na Drones.

Kipigo kinakuja kaeni mkao wa kuliwa.

We unadhani Yemen kama yule Israel hata hujui wapi target za Yemen, Israel alicho fanya Yemen ni kwenda ripua mantaki ya mafuta ili aonekane kapiga Yemen, au silaha zake zinaleta moto mkubwa 😄 hata mimi nikipiga hayo matank kwa kijiti cha kiberiti yatawaka moto tu.

Israel huwa ni show off anatafuta sehemu apige na huku anafahamu tv channel zitaonyesha, kuwa silaha zake zina mripuko mukbwa. Typical bollywood acting, kama alivyo zowea kupiga majumba ya watu. Akipiga yale majumba kuna gas cylinder zitaripuka ilikuonyesha silaha zake ni moto.

Sa we akilini kwako mtu apige majumba na kuna magas ya kupikia yamo mle, siyatachangia kuongeza mripuko, na ndivyo alivyo fanya kule Yemen, karipua matank ili moto uwake mkubwa, hakugusa hata silaha ya Yemen 😄

Wayemen siku mbili tu walizima huo moto, bila kusaidiwa na mtu na vitu vimerudi kufanya kazi kama kawaida.
 
Paulo aningiaje kwenye kipigo cha magaidi ya Kiislam?
Hapo tulikuwa tunaongelea ulevi, mkristo mwenzako anafurahi kuona Zanzbar ulevi unauzwa nikamwabia wafuasi wa Paulo wanaupenda ushetani sababu Paulo aliliota lishetani linamuambia eti lenyewe Yesu 😄

Saul alikuwa muwaji yule mara kawa Mtume, vichaa kweli ndio watamini. We huoni hilo shetani lenu mafunzo yake tofauti na Yesu.


View: https://youtu.be/3DY-t_Fwxv0
 
Uislam na kuchinjana wapi na wapi hao wakuchinjana ni mafunzo ya kina Paulo a.k.a Wayahud. We umesahau hata mungu wawakristo walimtundika msalabani, ambao nyie mnaubudu.
Punguzeni Chuki dhidi ya Dini na Imani nyingine zama za kusambaza Dini kwa Upanga na sasa kwa Mabomu zimeisha.
 
Israel anasaidiwa sababu ni omba omba we huoni anavyo lia nipeni silaha kama mitoto inayo lilia uji anae ombwa na Baba wa mataifa yote. Marekani pekee. Waliobaki ni shobo zao dhidi ya taifa tukufu Israel. S

Israel anasaidiwa sababu ni omba omba we huoni anavyo lia nipeni silaha kama mitoto inayo lilia uji 😄
anae ombwa ni Baba wa mataifa yote. Marekani pekee. Waliobaki ni shobo zao dhidi ya taifa tukufu Israel. Na akipewa hafanyi makosa israel wanajua kupambana Mashallah
 
Uislam ni imani hao wanao enda kulewa hao wana majina tu yakislamu. Kwa hio umefurahi kuona walevi wanazidi kama yule Paulo wengine wanasema alishiriki kutaka kumuwa Yesu, afu mara akamuota anampa utume, mimi na amini hakuwahi kumuona Yesu alimuona shetani 😄

Afu mafunzo yake hayaendani na Yesu kabisa.


View: https://youtu.be/3DY-t_Fwxv0?si=jpCUAJLas-LJvsTU

Umeambiwa ukikosoa dini za wengine ndo tutafuata ya kwako?
Sisi wala hatuna haja ya kukosoa dini yako kwa sababu yenyewe inajibrand kupitia houthi,Hamas,Isis,Hizbullah,Boko haram,Alshabaab na vitendo vya kikatili vya chuki ya waziwazi kwa Mayahudi na Wakristu.
Dini inayokufanya usiwe mtu bora achana nayo
 
Back
Top Bottom