Yemen: Tunawasubiri kwa hamu Marekani Red Sea

Yemen: Tunawasubiri kwa hamu Marekani Red Sea

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Afisa mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Ansarullah ya Yemen amesema vikosi vya jeshi la nchi hiyo vipo tayari kuingia katika makabiliano ya kijeshi na Marekani iwapo hali ya taharuki itashtadi katika Bahari Nyekundu.

Mohammad al-Bakhiti, mwanachama wa ngazi ya juu wa Ofisi ya Kisiasa ya Ansarullah alisema hayo jana usiku na kuongeza kuwa, "Ujumbe wetu kwa maadui ni kwamba, vikosi vya ulinzi vya Yemen vina hamu ya kupambana hasa na adui mkuu, Marekani."

Ameeleza bayana kuwa, kama ambavyo Yemen iliibuka mshindi katika 'vita vya kimaadili' dhidi ya muungano vamizi wa Marekani, ndivyo itakavyoshinda makabaliano yoyote ya kijeshi iwapo itashambuliwa.

Afisa huyo mwandamizi wa Ansarullah ya Yemen amebainisha kuwa: Iwapo manowari za Marekani zitaishambulia Yemen, (Wamarekani) watalengwa moja kwa moja, na wenyewe wanafahamu uzito wa uamuzi huo.

Vikosi vya ulinzi vya Yemen vimeapa kuendeleza mashambulizi yao hadi pale utawala katili wa Israel utakaposimamisha vita na kuondoa mzingiro ambao umeuwekea Ukanda wa Gaza kwa takriban miaka 17 sasa.
 
hao ni watumwa wa IRAN, wanatumwa kumsaidia IRAN kuitawala middle east ambayo mbabe ni ISRAEL. sasa yemen na umaskini wao, badala ya kutumia rasilimali kujiendeleza na kuwa na mafanikio kama waarabu wengine, wao wamekalia vita na ,machafuko, kweli elimu dunia ina nafasi katika kumfanya mwanadamu kuwa mtu kamili... wengi wa wapiganaji wanaijua elmu ya dini tu wakidhani wamekuja duniani kuua wayahud na kurud ahera kula bikra 72... na kwa uzombi huo, viongozi wao ni wasomi wanajificha mbali na kula bata huku hawa wapiganaji wakifia vitani kila siku, wake up YEMEN, kumuua mmarekani au muisrael hakutawaondolea shida zenu, mjifunze kuishi na binadamu wengine pia.
 
Afisa mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Ansarullah ya Yemen amesema vikosi vya jeshi la nchi hiyo vipo tayari kuingia katika makabiliano ya kijeshi na Marekani iwapo hali ya taharuki itashtadi katika Bahari Nyekundu.

Mohammad al-Bakhiti, mwanachama wa ngazi ya juu wa Ofisi ya Kisiasa ya Ansarullah alisema hayo jana usiku na kuongeza kuwa, "Ujumbe wetu kwa maadui ni kwamba, vikosi vya ulinzi vya Yemen vina hamu ya kupambana hasa na adui mkuu, Marekani."

Ameeleza bayana kuwa, kama ambavyo Yemen iliibuka mshindi katika 'vita vya kimaadili' dhidi ya muungano vamizi wa Marekani, ndivyo itakavyoshinda makabaliano yoyote ya kijeshi iwapo itashambuliwa.

Afisa huyo mwandamizi wa Ansarullah ya Yemen amebainisha kuwa: Iwapo manowari za Marekani zitaishambulia Yemen, (Wamarekani) watalengwa moja kwa moja, na wenyewe wanafahamu uzito wa uamuzi huo.

Vikosi vya ulinzi vya Yemen vimeapa kuendeleza mashambulizi yao hadi pale utawala katili wa Israel utakaposimamisha vita na kuondoa mzingiro ambao umeuwekea Ukanda wa Gaza kwa takriban miaka 17 sasa.
Tayari boti mbili za kihouth zimezamishwa na meli ya marekami
 
Afisa mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Ansarullah ya Yemen amesema vikosi vya jeshi la nchi hiyo vipo tayari kuingia katika makabiliano ya kijeshi na Marekani iwapo hali ya taharuki itashtadi katika Bahari Nyekundu.

Mohammad al-Bakhiti, mwanachama wa ngazi ya juu wa Ofisi ya Kisiasa ya Ansarullah alisema hayo jana usiku na kuongeza kuwa, "Ujumbe wetu kwa maadui ni kwamba, vikosi vya ulinzi vya Yemen vina hamu ya kupambana hasa na adui mkuu, Marekani."

Ameeleza bayana kuwa, kama ambavyo Yemen iliibuka mshindi katika 'vita vya kimaadili' dhidi ya muungano vamizi wa Marekani, ndivyo itakavyoshinda makabaliano yoyote ya kijeshi iwapo itashambuliwa.

Afisa huyo mwandamizi wa Ansarullah ya Yemen amebainisha kuwa: Iwapo manowari za Marekani zitaishambulia Yemen, (Wamarekani) watalengwa moja kwa moja, na wenyewe wanafahamu uzito wa uamuzi huo.

Vikosi vya ulinzi vya Yemen vimeapa kuendeleza mashambulizi yao hadi pale utawala katili wa Israel utakaposimamisha vita na kuondoa mzingiro ambao umeuwekea Ukanda wa Gaza kwa takriban miaka 17 sasa.
Hizo bangi zao zitawatokea puani, ngoja tuone jinsi watakavyopambana na NATO
 
Yemeni hamiliki hata nyambizi moja wasianze kulia Lia tu
 
Afisa mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Ansarullah ya Yemen amesema vikosi vya jeshi la nchi hiyo vipo tayari kuingia katika makabiliano ya kijeshi na Marekani iwapo hali ya taharuki itashtadi katika Bahari Nyekundu.

Mohammad al-Bakhiti, mwanachama wa ngazi ya juu wa Ofisi ya Kisiasa ya Ansarullah alisema hayo jana usiku na kuongeza kuwa, "Ujumbe wetu kwa maadui ni kwamba, vikosi vya ulinzi vya Yemen vina hamu ya kupambana hasa na adui mkuu, Marekani."

Ameeleza bayana kuwa, kama ambavyo Yemen iliibuka mshindi katika 'vita vya kimaadili' dhidi ya muungano vamizi wa Marekani, ndivyo itakavyoshinda makabaliano yoyote ya kijeshi iwapo itashambuliwa.

Afisa huyo mwandamizi wa Ansarullah ya Yemen amebainisha kuwa: Iwapo manowari za Marekani zitaishambulia Yemen, (Wamarekani) watalengwa moja kwa moja, na wenyewe wanafahamu uzito wa uamuzi huo.

Vikosi vya ulinzi vya Yemen vimeapa kuendeleza mashambulizi yao hadi pale utawala katili wa Israel utakaposimamisha vita na kuondoa mzingiro ambao umeuwekea Ukanda wa Gaza kwa takriban miaka 17 sasa.
Kwa hiyo hivi ulivyoandika tu kwa kuwa qoute Yemen tayari wanaweza kupgana vita na Marekani na wakashinda? HUU NI UJINGA NA UPUMBAVU WA VIWANGO VISIVYOELEZEKA WALA KUVIPIMA( STUPIDITY OF THE HIGHEST DEGREE BEYOND MEASURE) Wamwanbie Iran mfadhili wao aingie Kwanza vitani na Israel ambaye anafadhiliwa na huyo Marekani wakimshinda ndo mje humu kujampa.
 
Afisa mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Ansarullah ya Yemen amesema vikosi vya jeshi la nchi hiyo vipo tayari kuingia katika makabiliano ya kijeshi na Marekani iwapo hali ya taharuki itashtadi katika Bahari Nyekundu.

Mohammad al-Bakhiti, mwanachama wa ngazi ya juu wa Ofisi ya Kisiasa ya Ansarullah alisema hayo jana usiku na kuongeza kuwa, "Ujumbe wetu kwa maadui ni kwamba, vikosi vya ulinzi vya Yemen vina hamu ya kupambana hasa na adui mkuu, Marekani."

Ameeleza bayana kuwa, kama ambavyo Yemen iliibuka mshindi katika 'vita vya kimaadili' dhidi ya muungano vamizi wa Marekani, ndivyo itakavyoshinda makabaliano yoyote ya kijeshi iwapo itashambuliwa.

Afisa huyo mwandamizi wa Ansarullah ya Yemen amebainisha kuwa: Iwapo manowari za Marekani zitaishambulia Yemen, (Wamarekani) watalengwa moja kwa moja, na wenyewe wanafahamu uzito wa uamuzi huo.

Vikosi vya ulinzi vya Yemen vimeapa kuendeleza mashambulizi yao hadi pale utawala katili wa Israel utakaposimamisha vita na kuondoa mzingiro ambao umeuwekea Ukanda wa Gaza kwa takriban miaka 17 sasa.
Hawa wanaweza kweli
Kinachotakiwa kwanza ni nia na ari ya kutenda.Silaha watazipata baadae.
Namna moja watakavyopigana na Marekani wakiingia kwao ni kuwafuata waliko nchi za jirani walikojichimbia.Hilo litakuwa ni vurugu la kuendelea.
 
Nyie mbwa magaidi wa kiislamu Leo boti 2 za wayemen zimetangulizwa kwa mabikra 72
 
Hao ni pumbavu wanajitekenya wanacheka wao wenyewe.
Mmarekani hana interest yoyote huko kwa watu wananuka mavi na umaskini.
Hata kwenda kuwashughulikia ni kupoteza muda.
Jana viboat vyao vitatu vishachapwa na wanazamishwa humo humo baharini.
 
Hao ni pumbavu wanajitekenya wanacheka wao wenyewe.
Mmarekani hana interest yoyote huko kwa watu wananuka mavi na umaskini.
Hata kwenda kuwashughulikia ni kupoteza muda.
Jana viboat vyao vitatu vishachapwa na wanazamishwa humo humo baharini.
Uko sahihi vijiboti vitatu vimezamishwa na maharamia 10 wamewahishwa kuzimu wakaoe wale mabikira😂🤣
 
Kwa hiyo hivi ulivyoandika tu kwa kuwa qoute Yemen tayari wanaweza kupgana vita na Marekani na wakashinda? HUU NI UJINGA NA UPUMBAVU WA VIWANGO VISIVYOELEZEKA WALA KUVIPIMA( STUPIDITY OF THE HIGHEST DEGREE BEYOND MEASURE) Wamwanbie Iran mfadhili wao aingie Kwanza vitani na Israel ambaye anafadhiliwa na huyo Marekani wakimshinda ndo mje humu kujampa.
Ayseee [emoji15][emoji23]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom