Allah amlipie kisasi Mtume wake kwa kudhulumiwa hishma yake na huyo shetani wa kibinadamu. Allah amuongoze au auvunje mgongo wa huyo shetani na amuangamize.subhaanallah.
Muulize us na coalition yake alokua anaiongoza pale yemen kutaka kumregesha rais alopinduliwa waliishia wapYemen ni nchi maskini, jeuri hii anaitoa wapi?
Hawa Waarabu kwa mikwala utawaweza?
Wana bahati kwamba kuna mataifa yanaangalia mizani ya sheria za kimataifa tu.
Hivi Mmarekani akiamua kupiga mabomu indiscriminately si anaweza kuisambaratisha miji yote ya Yemen ndani ya mwezi t
sasa kama wana uwezo, siwawasaidie raia wao ambao wanakufa kwa njaa? faida ya jeuri yao ni nini sasa?Chezea kote ila si kwa waarabu kutoka Yemen. Fuatilia historia utambue asili yao vizuri. Ni watu wavumilivu mno katika Shida na Vita. Wanachoongea wanamaanisha hiyo Suez Canal haitapitika kabisa.
Jiografia ya yemen ni milima...ukiingia kwenda kuwapiga jua kuwa umejichimbia kaburi lako mwenyewe.
Eti pumzi hanaIran ndo anaweza kufanya hivyo.
China hathubutu, anaogopa yale yaliyomkuta Mrusi kwa mali zake kupigwa pini. Wachina wanajali sana uchumi wao.
Hata Russia akifanya ni kwa kificho sana, na saivi pumzi hana.
sasa ilikuwepo palestina au ilikuwepo ottoman? mbona hueleweki? lini kulishawahi kwuepo taifa linaloitwa palestina, ndio swali.We kweli popoma Palestina ilikuwepo na mwanzo ilikua chini ya Ottoman empire baadae ikawa inatawaliwa na Uingereza.
Russia kaikalia Crimea miaka tisa tu na hana mpango wakuondoka mnalia liaAfgan kakaa miaka 20 kaachia koloni ulitaka akae kuna nini pale. Yaani somalia pqlqkavu vile kiranjaa aangaike napo yeye anaenda sehem ananyosha magaidi na kuondoka
Sio suala la kuhisi wala kudhani. Mbona hiyo inajulikana wazi ndio sera ya Iran siku zote kwamba akikabwa sehemu pa kuponea ni kuvuruga Red sea kuzuia shipments ili yawepo mazungumzo. Hata silaha zake nyingi majini zimelenga hilo
AAAAMYN.Allah amlipie kisasi Mtume wake kwa kudhulumiwa hishma yake na huyo shetani wa kibinadamu. Allah amuongoze au auvunje mgongo wa huyo shetani na amuangamize.
Nimem ignore.
Kama hvyo hata israhell hawezi kusimama pekeeeNajua, na hilo ndilo linaloprove weakness ya Yemen.
Mikwala mingiii, ila haiwezi hata kusimama peke yake.
Vyombo vya habari vya Israeli: Meli za kivita za Uchina zilizowekwa katika Bahari Nyekundu zilikataa kusaidia meli za shehena za Israeli huko Bab al-Mandab baada ya shambulio la Houthi.Chezea kote ila si kwa waarabu kutoka Yemen. Fuatilia historia utambue asili yao vizuri. Ni watu wavumilivu mno katika Shida na Vita. Wanachoongea wanamaanisha hiyo Suez Canal haitapitika kabisa.
Jiografia ya yemen ni milima...ukiingia kwenda kuwapiga jua kuwa umejichimbia kaburi lako mwenyewe.
Waziri wa Ulinzi wa Australia Richard Marles alisema hawatatuma meli ya kivita kwa Operesheni ya Ufanisi Sentinel dhidi ya Houthis, lakini wataridhika na kuweka wanajeshi sita katika eneo hilo. Alisema Australia inapaswa kuzingatia matatizo ya eneo lake "la haraka".Ww si umesema Yemen hana chochote cha kumtisha kiranja wako?
Sasa na mm nimekuwekea wale ambao ni masikini kama Yemen walio mpaka mafuta mchana kweupe huyo kiranja wako.
Hizo story wewe siyo wa kwanza kusema yaani wewe upo Makete unahoji taifa la Palestna🤣🤣 dunia ina vituko.sasa ilikuwepo palestina au ilikuwepo ottoman? mbona hueleweki? lini kulishawahi kwuepo taifa linaloitwa palestina, ndio swali.
Yemeni yeye amezilenga meli zinazoenda Israel pia amezilenga meli zenye bendera za Israel kupita maeneo yake ambayo ndiyo njia ya kwenye Israel, Labda nikuulize kuna Meli za Israel zinakuja Tanzania au sisi tuna meli zinaenda Israel?Kuna kitu tukiangalie kwa jicho la Mbali sana hii vita athari zake hazita ishia kwao tu tusubiri tutaona gharama ya vitu kupanda na kukosekana hasa malighafi tunazo zitegemea kutoka nnje, maana usitishwaji wa hiyo njia ya meli utatuathiri kwa namna moja au ingine.