Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yemen kuna mkono wa Russia chief, hapo hakuna kitu watakachofanya. Cha ajabu meli za Russia zinapita kama kawaida na haziguswi.Uzuri wa Marekani huwa hana shughuli ndogo. Unakumbuka enzi zile za maharamia wa kisomali walivyokua wanateka meli kwenye pembe ya Africa,??
Marekani wanaheshimu sheria za Kimataifa? Umeandika una akili timamu kichwani?Naongelea mkwala wa Waarabu unavyowezekana kwa sababu Marekani inaangalia sheria za kimataifa za proportionate war tu.
Marekani kungekuwa na viongozi vichaa kama hao Waarabu, Yemen ingefutwa kwa mabomu ya nuclear ndani ya wiki tu.
So, Wamarekani wanapotafuta suluhusho la kimataifa, lenye nuance za proportionality etc, si kwa sababu wanawaogopa wa Yemen.
Ni kwa sababu wanaangalia mizani na kuheshimu sheria za kimataifa tu.
Unafikiri tukiondoa sheria za kimataifa tuweke vita kati ya Yemen na US, Yemen ataweza kuipiga US?
Katika muktadha wa kutoitokomeza Yemen kwa nuclear na ubabe mtupu bila kuangalia proportion wanaheshimu sheria za kimataifa, kutamba kwa Yemen hakutokani na Marekani kushindwa kuiangamiza Yemen kwa nuclear na ubabe mtupu usio na proportion.Marekani wanaheshimu sheria za Kimataifa? Umeandika una akili timamu kichwani?
Time will tellYemen kuna mkono wa Russia chief, hapo hakuna kitu watakachofanya. Cha ajabu meli za Russia zinapita kama kawaida na haziguswi.
Yaan Yemen iwe tishio kuliko ilivyokua Iraq? Au labda Sasa Iran?Marekani anajua wazi peke yake hawezi ndiyo maana anataka muungano, huo unaoongozwa na Marekani, unajumuisha Uingereza, Canada, Ufaransa, Italia, Uholanzi, Norway, Seychelles, Uhispania, na haswa, Bahrain-taifa pekee la Kiarabu linaloshiriki katika muungano huo nchi zingine zinasema zitashiriki lakini zinaomba zisitajwe unajua sababu gani wanaogopa.
Weww ufahamu chochote kuhusu Yemen jiulize kwa nini wamejikusanya wote kupambana na Yeme😂
Hizo unazoandika ni fikra zako Iraq ilikuwa na tishio gani silaha zote alikuwa ananua Marekani na Ulaya.Yaan Yemen iwe tishio kuliko ilivyokua Iraq? Au labda Sasa Iran?
Kama wamejikusanya wengi hivyo watakua na ajenda ingine, sio ku gain nguvu za kijesh. Mmoja tu kati yao (sio Bahrain lakin) anaweza peke yake kuisambaratisha Yemen
Kwa hiyo Silaha ambazo George Bush alidhani Saddam Hussein anazo ni alizomuuzia yeye mwenyewe Bush?Hizo unazoandika ni fikra zako Iraq ilikuwa na tishio gani silaha zote alikuwa ananua Marekani na Ulaya.
Yemen silaha zake zinatoka Iran na Urusi ni hatari wewe unaleta mazoea US na wenzrake wanamjua Yemen ni nani.
Ndio waasi wameshachukua nchi mkuu rais sialikimbia anaishi saudia na walijaribu kumsaidia arudi madarakani wameshindwa kwahyo wahuni wamejipa tu vyeo waziri wa ulinzi mara waziri mkuu.Mleta mada kaeema Waziri wa ulinzi wa Yemen ndio kasema
Meli 4 zimetekwa nyingne zimechomwa moto na makombora huyo netanyahu anaangalia tu anawasakizia usaHao wote watafikiwa, kiboko yao Netanyahu, acheki na mwarabu
Hiyo Yemeni USA na Saud Arabia waliiandama toka 2014 uliskia wakiomba cease fire??ngoja waje wapakatwe tuanze free yemen
Ushasema maharamia wa kisomali.Uzuri wa Marekani huwa hana shughuli ndogo. Unakumbuka enzi zile za maharamia wa kisomali walivyokua wanateka meli kwenye pembe ya Africa,??
We kweli popoma Palestina ilikuwepo na mwanzo ilikua chini ya Ottoman empire baadae ikawa inatawaliwa na Uingereza.uvamizi wa nini sasa, nani kavamia mwingine wakati eneo lile hapajawahi kuwepo nchi inayoitwa Palestina
Unaongea utumbo gani kijana??Kama kuna Taifa limewahi pigana na USA na Israel likafanikiwa basi bado halijazaliwa, wanapoteza mda.
Jidanganye.Hawa Waarabu kwa mikwala utawaweza?
Wana bahati kwamba kuna mataifa yanaangalia mizani ya sheria za kimataifa tu.
Hivi Mmarekani akiamua kupiga mabomu indiscriminately si anaweza kuisambaratisha miji yote ya Yemen ndani ya mwezi tu?
Kwa akili zako unadhani Iran Hana silaha za nuclear??Hao Waarabu labda kwenye vita za kuviziana kigaidi tu, kwenye vita ya conventional nchi na nchi hawawezi kupigana hata na jimbo la California tu.