Yemen: Tutageuza Bahari Nyekundu kuwa kaburi la muungano unaoongozwa na Marekani iwapo wutaamua kuchukua hatua yoyote dhidi ya Yemen

Yemen: Tutageuza Bahari Nyekundu kuwa kaburi la muungano unaoongozwa na Marekani iwapo wutaamua kuchukua hatua yoyote dhidi ya Yemen

UDINI MZIGO YAANI KUFA WANAJESHI 18 NA MAJERUHI 78 KATI YA WANAJESHI 168 NDIO USA MARINES ILISHINDWA VITA MOGADISHU...
🤣🤣🤣😂😂 KWAMBA USA MARINE WAKIOMBA WAONDOLEWE HAPO WAKATI WALIKUA NA BASE UFUKWENI....ULIZA KAMA HUJUI KILICHOWAFANYA WASITISHE ILE MISHENIView attachment 2847996View attachment 2847997
UNAJUA TATIZO LA WAISLAMU NI UNAFIKI WA HISTORIA.....WAKIDHANI WATU HATUJUI
EBU ELEZEA ILE MISSION YA MOGADISHU YA USA MARINE,S KUJARIBU KUMKAMATA HAIDEED KWA UFASAHA USIDHANI SISI HATUJUI..
BLACK HAWK DOWN AU BATTLE OF MOGADISHU AU OPERATION GOTHIC SERPENT
Alikuwa anaitwa Gen Aidid
Tatizo la wagalatia ni chuki moja tu hamjui kupangua hoja na kujibu mpaka muingize chuki na matusi na kejeli
Sasa nani kakufokea hapo
Dini yako ndio imekufunza chuki hizo hata yule Waziri alionyesha chuki dhahiri kanisani dhidi ya uislam

Tunawajua sana ila tunaishi na nyie tu
Unaongea huku unatetemeka mpaka umeahindwa kuandika Aidid
Pole sana tumewazoea wala hamtusumbui
Kunywa maji hizi dini tutaziacha ila kwa matusi na kejeli hatutaweza kuelewana
Chuki zinaleta maradhi mengi poleni sana
Sibishana na wewe tena
 
Houthis ni ya kushangaza.

Walichukua msimamo pamoja na ndugu na dada zao huko Gaza.

Walifanya hivyo kwa njia ya busara kabisa, kwa onyo, na upotezaji mdogo wa maisha.

Waligeuza hata meli iliyotekwa kuwa kivutio cha watalii cha familia. 😂 kipaji!!
 
BREAKING:

⚡ 🇮🇱 Vyombo vya habari vya Israeli:

"Wana Houthi wanafanya uharibifu mkubwa kwa uchumi wa Israeli"

Tishio la jeshi la Yemeni linasababisha kufungwa kabisa kwa shughuli za kiuchumi katika bandari ya Eilat, na kudhuru mapato yake na shughuli za wafanyikazi, wauzaji na wakandarasi.

Gazeti la fedha la Israel Globes liliripoti kwamba makampuni ya meli ya Israel yamepoteza karibu 23% ya thamani yao ya soko, ikiwakilisha hasara ya mabilioni ya dola.
Endelea kujifariji ila gaza kichapo kinaendelea...
Na baadae hamkawii kukimbia uzi.....
Hao wavaa misuli wa,Sanaaa wanaongea kujifariji na ngonjera
 
America kisha anza lalamika eti kuangusha drone moja tu ya Yemen inawacost 2.1 Million sa wataweza kuingia vita na Yemen? America anatufata njia ya kukwepa hapo 😄
Kila silaha iliyotumiwa kuangusha makombora na ndege zisizo na rubani za Houthi hugharimu kati ya dola milioni 1 na milioni 4.3 na meli haziwezi kupakia tena baharini na italazimika kurejea bandarini😂
 
Endelea kujifariji ila gaza kichapo kinaendelea...
Na baadae hamkawii kukimbia uzi.....
Hao wavaa misuli wa,Sanaaa wanaongea kujifariji na ngonjera
🇲🇾Malaysia announced that the 🇮🇱Israeli shipping company "ZIM" will be prohibited from today docking, or transiting in the territorial waters of his country.

The Strait of Malacca is closed for the Israeli ZIM shipping company.

The biggest shipping company in Israel .
 
Afgan kakaa miaka 20 kaachia koloni ulitaka akae kuna nini pale. Yaani somalia pqlqkavu vile kiranjaa aangaike napo yeye anaenda sehem ananyosha magaidi na kuondoka
Kwani kipindi anaenda alikuwa amefuata nn kama hakuna kitu?
Hapo somalia waulize wamarekani wenyewe walipigwa mpaka wakaukimbia uwanja wa vita na kuwatelekeza wanajeshi wao wauawa na kuzungushwa mitaani wakiwa uchi.
 
Ufaransa huwa ana historia ya kuwa na jeshi dhaifu pale Ulaya. Yani ukienda Ulaya ukawaambia Ufaransa ina jeshi shupavu watakucheka. Hata Northern Africa kina Algeria kule Ufaransa bado alikuwa na performance ya kawaida.
Alafu wewe kama mzoefu wa mambo ya kivita unaonyesha utoto kudai Marekani iliishindwa Somalia. Marekani haijawahi pigana vita na Somalia, lini uliwahi ona Marekani inapigana vita kwa kutumia helicopter mbili na Humvee?
Kwamba helicopter moja ikiangushwa basi nchi imeshindwa vita sasa si kila nchi duniani ingekuwa inashindwa vita.
M
Mpaka Marekani inaweka naval base pale Djibouti lengo ni kulinda ghuba ya Uajemi mpaka Mediterranean sea. Hakuna nchi imehusika na kupambana na maharamia wa Kisomali zaidi ya Marekani, kwanza task force ndio imeanzisha, ndio imetoa vifaa vingi na ndio imepiga operations nyingi zaidi. Then UK na France.
Sasa kama hakwenda kupigana vita alienda kutalii sio?
 
Vita ikianza watakaokufa ni Wanawake na watoto. Wao watakimbilia Miami Dubai na Doha kula bata. Watangulize watoto wao kwanza. Kuna umuhimu gani kufanya wanachokifanya, UN ianze kulaumiwa na kubeba msalaba Wa wakimbizi
 
🇲🇾Malaysia announced that the 🇮🇱Israeli shipping company "ZIM" will be prohibited from today docking, or transiting in the territorial waters of his country.

The Strait of Malacca is closed for the Israeli ZIM shipping company.

The biggest shipping company in Israel .
ACHA NGONJERA TUSUBIRI VITENDO......SI ULISEMAGA IDF WANAOGOPA KUINGIA GAZA????
LEO KIPO WAPI,,,,,SI MNALILIA CEASE FIRE
 
Wanaukumbi.

Waziri wa Ulinzi wa Yemen Meja Jenerali Mohammad al-Atifi:
Amesema kuwa Vikosi vya Wanajeshi wa Yemen vitageuza Bahari Nyekundu kuwa kaburi la muungano unaoongozwa na Marekani iwapo muungano huo utaamua kuchukua hatua yoyote dhidi ya Yemen.

======

🇾🇪🇺🇸 Yemeni Defense Minister Major General Mohammad al-Atifi:

The Yemeni Armed Forces will turn the Red Sea into a graveyard of the US-led coalition if the alliance decides to take any action against Yemen.

======

Mpaka sasa makumpuni makubwa ya meli Dunia yamesimamisha meli zao kupita Bahari Nyekundu.

Moja ya kampuni kubwa zaidi za usafirishaji wa meli duniani, Maersk, ilisema Iilikuwa inasimamisha meli zake kupitia njia kuu ya Bahari Nyekundu kufuatia mashambulizi ya waasi wa Houthi wa Yemen.
Maersk, ambayo inamiliki kundi la meli 300, katika tangazo la Jumamosi. Ikizingatiwa kuwa takriban 12-14% ya biashara ya kimataifa hupitia Mfereji wa Suez, hili ni tukio muhimu ambalo linaweza kuathiri njia za biashara za kimataifa na bei za bidhaa nchini Israel.

Kampuni ya usafirishaji ya Ujerumani ya Hapag-Lloyd ilitangaza pia kuwa inasimamisha usafirishaji wa meli za Bahari baada ya moja ya meli zake kushambuliwa na Houthis.

Kampuni ya meli ya Hong Kong ya OOCL (Orient Overseas Container Line) ilitangaza kwamba "kutokana na matatizo ya uendeshaji," itaacha mara moja kusafirisha mizigo kwenda na kutoka Israel
Yahya Saree, msemaji wa Jeshi la Yemen:


View: https://x.com/me_observer_/status/1737102785848512969?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Panya Buku hao, USA washapeleka ndege na manowari za kulinda meli zinazokatisha hapo.
alafu inakuwaje mashabiki wao ni wale watu wa dini ile?
Hivi kuna Mungu wa vita au Mungu wa amani?
 
Ndo huyo aliyemkung'uta Saddam Hussein na sasa yupo mavumbini😂🤣
Ndo huyu huyu aliyeyamaliza magaidi Osama, Aiman Al Zawahiri na wengine.
Ndo huyuhuyu ambaye russia kwa njaa zao na upungufu wa akili walimuuzia Alaska
Ndo huyuhuyu ambaye akisema neno nchi za kiarabu nyingi zinamuunga mkono
Ndo huyuhuyu ambapo rafiki zake walimng'oa Gaddafi
Ww si umesema Yemen hana chochote cha kumtisha kiranja wako?
Sasa na mm nimekuwekea wale ambao ni masikini kama Yemen walio mpaka mafuta mchana kweupe huyo kiranja wako.
 
First statement from Yemen after the announcement of coalition led by USA:

‎"With this foolishness, you will learn who Yemen is."
Serikali yaYemen nayo ya kutumishia msul tu? Hiyo iliyoshindwa kudhibiti hata waasia waliomo.nchini.mwake tu
 
badala ya kutatua mzozo wa Palestina na kuiminya Israel isiendelee kuua watu wa Palestina Marekani inapeleka silaha Israel kila leo na halafu wanataka kuiminya Yemen.Ni matendo yasiyo na mantika katika kutafuta suluhu penye mzozo.
Watu wakipigana hutakuwa na maana iwapo utakuwa unampa nguvu mmoja na kumfunga kamba mwenzake.
Yaani USA yy anachojua ni kuuza silaha tu huwa kitu kinaitwa amani huwa hataki akisikia kuna vita anaweza kuwauzia silaha wote mnaopigana huko israel watu wanapigana yy ndio anapga kula vita iendelee
 
Serikali yaYemen nayo ya kutumishia msul tu? Hiyo iliyoshindwa kudhibiti hata waasia waliomo.nchini.mwake tu
Wadhibiti waasi wakati hao houthi wanaoshambulia meli ndio waasi wa yemeni kweli international news hufuatilii hao wananguvu kuliko serikali mpk rais wa yemen kakimbia
 
Ww si umesema Yemen hana chochote cha kumtisha kiranja wako?
Sasa na mm nimekuwekea wale ambao ni masikini kama Yemen walio mpaka mafuta mchana kweupe huyo kiranja wako.
Alaa kumbe Yemen masikini 😆😂🤣
 
Wadhibiti waasi wakati hao houthi wanaoshambulia meli ndio waasi wa yemeni kweli international news hufuatilii hao wananguvu kuliko serikali mpk rais wa yemen kakimbia
Mleta mada kaeema Waziri wa ulinzi wa Yemen ndio kasema
 
Hapa ndipo marekani..anavyo penda lazima atengeneze pesa ya ulinzi wa meli lazima silaha auze..yemen hawezi tamba mbele ya marekan
Tena Yemen ana Mafuta Marekani wanavyopenda sehemu zenye raslimali watamtwanga mfulululizo wabebe mafuta na gesi zote ziwe chini ya makampuni ya Marekani
 
Back
Top Bottom