Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Alikuwa anaitwa Gen AididUDINI MZIGO YAANI KUFA WANAJESHI 18 NA MAJERUHI 78 KATI YA WANAJESHI 168 NDIO USA MARINES ILISHINDWA VITA MOGADISHU...
🤣🤣🤣😂😂 KWAMBA USA MARINE WAKIOMBA WAONDOLEWE HAPO WAKATI WALIKUA NA BASE UFUKWENI....ULIZA KAMA HUJUI KILICHOWAFANYA WASITISHE ILE MISHENIView attachment 2847996View attachment 2847997
UNAJUA TATIZO LA WAISLAMU NI UNAFIKI WA HISTORIA.....WAKIDHANI WATU HATUJUI
EBU ELEZEA ILE MISSION YA MOGADISHU YA USA MARINE,S KUJARIBU KUMKAMATA HAIDEED KWA UFASAHA USIDHANI SISI HATUJUI..
BLACK HAWK DOWN AU BATTLE OF MOGADISHU AU OPERATION GOTHIC SERPENT
Tatizo la wagalatia ni chuki moja tu hamjui kupangua hoja na kujibu mpaka muingize chuki na matusi na kejeli
Sasa nani kakufokea hapo
Dini yako ndio imekufunza chuki hizo hata yule Waziri alionyesha chuki dhahiri kanisani dhidi ya uislam
Tunawajua sana ila tunaishi na nyie tu
Unaongea huku unatetemeka mpaka umeahindwa kuandika Aidid
Pole sana tumewazoea wala hamtusumbui
Kunywa maji hizi dini tutaziacha ila kwa matusi na kejeli hatutaweza kuelewana
Chuki zinaleta maradhi mengi poleni sana
Sibishana na wewe tena