Yemen: Tutageuza Bahari Nyekundu kuwa kaburi la muungano unaoongozwa na Marekani iwapo wutaamua kuchukua hatua yoyote dhidi ya Yemen

Unajikanganya mwenyewe,ushaanza kujikanyaga bro pole sana.
Hujaonesha nimejikanganya wapi.

Kusema tu nimejikanganya hakunifanyi niwe nimejikanganya.

Unaweza kuona nimejikanganya, kumbe tatizo ni wewe hujui kufuatilia mazungumzo kwa nuance.
 
Unabadili gia taratiibu.

Yemen ana mikwala mbuzi mingi kwenye vita ya ukweli hamuwezi Mmarekani, that is my whole point.

Hujui kusoma kwa ufahamu?
 

Wanaanzaga kutishia hivi hivi wakianza kubondwa kwelikweli wanaanza kulia.
 
Unabadili gia taratiibu.

Yemen ana mikwala mbuzi mingi kwenye vita ya ukweli hamuwezi Mmarekani, that is my whole point.

Hujui kusoma kwa ufahamu?
😂😂😂😂😂😂😂 Nimebadili GIA Mimi au wewe???
Kaka mikwara ni kumpa mtu vitisho pasi na kumchukulia hatua.
Hiyo ndiyo maana halisi ya mikwara.
NARUDIA TENA USA ILISAIDIA SAUDI ARABIA KISILAHA NA WANAJESHI KUMBAKISHA MANSOUR MADARAKANI NA KUWAONDOSHA HOUTHI ILA TOKA 2014 MPAKA 2022 WAMESHINDWA KUFANYA HILO.
HOUTHI WAMERUSHA KOMBORA KWENDA KWENYE BATTLE SHIP YA US NAVY DJIBOUTI JAPO IMEDUNGULIWA UTASEMAJE HUYO MYU ANA MIKWARA TU???
Meli nne zimelipuliwa Moja imetekwa unasemaje houthi Wana mikwara tu????
Ingekua Houthi ni mfupa mdogo Kwa USA,US asingeomba joint coalition kulinda meli pale Red sea.
Mataifa karibuni yote pale ghuba ya kiarabu yamekataa kuungana na US kulinda red sea jiulize kwanini.
Houthi hawatumii mawe wanatumia silaha pia kumbuka hilo.
 
Wewe guluguja ngumbaru unaandika kwa all caps unafikiri ndiyo ukiandika utumbo all caps zitafanya utumbo uwe point.

Unanipotezea muda na mood yangu tu.

Straight to ignore list.

Kuanzia hapa sitaona posts zako tena.
 
Wewe guluguja ngumbaru unaandika kwa all caps unafikiri ndiyo ukiandika utumbo all caps zitafanya utumbo uwe point.

Unanipotezea muda na mood yangu tu.

Straight to ignore list.

Kuanzia hapa sitaona posts zako tena.
Sio lazima .
Maana ujuaji mwingi humzuia mtu kuingiza maarifa.
Humu hauko pekeako wataotaka kusoma watasoma.
 
Unajikanganya mwenyewe,ushaanza kujikanyaga bro pole sana.
Hahaha kila siku utamsimkia hakujahi kuwa na taifa la Palestina uwa nacheka sana povu linavyomtoka kumbe hana kitu shida anashukumwa na chuki dhidi ya Uislam na anataka kushinda😂
 
Hahaha kila siku utamsimkia hakujahi kuwa na taifa la Palestina uwa nacheka sana povu linavyomtoka kumbe hana kitu shida anashukumwa na chuki dhidi ya Uislam na anataka kushinda😂
😂😂😂😂😂 Yani hata Mimi ananichekesha.
Mada anahama yeye ananishutumu Mimi kila sababu anayoitoa ukiieleza anasema hausomi Kwa ufahamu.
Huyo nae mfalmesuleimani ana google ndio analeta taarifa,taarifa zenyewe zinakanganya.
Toka lini Mamluk,Ottoman na Ali Seljuk zikawa zimewahi kuwa sehemu Moja???
Yani kataja falme nyingi zilizotokea wakati mmoja zilizowahi kuitawala palestina,ila Kwa mujibu was article aloleta zote zilikuwa sehem Moja na zilitokea wakati tofauti.
 
Kupata hivi vichekesho contact Ritz kwa +00000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…