Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Wahuni tu hao wangekua watu si wangeungana wampige Israel mbona USA anatoka mbali huko kutoa msaada...wasitishe vita waathirika wakubwa ni wao sio hao mabepari..Vitishio au anafanya kweli.
hayo yote mliyataka wenyewe ninyi hamas.BREAKING: Jeshi la Israel lilikata maiti ili kuvuna viungo vya Wapalestina 80 waliorejea leo.
Mwaka 2009, Israel ilikiri kuiba viungo vya Wapalestina. Israel pia ilikiri kukeketa miili ya Wapalestina kwa ajili ya benki yao ya ngozi (kubwa zaidi duniani). Israel imekata viungo na kunajisi miili ya Wapalestina tangu kuundwa kwake mwaka 1948.
ukiona mtu anaongea sana jua anaogopa, kwanini wasinyamaze kimyaa ili wawashtukize wamarekani kwa kipigo kikubwa? magaidi huwa wanatishaaaa alafu wakianza kupigwa utaambiwa sisi ni martyrs (wafia dini) mara jumuiya ya kimataifa ingilieni kati kuan genocide. kumbe wao ndio walianza. mbuzi kabisa hawa.
Helikopta ya kijeshi ikiwasafirisha wanajeshi waliojeruhiwa katika mapigano ya Gaza hadi hospitali ya Hadassah Ain Kerem huko Jerusalemhayo yote mliyataka wenyewe ninyi hamas.
hayo ni mawazo ya mwingereza mmoja tu huko wala hayana ukweli kwamba ndo itakuwa hivyo, tena lishoga limoja hivi huko uingereza. Israel itakuwa salama zaidi ikiwa mbali na hamas kuliko ikiwa karibu nao.
hayo ni mawazo ya mwingereza mmoja tu huko wala hayana ukweli kwamba ndo itakuwa hivyo, tena lishoga limoja hivi huko uingereza. Israel itakuwa salama zaidi ikiwa mbali na hamas kuliko ikiwa karibu nao.
uwe unatembelea hata huku ili kuona namna wazayuni wanavyokatakata kachumbari huko. vipande vya nyama tu vinaruka.Helikopta ya kijeshi ikiwasafirisha wanajeshi waliojeruhiwa katika mapigano ya Gaza hadi hospitali ya Hadassah Ain Kerem huko Jerusalem
View: https://x.com/sprinter99800/status/1739761960118301094?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Mbona dunia yote inaona wanavyouwa watoto wachanga la muhimu kuona na wao wanakufa maana toka Israel iingie vitani hawajawahi kupoteza wananajeshi wengi kama sasa hivi huo ni ushindi wapalestina kufa ni kawaida kwao…uwe unatembelea hata huku ili kuona namna wazayuni wanavyokatakata kachumbari huko. vipande vya nyama tu vinaruka.
View: https://twitter.com/i/status/1735561351794200937
tembelea hiyo ukurasa vya kutosha afu ona.ni huruma.
🔴Yitzhak Brik, kamanda mkuu wa israel AFICHUA propaganda zinazotolewa na IOF:tembelea hiyo ukurasa vya kutosha afu ona.ni huruma.
Makelele mengiii wakati kaisrael kapo pale kanajipiga gaza katakavyo.Wanaukumbi.
Waziri wa Ulinzi wa Yemen Meja Jenerali Mohammad al-Atifi:
Amesema kuwa Vikosi vya Wanajeshi wa Yemen vitageuza Bahari Nyekundu kuwa kaburi la muungano unaoongozwa na Marekani iwapo muungano huo utaamua kuchukua hatua yoyote dhidi ya Yemen.
======
🇾🇪🇺🇸 Yemeni Defense Minister Major General Mohammad al-Atifi:
The Yemeni Armed Forces will turn the Red Sea into a graveyard of the US-led coalition if the alliance decides to take any action against Yemen.
======
Mpaka sasa makumpuni makubwa ya meli Dunia yamesimamisha meli zao kupita Bahari Nyekundu.
Moja ya kampuni kubwa zaidi za usafirishaji wa meli duniani, Maersk, ilisema Iilikuwa inasimamisha meli zake kupitia njia kuu ya Bahari Nyekundu kufuatia mashambulizi ya waasi wa Houthi wa Yemen.
Maersk, ambayo inamiliki kundi la meli 300, katika tangazo la Jumamosi. Ikizingatiwa kuwa takriban 12-14% ya biashara ya kimataifa hupitia Mfereji wa Suez, hili ni tukio muhimu ambalo linaweza kuathiri njia za biashara za kimataifa na bei za bidhaa nchini Israel.
Kampuni ya usafirishaji ya Ujerumani ya Hapag-Lloyd ilitangaza pia kuwa inasimamisha usafirishaji wa meli za Bahari baada ya moja ya meli zake kushambuliwa na Houthis.
Kampuni ya meli ya Hong Kong ya OOCL (Orient Overseas Container Line) ilitangaza kwamba "kutokana na matatizo ya uendeshaji," itaacha mara moja kusafirisha mizigo kwenda na kutoka Israel
Yahya Saree, msemaji wa Jeshi la Yemen:
View: https://x.com/me_observer_/status/1737102785848512969?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw