Yemen: Tutageuza Bahari Nyekundu kuwa kaburi la muungano unaoongozwa na Marekani iwapo wutaamua kuchukua hatua yoyote dhidi ya Yemen

Yemen: Tutageuza Bahari Nyekundu kuwa kaburi la muungano unaoongozwa na Marekani iwapo wutaamua kuchukua hatua yoyote dhidi ya Yemen

Magaidi yana vichekesho mnoo
Kampuni ya usafirishaji ya ZIM inayomilikiwa na mfanyabiashara Mzayuni iliongeza bei ya usafirishaji wa kontena kutoka dola 100 hadi $450, kufuatia matatizo inayoikabili.
Hawa ndiyo Yemen💥
 

Attachments

  • IMG_8330.jpeg
    IMG_8330.jpeg
    34.4 KB · Views: 6
Operesheni za majini za Yemen zinalenga kuwaunga mkono wananchi wa Palestina katika kukabiliana na uvamizi na mzingiro wa Gaza, na sio onyesho la nguvu wala changamoto kwa mtu yeyote. Yeyote anayetaka kupanua mzozo lazima abebe matokeo ya matendo yake. Muungano ulioundwa na Marekani ni wa kuilinda Israel na kuilinda bahari bila uhalali wowote, na hautaizuia Yemen kuendelea na operesheni zake halali za kuunga mkono Gaza, kama vile Amerika ilivyojiruhusu kuiunga mkono Israel kwa kuunda muungano na bila ya muungano, wananchi wa eneo hili wana uhalali kamili wa kuwaunga mkono wananchi wa Palestina, na Yemen imejitwika jukumu la kutetea haki ya Palestina na dhulma kubwa ya Ghaza….
uvamizi wa nini sasa, nani kavamia mwingine wakati eneo lile hapajawahi kuwepo nchi inayoitwa Palestina
 

Attachments

  • IMG_8287.jpeg
    IMG_8287.jpeg
    49.1 KB · Views: 5

Attachments

  • GBpjH9RXoAAY-3l.jpeg
    GBpjH9RXoAAY-3l.jpeg
    252.7 KB · Views: 4
Uzuri wa Marekani huwa hana shughuli ndogo. Unakumbuka enzi zile za maharamia wa kisomali walivyokua wanateka meli kwenye pembe ya Africa,??
Aliewamaliza alikuwa France sio USA mkuu
Nafikiri ulikuwa mpango wa biashara ya wakubwa maana walikuwa wanadai dau kuanzia 20m $ na kuendelea
Sasa zingine zilikuwa 40m
Na zilikamatwa na vijana wadogo zilikuwa 360 kwa ujumla
Kazi iliisha kwa hasara kubwa sana
Unafikiri mmarekani peke yake anaweza?
Jina kubwa ila hakuna kitu alipigwa black Hawk Down kama mtoto na miguu ilivutwa kama toys na watoto

Hana hamu na wasomali huyo na hakuna vita aliyoshinda mkuu
Ila mfaransa aliwafuata mpaka nchi kavu na kuwauwa wengine wakiwa na mgao wao kwenye mabegi
Wafaransa wabaya sana
 
kwani picha hizi ni za nani, si za mahamas hizi. ona magaidi yanavyotia huruma, hapo yamekamatwa na mazayuni yenyewe ni maupinde, si ukute wakawaogesha na kuwapaka mafuta hapo.
Hahhaha unameza propaganda kama hao. Hamas basi vita vimeisha waambieni wawape mateka😂
 
Tusilaumiane…..

⚡️Nchi yoyote itakayopigana dhidi ya Yemen meli zake zitalengwa katika Bahari Nyekundu - Afisa wa Houthi anaiambia tv ya Iran Al-Alam — Reuters
 
Huku Gaza kule Yemen.

🛑 Al-Qassam (Hamas)

Imefanikiwa kukilenga kikosi cha Kizayuni kilichokuwa ndani ya jengo katika eneo la Maghraqa katikati mwa Ukanda wa Gaza kwa kutumia vilipuzi vya "TBG" na roketi 2 za RPG, na kufuatiwa na kupigana nao, na kusababisha wanachama wao kuuawa/kujeruhiwa.
 
Operesheni za majini za Yemen zinalenga kuwaunga mkono wananchi wa Palestina katika kukabiliana na uvamizi na mzingiro wa Gaza, na sio onyesho la nguvu wala changamoto kwa mtu yeyote. Yeyote anayetaka kupanua mzozo lazima abebe matokeo ya matendo yake. Muungano ulioundwa na Marekani ni wa kuilinda Israel na kuilinda bahari bila uhalali wowote, na hautaizuia Yemen kuendelea na operesheni zake halali za kuunga mkono Gaza, kama vile Amerika ilivyojiruhusu kuiunga mkono Israel kwa kuunda muungano na bila ya muungano, wananchi wa eneo hili wana uhalali kamili wa kuwaunga mkono wananchi wa Palestina, na Yemen imejitwika jukumu la kutetea haki ya Palestina na dhulma kubwa ya Ghaza….
badala ya kutatua mzozo wa Palestina na kuiminya Israel isiendelee kuua watu wa Palestina Marekani inapeleka silaha Israel kila leo na halafu wanataka kuiminya Yemen.Ni matendo yasiyo na mantika katika kutafuta suluhu penye mzozo.
Watu wakipigana hutakuwa na maana iwapo utakuwa unampa nguvu mmoja na kumfunga kamba mwenzake.
 
Kuna kitu tukiangalie kwa jicho la Mbali sana hii vita athari zake hazita ishia kwao tu tusubiri tutaona gharama ya vitu kupanda na kukosekana hasa malighafi tunazo zitegemea kutoka nnje, maana usitishwaji wa hiyo njia ya meli utatuathiri kwa namna moja au ingine.
Kama na israhell ataathirika basi acha tu nasie tuathirike tupo radhi na tutavumilia
Houthi kamatieni hapo hapo mpaka magaidi waondoke ukanda wa ghaza kinguvu
 
Back
Top Bottom