Yericko Nyerere ashinda tuzo mbili kwa mpigo Afrika 2024

Yericko Nyerere ashinda tuzo mbili kwa mpigo Afrika 2024

SANGAPIPI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
206
Reaction score
301
Mwandishi wa vitabu na mwanasiasa nchini, Yericko Nyerere usiku wa kuamkia leo ameshinda tuzo mbili, ikiwemo ya mwandishi bora wa vitabu Afrika.

Yericko ameshinda tuzo hizo zinazojulikana kama Zikomo Awards katika vipengele vya mwandishi bora wa vitabu Afrika na kiongozi bora wa kijamii.

Tuzo hizo zimefanyika usiku wa Novemba 30, 2024 nchini Afrika Kusini.

Kwa mujibu wa tovuti ya tuzo hizo, ili uingie katika kinyang’anyiro cha mwandishi bora wa vitabu ni lazima uwe umechapisha vitabu vinavyojulikana kwa ubora wake wa kiufundi, maudhui yanayoelimisha au kuburudisha, na mchango wake katika jamii.

Mbali na hayo, waandishi wanapaswa kuwa na rekodi ya kazi zenye mchango kwa jamii kwa njia chanya.

Katika kipengele cha kiongozi bora wa jamii, sifa inayotazamwa ni mshiriki kuonyesha juhudi zake katika kuboresha maisha ya watu wengine, kwa mfano kupitia miradi ya elimu, afya, au ujasiriamali.

Pia, uongozi wake unapaswa kuwa na athari chanya kwa watu wa rika mbalimbali, na anapaswa kuwa mfano wa kuigwa katika jitihada za kuboresha maisha ya watu wake.

Chanzo Gazeti la Mwananchi
#mwananchiupdates


IMG_5679.png

1f5e7f63-1599-4e31-ae4c-964250ab26ef.jpeg

IMG_5651.jpeg

IMG_5642.jpeg



Pia, soma:
-https://www.jamiiforums.com/threads/yericko-nyerere-ashinda-tuzo-ya-mwandishi-bora-wa-vitabu-afrika-2024.2241965/

- Yericko Nyerere ashinda tuzo ya mwandishi bora wa vitabu Afrika 2024
 
yaani kila mwaka anashinda tuzo lakini hatuambiwi ameshinda kupitia kitabu gani nasi tukakisome tuone ufundi wake..hizi tuzo anashinda kweli kwa kuandika kitabu kipya kila mwaka au anapewa tu..anayevijua vitabu vyake atutajie hata vitatu tu na vinakopatikana ukiacha kile cha ujasusi wa kidola...
 
Hongera kwake! Ingekuwa kwa wale jamaa angeenguliwa kwenye kinyang'anyilo/mashindano.
Mwandishi wa vitabu na mwanasiasa nchini, Yericko Nyerere usiku wa kuamkia leo ameshinda tuzo mbili, ikiwemo ya mwandishi bora wa vitabu Afrika.

Yericko ameshinda tuzo hizo zinazojulikana kama Zikomo Awards katika vipengele vya mwandishi bora wa vitabu Afrika na kiongozi bora wa kijamii.

Tuzo hizo zimefanyika usiku wa Novemba 30, 2024 nchini Afrika Kusini.

Kwa mujibu wa tovuti ya tuzo hizo, ili uingie katika kinyang’anyiro cha mwandishi bora wa vitabu ni lazima uwe umechapisha vitabu vinavyojulikana kwa ubora wake wa kiufundi, maudhui yanayoelimisha au kuburudisha, na mchango wake katika jamii.

Mbali na hayo, waandishi wanapaswa kuwa na rekodi ya kazi zenye mchango kwa jamii kwa njia chanya.

Katika kipengele cha kiongozi bora wa jamii, sifa inayotazamwa ni mshiriki kuonyesha juhudi zake katika kuboresha maisha ya watu wengine, kwa mfano kupitia miradi ya elimu, afya, au ujasiriamali.

Pia, uongozi wake unapaswa kuwa na athari chanya kwa watu wa rika mbalimbali, na anapaswa kuwa mfano wa kuigwa katika jitihada za kuboresha maisha ya watu wake.

Chanzo Gazeti la Mwananchi
#mwananchiupdates

View attachment 3170169
View attachment 3170170
View attachment 3170171
View attachment 3170172
View attachment 3170173


Pia, soma:
-https://www.jamiiforums.com/threads/yericko-nyerere-ashinda-tuzo-ya-mwandishi-bora-wa-vitabu-afrika-2024.2241965/

- Yericko Nyerere ashinda tuzo ya mwandishi bora wa vitabu Afrika 2024
 
Mkuu chiembe, Nathibitiaha, Yes Mkuu wa Zikomo alifika Mbutu Block E, Kigamboni kwa lengo moja tu, Kukagua na kujiridhisha mshiriki wa tuzo ya Kiongozi Bora wa Kijamiii ni kiongozi kweli wa kijamii au laa kama vigezo vya tuzo vinavyotaka, Alitembelea nchi 8 zote za washiriki wa tuzo hiyo na kukutana nao ana kwa ana kabla ya utoaji tuzo hizo…. Akajiridhisha Yericko ni mwanasiasa, ni kiongozi wa kisiasa, na mwanaharakati wa kijamii…. Hivyo nikakidhi vigezo na mwisho nimeshinda tuzo hiyo ya The Community Leader of the Year 2024.
 
yaani kila mwaka anashinda tuzo lakini hatuambiwi ameshinda kupitia kitabu gani nasi tukakisome tuone ufundi wake..hizi tuzo anashinda kweli kwa kuandika kitabu kipya kila mwaka au anapewa tu..anayevijua vitabu vyake atutajie hata vitatu tu na vinakopatikana ukiacha kile cha ujasusi wa kidola...
IMG_5343.jpeg

IMG_5345.jpeg


OFA YA TUZO.

PATA VITABU BORA AFRIKA.

1. Kitabu cha UJASUSI kwa OFA YA TUZO 30,000 tu badala ya bei halisi ya 80,000/=.

Kurasa 776
Marejeo 330

2. Kitabu cha “MOSCOW: Oparesheni Ukraine” kwa OFA YA TUZO 140,000 tu badala ya bei halisi ya 150,000/= tu

Kurasa 1,400
Sura 1-14,
Marejeo 389

Nunua kwa:
Lipa Tigo 7489022
Lipa Voda 5352627

M-Pesa. 0755865544
TIGOPESA 0715865544

CRDB BANK AC No 0152241955000 (YERICKO YOHANESY NYERERE).

Kwa Dar ni free delivery
Nje ya Dar nauli 8,000/=
 
N
View attachment 3170869
View attachment 3170870

OFA YA TUZO.

PATA VITABU BORA AFRIKA.

1. Kitabu cha UJASUSI kwa OFA YA TUZO 30,000 tu badala ya bei halisi ya 80,000/=.

Kurasa 776
Marejeo 330

2. Kitabu cha “MOSCOW: Oparesheni Ukraine” kwa OFA YA TUZO 140,000 tu badala ya bei halisi ya 150,000/= tu

Kurasa 1,400
Sura 1-14,
Marejeo 389

Nunua kwa:
Lipa Tigo 7489022
Lipa Voda 5352627

M-Pesa. 0755865544
TIGOPESA 0715865544

CRDB BANK AC No 0152241955000 (YERICKO YOHANESY NYERERE).

Kwa Dar ni free delivery
Nje ya Dar nauli 8,000/=
NAtaka hcho kitabu cha ujasusi nakipataje no zako pls nko dar
 
N

NAtaka hcho kitabu cha ujasusi nakipataje no zako pls nko dar
OFA YA TUZO.

PATA VITABU BORA AFRIKA.

1. Kitabu cha UJASUSI kwa OFA YA TUZO 30,000 tu badala ya bei halisi ya 80,000/=.

Kurasa 776
Marejeo 330

2. Kitabu cha “MOSCOW: Oparesheni Ukraine” kwa OFA YA TUZO 140,000 tu badala ya bei halisi ya 150,000/= tu

Kurasa 1,400
Sura 1-14,
Marejeo 389

Nunua kwa:
Lipa Tigo 7489022
Lipa Voda 5352627

M-Pesa. 0755865544
TIGOPESA 0715865544

CRDB BANK AC No 0152241955000 (YERICKO YOHANESY NYERERE).

Kwa Dar ni free delivery
Nje ya Dar nauli 8,000/=
 
Mwandishi wa vitabu na mwanasiasa nchini, Yericko Nyerere usiku wa kuamkia leo ameshinda tuzo mbili, ikiwemo ya mwandishi bora wa vitabu Afrika.

Yericko ameshinda tuzo hizo zinazojulikana kama Zikomo Awards katika vipengele vya mwandishi bora wa vitabu Afrika na kiongozi bora wa kijamii.

Tuzo hizo zimefanyika usiku wa Novemba 30, 2024 nchini Afrika Kusini.

Kwa mujibu wa tovuti ya tuzo hizo, ili uingie katika kinyang’anyiro cha mwandishi bora wa vitabu ni lazima uwe umechapisha vitabu vinavyojulikana kwa ubora wake wa kiufundi, maudhui yanayoelimisha au kuburudisha, na mchango wake katika jamii.

Mbali na hayo, waandishi wanapaswa kuwa na rekodi ya kazi zenye mchango kwa jamii kwa njia chanya.

Katika kipengele cha kiongozi bora wa jamii, sifa inayotazamwa ni mshiriki kuonyesha juhudi zake katika kuboresha maisha ya watu wengine, kwa mfano kupitia miradi ya elimu, afya, au ujasiriamali.

Pia, uongozi wake unapaswa kuwa na athari chanya kwa watu wa rika mbalimbali, na anapaswa kuwa mfano wa kuigwa katika jitihada za kuboresha maisha ya watu wake.

Chanzo Gazeti la Mwananchi
#mwananchiupdates

View attachment 3170169
View attachment 3170170
View attachment 3170171
View attachment 3170172
View attachment 3170173


Pia, soma:
-https://www.jamiiforums.com/threads/yericko-nyerere-ashinda-tuzo-ya-mwandishi-bora-wa-vitabu-afrika-2024.2241965/

- Yericko Nyerere ashinda tuzo ya mwandishi bora wa vitabu Afrika 2024
Mzee wangu Mohamed Said wewe hujashiriki?!!
mie nakutambua kama nguli..
 
OFA YA TUZO.

PATA VITABU BORA AFRIKA.

1. Kitabu cha UJASUSI kwa OFA YA TUZO 30,000 tu badala ya bei halisi ya 80,000/=.

Kurasa 776
Marejeo 330

2. Kitabu cha “MOSCOW: Oparesheni Ukraine” kwa OFA YA TUZO 140,000 tu badala ya bei halisi ya 150,000/= tu

Kurasa 1,400
Sura 1-14,
Marejeo 389

Nunua kwa:
Lipa Tigo 7489022
Lipa Voda 5352627

M-Pesa. 0755865544
TIGOPESA 0715865544

CRDB BANK AC No 0152241955000 (YERICKO YOHANESY NYERERE).

Kwa Dar ni free delivery
Nje ya Dar nauli 8,000/=
Mzee MS hajashiriki?!
 
Mwandishi wa vitabu na mwanasiasa nchini, Yericko Nyerere usiku wa kuamkia leo ameshinda tuzo mbili, ikiwemo ya mwandishi bora wa vitabu Afrika.

Yericko ameshinda tuzo hizo zinazojulikana kama Zikomo Awards katika vipengele vya mwandishi bora wa vitabu Afrika na kiongozi bora wa kijamii.

Tuzo hizo zimefanyika usiku wa Novemba 30, 2024 nchini Afrika Kusini.

Kwa mujibu wa tovuti ya tuzo hizo, ili uingie katika kinyang’anyiro cha mwandishi bora wa vitabu ni lazima uwe umechapisha vitabu vinavyojulikana kwa ubora wake wa kiufundi, maudhui yanayoelimisha au kuburudisha, na mchango wake katika jamii.

Mbali na hayo, waandishi wanapaswa kuwa na rekodi ya kazi zenye mchango kwa jamii kwa njia chanya.

Katika kipengele cha kiongozi bora wa jamii, sifa inayotazamwa ni mshiriki kuonyesha juhudi zake katika kuboresha maisha ya watu wengine, kwa mfano kupitia miradi ya elimu, afya, au ujasiriamali.

Pia, uongozi wake unapaswa kuwa na athari chanya kwa watu wa rika mbalimbali, na anapaswa kuwa mfano wa kuigwa katika jitihada za kuboresha maisha ya watu wake.

Chanzo Gazeti la Mwananchi
#mwananchiupdates

View attachment 3170169
View attachment 3170170
View attachment 3170171
View attachment 3170172
View attachment 3170173


Pia, soma:
-https://www.jamiiforums.com/threads/yericko-nyerere-ashinda-tuzo-ya-mwandishi-bora-wa-vitabu-afrika-2024.2241965/

- Yericko Nyerere ashinda tuzo ya mwandishi bora wa vitabu Afrika 2024
Chawa watanuna wakiona Mwanachadema anakula raha kwa kazi halali.

Wao waendelee kutekana tu
 
Back
Top Bottom