Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
We Yericcko hizi taarifa za kuandika muda huu unazipata wapi? Au na wewe ni infiltrates wa Putin?Kitabu cha “MOSCOW: Oparesheni Ukraine” kwa OFA YA TUZO 140,000 tu badala ya bei halisi ya 150,000/= tu
Huyu ni mshindi wa kudumu wa ZIKOMO. Huyo mmiliki wa Zikomo hovyo sana.Zikomo akila ugali na mlenda nyumbani kwa Yericko, akiwa na Mwijaku. Kwa staili hii atashinda tuzo zote mpaka za kushinda njaa
View attachment 3170363
Kwanini msimpeleke Mchengerwa naye akashindane?Huyu ni mshindi wa kudumu wa ZIKOMO. Huyo mmiliki wa Zikomo hovyo sana.
Ila kina Doto Magari , Mwijaku, Steve Mengele na wengine wa sampuli hiyo ndio wanasafiri na Rais .Sijui kwa nini watu wenye akili na mawazo chanya wanapuuzwa kule Tanganyika.
Hakika kabisaHuyu ni mshindi wa kudumu wa ZIKOMO. Huyo mmiliki wa Zikomo hovyo sana.
Anapewa sio anashinda tofautisha kupewa na kushindaHii tuzo mbona anashinda mara nyingi nyingi hivyo??
Ndege wafananao huruka pamoja huwezi kumkuta popo anaruka pamoja na yangeyange au kunguru anaruka pamoja na bundi hata siku moja, kwa hio ukiona sampuli zinazobebwa ndio sampuli ambazo Bibi anafanana nazoIla kina Doto Magari , Steve Mengele wengine wa samuli hiyo ndio wanasafiri na Rais .
Kapewa sio kashinda tofautisha kushinda na kupewaHuyu ni mshindi wa kudumu wa ZIKOMO. Huyo mmiliki wa Zikomo hovyo sana.
Mhhhh..... dunia hii!, karudishe picha ulizofuta Instagram sasa, pia umekuwa muungwana kwa kukiriMkuu chiembe, Nathibitiaha, Yes Mkuu wa Zikomo alifika Mbutu Block E, Kigamboni kwa lengo moja tu, Kukagua na kujiridhisha mshiriki wa tuzo ya Kiongozi Bora wa Kijamiii ni kiongozi kweli wa kijamii au laa kama vigezo vya tuzo vinavyotaka, Alitembelea nchi 8 zote za washiriki wa tuzo hiyo na kukutana nao ana kwa ana kabla ya utoaji tuzo hizo…. Akajiridhisha Yericko ni mwanasiasa, ni kiongozi wa kisiasa, na mwanaharakati wa kijamii…. Hivyo nikakidhi vigezo na mwisho nimeshinda tuzo hiyo ya The Community Leader of the Year 2024.
Anaviuza mkononi mpigie simu ila bei yake sio ya madafuTuambieni vitabu vya yericko nyerere vinapatikana wapi na kama vipo on line mseme tuvifuatilie nasi tukavisome tujue yaliyoandikwa humo mpaka akapata tuzo
hana wakala?Anaviuza mkononi mpigie simu ila bei yake sio ya madafu
Wakala yupi eti Yericko Nyerere una Wakala wa kukuuzia vitabu?hana wakala?
nathani yericko nyerere yumo humu atajibu swali hili kama ana wakalaWakala yupi eti Yericko Nyerere una Wakala wa kukuuzia vitabu?
OFA YA TUZO.Tuambieni vitabu vya yericko nyerere vinapatikana wapi na kama vipo on line mseme tuvifuatilie nasi tukavisome tujue yaliyoandikwa humo mpaka akapata tuzo
Yericko katunga vitabu gani?Hii tuzo mbona anashinda mara nyingi nyingi hivyo??
Kuna namna si bure. Akina Ngugi siwaoni.Hii tuzo mbona anashinda mara nyingi nyingi hivyo??
Mkuu usikubali. Andika kitabu na wewe ushindeHuyu ni mshindi wa kudumu wa ZIKOMO. Huyo mmiliki wa Zikomo hovyo sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huwezi kuwa Chadema halafu ukashindwa, Labda kama Majaji anateua Mchengerwa kama wa Tamisemi