Yericko Nyerere na wenzake wenye Mashaka na Lissu waende kwenye Kaburi la JPM halafu wamuulize Tundu Lissu ni Nani? Maana huenda hawamjui vizuri

Hata JK anautambua uwezo mkubwa wa Lissu aliwahi kusema bora Dr. Slaa awe Rais kuliko Lissu kuwa mbunge. Sasa hivi maccm yote ghafla yamekuwa upande wa Mbowe na kumshambulia Lissu hii ni ishara kuwa wanamuogopa sana Lissu akiwa mwenyekiti atawasumbua sana.
 
Mkuu huo ndo ukweli 100%, tunaongea Sana viongozi waandamizi ccm, wanasema akipita lissu itabidi wabadili mbinu😂😂
 
Kwani chadema wamnyima lisu kumpa fomu ya kugombea uenyekiti
Unajua mali mbowe alizopoteza
 
Kuwa wakiki nguli hakumnyimi mtu sifa ya uropokaji ,,,, hii ni inborn Simlaumu, ukweli ni viatu havimtoshi

Kimantiki huwezi kuwa Mwanasheria Nguli na wakili Nguli alafu uwe mropokaji.

Ili uwe Mwanasheria Nguli lazima ujue kujenga hoja zenye mantiki. Na huwezi kuwa mjenga hoja mwenye mantiki alafu ukawa mropokaji.

Nafikiri unachanganya mafaili
 
aaaah wamfananisha lisu na mbowe? hapana lisu ni mtu mwenye akili sana na msomi huwezi mfananisha na mbowe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…