Yericko Nyerere na wenzake wenye Mashaka na Lissu waende kwenye Kaburi la JPM halafu wamuulize Tundu Lissu ni Nani? Maana huenda hawamjui vizuri

Huu uzi wako mfupi umefunga ndomo hoja zote za Yerricko
 
Kwamba wakati kuna kikao cha panya mabaka,kijivu na panya wooote wakilenga kujadili namna ya kumfunga paka kengele ilihali hawatoi sauti Lissu hakuwepo bali alikuwa ulingoni akipambana na paka 😂😂😂😂😂😂
 
Kama ni hivyo HAKUKUWA NA HAJA YA KUMMINIA MVUA YA RISASI ZILE.
 
Mimi mwanzoni nilikua namsupport lisu
Ila alichoandika yeriko kinafikirusha sana
Kuendesha taasisi inayopigwa vita na serikali ni kazi ngumu sana

Tunaweza mtuhumu sana mbowe ila ukweli ni kwamba tatizo lipo kwa watanzania na sio mbowe hata akiingia lisu kuwa mwenyekiti atagundua tatizo liko kwa watanzania muamko bado ni mdogo sana

Mbowe ame-sacrifice maisha yake kuipigania chadema kwa maumivu makubwa sana ni basi tu wapiga kelele hawawezi ona
 
Siku nyingine usijiweke kundi moja na yeriko amekuzidi mambo mengi sana kwenye siasa you're no body usijipe umuhimu huo

Yeriko baada ya uchaguzi wa 2015 alikuwa anasakwa mpaka kova akaja kwenye vyombo vya habari kwamba serikali inamsaka mpaka lowasa naye akatoa tamko kwamba aachiwe huku zoezi la uwizi wa kura ukiendelea pale masaki alafu bila aibu unamuita keyboard warriors

Yeriko ni muhamga mkubwa sana wa kesi nyingi za uchochezi usijifananishe nae kwenye siasa amekuzidi mambo mengi sana korido za mahakama anazijua sana

Unahaki ya kumpinga lakin hauko naye sawa kwenye mambo ya siasa ni ujinga kumuita keyboard warriors
Wewe ndo keyboard warriors na sio yeriko
 
Wewe ni pro-Lissu wa sikuzote.
Kila mtu anakujua as Yericko alivo Pro-mwamba.
 
Tuwahurumie vijana wa Mbowe maana wanatumika bila kujua. Kazi yao ni kushambulia na kujeruhi yeyote anayetishia maslahi yao kwa kunusa nafasi ya uenyekiti
 

..Ccm ni wakatili kuliko wakoloni wa Kiingereza.

..wakati wa kudai uhuru wa Tanganyika, viongozi au wanachama wa Tanu hawakutekwa, kuteswa, au kupotezwa.

..Tanganyika tulipata uhuru wa nchi, sasa tunapigania uhuru wa wananchi.
 
🌤️🙋‍♂️👊👏🤝🙏
 
Kuwa wakiki nguli hakumnyimi mtu sifa ya uropokaji ,,,, hii ni inborn Simlaumu, ukweli ni viatu havimtoshi
Mropokaji ni mtu anayeongea pasipokuwa na hoja. Tusaidie ni wapi ambapo Lissu aliwahi kuongea bila hoja.
 
Kwani chadema wamnyima lisu kumpa fomu ya kugombea uenyekiti
Unajua mali mbowe alizopoteza
Mnaongelea Mbowe kupoteza mali kana kwamba wengine hawajawahi kupoteza chochote, unajua namna maisha ya Lissu yalivyokuwa yapotezwe? Unajua mchungu na fadhaha alizopitia? Unajua majeraha aliyoyapata na utimamu wa mwili alioupoteza au kwenu mali matters kuliko chochote?
 
Lisu hanauwezo wakuongoza chama, kama hamuamini mpeni uentekiti mtajua hamjui, Meenyekiti anatakiwa awenimtu mwenye busara na akili zakutulia.

Ulopokaji na uanaharakati wenye misifa ya kijinga hautakipeleka chama popote.
 
Point yako namba tatu ndio hasa kinachitakiwa kufanywa na wapinzani. Kama wanaibiwa kura na ccm kwa kushirikiana na mamlaka tena bila aibu wala kificho na hakuna hatua zinazochukuliwa na serikali na CDM yenyewe zaidi ya kulalamika unapenda upinzani uwe vipi? Confrontational politics ndio suluhisho la siasa za hovyo za ccm. Kama polisi inashiriki kuisadia ccm kupitisha mabox ya kura feki kama wapinzani wanavyodai basi watakabiliana na vijana wa CDM kwenye vituo vya kura muhimu haki itendeke, vinginevyo hakuna sababu ya kushiriki uchaguzi wala kupiga kura ikiwa chla tawala kinafanya hujuma za wazi na hakuna hatua zinazochukuliwa.
 
Angekuwa mropokaji asingekuwa Mwanasheria na wakili Nguli.

Nafikiri hujui mambo yanayomfanya mtu awe Mwanasheria Nguli na wakili mbobevu.
Ungekuwa Una idea Walau kidogo Wala usingefikiri achilia mbali kusema Lisu ni mropokaji
Ukimuuliza unachowezakushindana nacho kwenye elimu yako ni kipi hana jibu.
 
Kuhusu JPM vs Lissu umepatia hoja 100%. Lissu ni mpambanaji wa uhakika. Hakuna ubishi.

Sasa jiulize kama hiyo inampa Lissu uwezo mkubwa wa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA. Kama vile Messi angetaka kuwa Rais wa FCB.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…