Yericko Nyerere na wenzake wenye Mashaka na Lissu waende kwenye Kaburi la JPM halafu wamuulize Tundu Lissu ni Nani? Maana huenda hawamjui vizuri

Yericko Nyerere na wenzake wenye Mashaka na Lissu waende kwenye Kaburi la JPM halafu wamuulize Tundu Lissu ni Nani? Maana huenda hawamjui vizuri

1.Hupigi kura mkuu

2.TL anatumika na Diaspora na Maria Sarungi

3.TL sio mtu mbaya, shida yake ni confrontation politics, nani atamwamini mtu wa namna hii?

4.CDM sio taasisi yenye fedha kama CCM, hizo Elf kumi kumi za Diaspora zinaweza endesha harakati za CDM kwel?

5.CDM itajiondolea uwezo wao kama tassisi wa kuaminika na taasisi kwenye mambo mengine ya kiserikali, hiyo openness anayoitaka TL ni ya kuendesha chekechea sio Chama cha siasa chenyr ushawishi...

6.TL anajua kuzungumza, amewahi kuongoza taasis gani ya mafanikio tangu azaliwe?

Mnamponza kijana apotee
Mkuu, hivi JKN alikwenda hadi USA 🇺🇸 kudai Uhuru wa Tanganyika alikuwa na fedha?
 
Kwema Wakuu!

Unaweza kuishi na mtu Miaka nenda Rudi lakini usiujue uwezo wake.

Kimichezo, huwezi kujua uwezo wa mshambuliaji wa timu yenu zaidi ya Beki anayemkaba Mshambuliaji wenu.
Yaani Mabeki wa Barcelona hawawezi uelewa uwezo wa Messi uwanjani kuliko Mabeki wa timu zingine kama Real Madrid.

Huwezi Jua Msimamo na uwezo wa Mkeo au mumeo kukataa na tamaa yake zaidi ya wale wanaomtongoza Mumeo au Mkeo.

Yericko Nyerere na wenzake hawana uwezo wowote wa kuelezea uwezo wa Tundu Lisu.

Watu pekee wanaomjua Tundu Lisu uwezo wake namba Moja kabisa ni Hayati John pombe Magufuli na washauri wake wote.
Hao wanaweza wakakueleza Tundu Lisu ni mtu wa aina gani.

Kipindi cha awamu ya tano wakati nchi nzima ikiwa imetulizwa, ikatulia, uwanja ukiwa umeinama, wapinzani wakiwa hoi dhidi ya JPM na team yake.

Lisu ndiye aliyekuwa kinara yaani kama kwenye Filamu tungesema Mhusika Mkuu katika mapambano ya awamu ya tano walikuwa ni Lisu Vs JPM.
Na mechi ilichezwa dakika Mia na ishirini Mpaka Penati.

Lisu licha ya kushambuliwa vikali lakini hakujisalimisha,

Ilifika hatua nchi ikabaki na watu wawili tuu. Yaani JPM Vs Lisu.

Sisi wengine akiwemo Yericko na wenzake tulibaki mashimoni kama panya Buku, tukigeuka Keyboard warriors huku tukimwambia Maxence Melo asije akatuuza 😃😃

Usalama wa taifa, serikali ndio inajua uwezo wa Lisu kwa sababu wao ndio wanakuwa wanakinzana mara kwa mara. Lakini sio kina Yericko.

Kwa Sisi watunzi wa simulizi na filamu, Lisu tungempa uwezo wa ajabu na ikiwezekana kumnusuru kivyovyote ili mwisho Adui kuu akutane na Star.

Nishamaliza
Sikubaliani na hoja ya Yericko Nyerere kuwa Lisu anafaa kugombea urais na siyo uwenyekiti.Maana yake anafaa kuwa Mkuu wa nchi siyo kuwa mwenyekiti wa Chadema.
 
Endapo chadema itamletea figisu Lisu ni bora ahame tu, kuhama si dhambi, endapo kama hukubaliani na mwenendo wa chama fulani siyo DHAMBI kuondoka
 
Kwema Wakuu!

Unaweza kuishi na mtu Miaka nenda Rudi lakini usiujue uwezo wake.

Kimichezo, huwezi kujua uwezo wa mshambuliaji wa timu yenu zaidi ya Beki anayemkaba Mshambuliaji wenu.
Yaani Mabeki wa Barcelona hawawezi uelewa uwezo wa Messi uwanjani kuliko Mabeki wa timu zingine kama Real Madrid.

Huwezi Jua Msimamo na uwezo wa Mkeo au mumeo kukataa na tamaa yake zaidi ya wale wanaomtongoza Mumeo au Mkeo.

Yericko Nyerere na wenzake hawana uwezo wowote wa kuelezea uwezo wa Tundu Lisu.

Watu pekee wanaomjua Tundu Lisu uwezo wake namba Moja kabisa ni Hayati John pombe Magufuli na washauri wake wote.
Hao wanaweza wakakueleza Tundu Lisu ni mtu wa aina gani.

Kipindi cha awamu ya tano wakati nchi nzima ikiwa imetulizwa, ikatulia, uwanja ukiwa umeinama, wapinzani wakiwa hoi dhidi ya JPM na team yake.

Lisu ndiye aliyekuwa kinara yaani kama kwenye Filamu tungesema Mhusika Mkuu katika mapambano ya awamu ya tano walikuwa ni Lisu Vs JPM.
Na mechi ilichezwa dakika Mia na ishirini Mpaka Penati.

Lisu licha ya kushambuliwa vikali lakini hakujisalimisha,

Ilifika hatua nchi ikabaki na watu wawili tuu. Yaani JPM Vs Lisu.

Sisi wengine akiwemo Yericko na wenzake tulibaki mashimoni kama panya Buku, tukigeuka Keyboard warriors huku tukimwambia Maxence Melo asije akatuuza 😃😃

Usalama wa taifa, serikali ndio inajua uwezo wa Lisu kwa sababu wao ndio wanakuwa wanakinzana mara kwa mara. Lakini sio kina Yericko.

Kwa Sisi watunzi wa simulizi na filamu, Lisu tungempa uwezo wa ajabu na ikiwezekana kumnusuru kivyovyote ili mwisho Adui kuu akutane na Star.

Nishamaliza
Kuna kipindi Rais Mstaafu Kikwete aliwai kusema ni heli Dr Slaa akapewa Urais kuliko Tundu Lissu kuingia Bungeni!
Sasa huyu Yericko mtoto mdogo anataka kubeza ushujaa wa Mwamba wa Singida!!
 
Mkuu, hivi JKN alikwenda hadi USA 🇺🇸 kudai Uhuru wa Tanganyika alikuwa na fedha?
Kwamba CCM ni mkoloni?
Kulikuwa na JKN wangapi wanaodai uhuru wakati huo?

FYI Mbowe Sr alifadhili hiyo safari..

Mazingira ya siasa za Tanzania sasa ni sawa na miaka 60 iliyopita?

Mkoloni asingeammua kuachia uhuru wa nchi hizi unadhani mapambano ya Kina Nyerere yangefua dafu?

Nyerere alikuwa mropokaji? Au strategist?

Siasa za sasa ni zaidi ya kuropoka kwenye majukwaa ingekwa hivyo Mtukila angekuwa Rais wa nchi hii kitambo sana.
 
Kwema Wakuu!

Unaweza kuishi na mtu Miaka nenda Rudi lakini usiujue uwezo wake.

Kimichezo, huwezi kujua uwezo wa mshambuliaji wa timu yenu zaidi ya Beki anayemkaba Mshambuliaji wenu.
Yaani Mabeki wa Barcelona hawawezi uelewa uwezo wa Messi uwanjani kuliko Mabeki wa timu zingine kama Real Madrid.

Huwezi Jua Msimamo na uwezo wa Mkeo au mumeo kukataa na tamaa yake zaidi ya wale wanaomtongoza Mumeo au Mkeo.

Yericko Nyerere na wenzake hawana uwezo wowote wa kuelezea uwezo wa Tundu Lisu.

Watu pekee wanaomjua Tundu Lisu uwezo wake namba Moja kabisa ni Hayati John pombe Magufuli na washauri wake wote.
Hao wanaweza wakakueleza Tundu Lisu ni mtu wa aina gani.

Kipindi cha awamu ya tano wakati nchi nzima ikiwa imetulizwa, ikatulia, uwanja ukiwa umeinama, wapinzani wakiwa hoi dhidi ya JPM na team yake.

Lisu ndiye aliyekuwa kinara yaani kama kwenye Filamu tungesema Mhusika Mkuu katika mapambano ya awamu ya tano walikuwa ni Lisu Vs JPM.
Na mechi ilichezwa dakika Mia na ishirini Mpaka Penati.

Lisu licha ya kushambuliwa vikali lakini hakujisalimisha,

Ilifika hatua nchi ikabaki na watu wawili tuu. Yaani JPM Vs Lisu.

Sisi wengine akiwemo Yericko na wenzake tulibaki mashimoni kama panya Buku, tukigeuka Keyboard warriors huku tukimwambia Maxence Melo asije akatuuza 😃😃

Usalama wa taifa, serikali ndio inajua uwezo wa Lisu kwa sababu wao ndio wanakuwa wanakinzana mara kwa mara. Lakini sio kina Yericko.

Kwa Sisi watunzi wa simulizi na filamu, Lisu tungempa uwezo wa ajabu na ikiwezekana kumnusuru kivyovyote ili mwisho Adui kuu akutane na Star.

Nishamaliza
Sahihi kabisa,chama kimeshakuwa kikubwa hakuna tena ya kumtegemea mtu mmoja kura zipigwe mshindi atangazwe bila ubabaishaji(kama Lisu ana lengo baya ataanguka yeye na sio Chadema).
 
Kwema Wakuu!

Unaweza kuishi na mtu Miaka nenda Rudi lakini usiujue uwezo wake.

Kimichezo, huwezi kujua uwezo wa mshambuliaji wa timu yenu zaidi ya Beki anayemkaba Mshambuliaji wenu.
Yaani Mabeki wa Barcelona hawawezi uelewa uwezo wa Messi uwanjani kuliko Mabeki wa timu zingine kama Real Madrid.

Huwezi Jua Msimamo na uwezo wa Mkeo au mumeo kukataa na tamaa yake zaidi ya wale wanaomtongoza Mumeo au Mkeo.

Yericko Nyerere na wenzake hawana uwezo wowote wa kuelezea uwezo wa Tundu Lisu.

Watu pekee wanaomjua Tundu Lisu uwezo wake namba Moja kabisa ni Hayati John pombe Magufuli na washauri wake wote.
Hao wanaweza wakakueleza Tundu Lisu ni mtu wa aina gani.

Kipindi cha awamu ya tano wakati nchi nzima ikiwa imetulizwa, ikatulia, uwanja ukiwa umeinama, wapinzani wakiwa hoi dhidi ya JPM na team yake.

Lisu ndiye aliyekuwa kinara yaani kama kwenye Filamu tungesema Mhusika Mkuu katika mapambano ya awamu ya tano walikuwa ni Lisu Vs JPM.
Na mechi ilichezwa dakika Mia na ishirini Mpaka Penati.

Lisu licha ya kushambuliwa vikali lakini hakujisalimisha,

Ilifika hatua nchi ikabaki na watu wawili tuu. Yaani JPM Vs Lisu.

Sisi wengine akiwemo Yericko na wenzake tulibaki mashimoni kama panya Buku, tukigeuka Keyboard warriors huku tukimwambia Maxence Melo asije akatuuza 😃😃

Usalama wa taifa, serikali ndio inajua uwezo wa Lisu kwa sababu wao ndio wanakuwa wanakinzana mara kwa mara. Lakini sio kina Yericko.

Kwa Sisi watunzi wa simulizi na filamu, Lisu tungempa uwezo wa ajabu na ikiwezekana kumnusuru kivyovyote ili mwisho Adui kuu akutane na Star.

Nishamaliza
Unaakili sana
 
Kwema Wakuu!

Unaweza kuishi na mtu Miaka nenda Rudi lakini usiujue uwezo wake.

Kimichezo, huwezi kujua uwezo wa mshambuliaji wa timu yenu zaidi ya Beki anayemkaba Mshambuliaji wenu.
Yaani Mabeki wa Barcelona hawawezi uelewa uwezo wa Messi uwanjani kuliko Mabeki wa timu zingine kama Real Madrid.

Huwezi Jua Msimamo na uwezo wa Mkeo au mumeo kukataa na tamaa yake zaidi ya wale wanaomtongoza Mumeo au Mkeo.

Yericko Nyerere na wenzake hawana uwezo wowote wa kuelezea uwezo wa Tundu Lisu.

Watu pekee wanaomjua Tundu Lisu uwezo wake namba Moja kabisa ni Hayati John pombe Magufuli na washauri wake wote.
Hao wanaweza wakakueleza Tundu Lisu ni mtu wa aina gani.

Kipindi cha awamu ya tano wakati nchi nzima ikiwa imetulizwa, ikatulia, uwanja ukiwa umeinama, wapinzani wakiwa hoi dhidi ya JPM na team yake.

Lisu ndiye aliyekuwa kinara yaani kama kwenye Filamu tungesema Mhusika Mkuu katika mapambano ya awamu ya tano walikuwa ni Lisu Vs JPM.
Na mechi ilichezwa dakika Mia na ishirini Mpaka Penati.

Lisu licha ya kushambuliwa vikali lakini hakujisalimisha,

Ilifika hatua nchi ikabaki na watu wawili tuu. Yaani JPM Vs Lisu.

Sisi wengine akiwemo Yericko na wenzake tulibaki mashimoni kama panya Buku, tukigeuka Keyboard warriors huku tukimwambia Maxence Melo asije akatuuza 😃😃

Usalama wa taifa, serikali ndio inajua uwezo wa Lisu kwa sababu wao ndio wanakuwa wanakinzana mara kwa mara. Lakini sio kina Yericko.

Kwa Sisi watunzi wa simulizi na filamu, Lisu tungempa uwezo wa ajabu na ikiwezekana kumnusuru kivyovyote ili mwisho Adui kuu akutane na Star.

Nishamaliza
Halafu anatokea Mshamba mmoja anayeishi Kigamboni maporini anakuambia Lissu Msaliti…. Anachezwa na Msigwa kupitia CCM na inachezeshwa na Dola, Lissu amekaa vikao sana Nairobi kuihujumu chadema….. hivi huyu dogo anaakili sawa sawa kweli?

Unawezaje kumuita Lissu msaliti ?

JPM alituma hadi viongozi wa Dini kumwambia Lissu aache kuisema Serikali kwani Rais anajenga nchi iliyoharibika, Lissu aliwajibu hatoacha kuikosoa Serikali kwa kuwa ni kazi yake . JPM alipoona dogo hatulii ndio akataka kumuondoa mazima
Wakati huo Yericko anapost mambo ya Ulozi akiwa porini huko kigamboni….leo eti Lissu hafai……. Jamaa kiazi kabisa

Tufike mahali Chadema tuwe na maturity na tukubali kuwa nyakati zinabadilika na wasomi wanaongezeka mabadiliko yatakayo accomodate mawazo mengi ni lazima , tusiwe watu wa zidumu fikra Za mwenyeki….. sio muda wake
 
1.Hupigi kura mkuu

2.TL anatumika na Diaspora na Maria Sarungi

3.TL sio mtu mbaya, shida yake ni confrontation politics, nani atamwamini mtu wa namna hii?

4.CDM sio taasisi yenye fedha kama CCM, hizo Elf kumi kumi za Diaspora zinaweza endesha harakati za CDM kwel?

5.CDM itajiondolea uwezo wao kama tassisi wa kuaminika na taasisi kwenye mambo mengine ya kiserikali, hiyo openness anayoitaka TL ni ya kuendesha chekechea sio Chama cha siasa chenyr ushawishi...

6.TL anajua kuzungumza, amewahi kuongoza taasis gani ya mafanikio tangu azaliwe?

Mnamponza kijana apotee
Huna akili …… kwanin mlimuamini kwenye Urais? He was fit for presidential election kuongoza watu mil 60 , but hafai kuongoza kikundi cha watu laki 5 ?

You are not thinking rationally!
 
Tufike mahali Chadema tuwe na maturity na tukubali kuwa nyakati zinabadilika na wasomi wanaongezeka mabadiliko yatakayo accomodate mawazo mengi ni lazima , tusiwe watu wa zidumu fikra Za mwenyeki….. sio muda wake
Yerricko amejishushia heshima sana. Aliposema tu Faida za Maridhiano Lissu alitaka kulipwa Pesa zake na Abdul nikachoka.
 
Haahaa umemaliza, lissu amepita viwango vyote.Mbowe kipindi Cha Jpm alilegea hatari.Lissu na heche waliface Jpm live.Chadema wakitumia ushabiki tu na uchawa kumweka lissu pembeni wasitafute mchawi
Heche yeye hadi leo anasema aliponea chupu chupu.... Watu wa miwani mieusi walitumwa kumwambia Heche ahamie CCM apewe Uwaziri na dau la pesa.

Heche na Lissu ni vielelezo vya Uzalendo Nchini na Afrika.
 
Huna akili …… kwanin mlimuamini kwenye Urais? He was fit for presidential election kuongoza watu mil 60 , but hafai kuongoza kikundi cha watu laki 5 ?

You are not thinking rationally!
Sasa akiki zangu unataka za nini mkuu😂,

Huu ni uchaguzi wa ndani kama unakuuma tulia ...
 
Rubbish 🗑 🚮! Ukiondoa uropokaji na mihemko Lissu anabaki na nini ? !!! Huyo ananufaika na watu wa nje wenye maslahi yao binafsi ! Pia kuna hoja ya msingi inamfanya ashindwe kuvivaa viatu vya mwenyekiti ,,, property qualification! Hii dunia haina huruma tena ,,,,
Hovyp kabisa, hujui hata unachoongea. Lissi is the Brightest and capable man kamq huji. He is the best choice baada ya Nyerere
 
Lisu licha ya kushambuliwa vikali lakini hakujisalimisha,

Ilifika hatua nchi ikabaki na watu wawili tuu. Yaani JPM Vs Lisu.
Ule mchezo Ulikuwa mkali sana.

Watu wote tulibaki midomo.wazi, gemu halifurahishi wala haikeli.
Na jamaa baada ya kupita kwenye uvuli wa mauti bado alirudi tena kukabiliana naye kwenye Uchaguzi.

Jpm hakuamini, angeweza kufikiria huenda anapambana na Jini.
 
Back
Top Bottom