Yericko Nyerere na wenzake wenye Mashaka na Lissu waende kwenye Kaburi la JPM halafu wamuulize Tundu Lissu ni Nani? Maana huenda hawamjui vizuri

Yericko Nyerere na wenzake wenye Mashaka na Lissu waende kwenye Kaburi la JPM halafu wamuulize Tundu Lissu ni Nani? Maana huenda hawamjui vizuri

Lisu amebeba matumaini na watanzania wote wanamkubali baba mbowe tuko chini ya miguu yako muachie lissu
 
Pia Lissu alipo hudhuria mara mbili tu vikao vya maridhiano, Lissu akasema mapema hakuna maridhiano pale, ila mwenyekiti yeye alikomaa mwisho wa siku anakuja kushtuka too late,

aaaah wamfananisha lisu na mbowe? hapana lisu ni mtu mwenye akili sana na msomi huwezi mfananisha na mbowe
 
Tatzo ni ndumi la kuwili,,,ananunulika na kurubuniwa kirahisi
Hakuunga juhudi wakati wa simba wa Yuda wala kwa Mkojani halafu leo useme anunulike?
Kwa kipi?
Baada ya Peter Msigwa kuhamia ccm ccm walimzushia sana TL kuhamia huko je kahamia?
 
1. Je TAL hana sifa/vigezo vya kuwa mgombea wa chama cha CDM?

2. Je ni majira ya uchaguzi au anaoutaka uenyekiti nje ya uchaguzi?

3. Chandema wanaojiita chama cha maendeleo na demokrasia, Km ni hivyo demokrasia yao wanaionyeshaje kwa vitendo kama si kupitia chaguzi zao za ndani zikiwa huru na haki?
Wanaojitokeza watu wa ndani ya chama kumpiga TAL asigombee na ilihali hiyo ni haki yake kikatiba je pana demokrasia kweli hapo?
4. Wanaokosoa TAL kugombea uenyekiti je ni wana Chandema hasa au ni maafisa vipenyo ndani ya chama chao wanaungana na CCM kumpiga TAL?
 
Tatzo ni ndumi la kuwili,,,ananunulika na kurubuniwa kirahisi
Angekuwa ananunulika hiyo chadema isingekuwa hapo! Majority ya sisi waswahili ni key board warrior.. tunajua kubweka kwenye mitandao ila field sasa ni mbwa koko
 
Kwema Wakuu!

Unaweza kuishi na mtu Miaka nenda Rudi lakini usiujue uwezo wake.

Kimichezo, huwezi kujua uwezo wa mshambuliaji wa timu yenu zaidi ya Beki anayemkaba Mshambuliaji wenu.
Yaani Mabeki wa Barcelona hawawezi uelewa uwezo wa Messi uwanjani kuliko Mabeki wa timu zingine kama Real Madrid.

Huwezi Jua Msimamo na uwezo wa Mkeo au mumeo kukataa na tamaa yake zaidi ya wale wanaomtongoza Mumeo au Mkeo.

Yericko Nyerere na wenzake hawana uwezo wowote wa kuelezea uwezo wa Tundu Lisu.

Watu pekee wanaomjua Tundu Lisu uwezo wake namba Moja kabisa ni Hayati John pombe Magufuli na washauri wake wote.
Hao wanaweza wakakueleza Tundu Lisu ni mtu wa aina gani.

Kipindi cha awamu ya tano wakati nchi nzima ikiwa imetulizwa, ikatulia, uwanja ukiwa umeinama, wapinzani wakiwa hoi dhidi ya JPM na team yake.

Lisu ndiye aliyekuwa kinara yaani kama kwenye Filamu tungesema Mhusika Mkuu katika mapambano ya awamu ya tano walikuwa ni Lisu Vs JPM.
Na mechi ilichezwa dakika Mia na ishirini Mpaka Penati.

Lisu licha ya kushambuliwa vikali lakini hakujisalimisha,

Ilifika hatua nchi ikabaki na watu wawili tuu. Yaani JPM Vs Lisu.

Sisi wengine akiwemo Yericko na wenzake tulibaki mashimoni kama panya Buku, tukigeuka Keyboard warriors huku tukimwambia Maxence Melo asije akatuuza 😃😃

Usalama wa taifa, serikali ndio inajua uwezo wa Lisu kwa sababu wao ndio wanakuwa wanakinzana mara kwa mara. Lakini sio kina Yericko.

Kwa Sisi watunzi wa simulizi na filamu, Lisu tungempa uwezo wa ajabu na ikiwezekana kumnusuru kivyovyote ili mwisho Adui kuu akutane na Star.

Nishamaliza
Samia hadi akaamua kumpa simba wa zoom jina la "Tundu Lissu " coz of troubles.
 
Labda abadilikf lakini siyo jasiri kama unavyo pambwa naimani mambo yaliwa magumu atamwaga moto maana anauraia wa ubeligiji huyu. Lalini kamanda anauraia wa kilimanjaro tu. Hapo naona mwenye kiti. Yupo
 
Back
Top Bottom