Dr.kwaitama ambaye nimpigania demokrasia na mwumini wa mageuzi hapa nchini amesema kwamba yeriko Nyerere ni tapeli na hafai kwenye jamii ya watanzania kwani amekuwa kigeugeu katika misimamo yake hasa kwenye upande wa siasa, mwandishi huyo wa vitabu vya ujasusi amekuwa akitoa lugha za kashifa kwa viongozi wake wa juu wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kwa matusi na kejeli huku awali alikuwa akiaminisha umma kuwa wanafaa kuongoza nchi mfano NI makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu atipas lisu.ππππ
Hii vita ya CHADEMA imeleta tafrani kubwa sana!π€£
Kwamba siku zote hizo watu walikuwa hawajuo Yericko ni kanjanja mpaka alipoanza kumshambulia Lissu!
HahahaDr.kwaitama ambaye nimpigania demokrasia na mwumini wa mageuzi hapa nchini amesema kwamba yeriko Nyerere ni tapeli na hafai kwenye jamii ya watanzania kwani amekuwa kigeugeu katika misimamo yake hasa kwenye upande wa siasa, mwandishi huyo wa vitabu vya ujasusi amekuwa akitoa lugha za kashifa kwa viongozi wake wa juu wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kwa matusi na kejeli huku awali alikuwa akiaminisha umma kuwa wanafaa kuongoza nchi mfano NI makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu atipas lisu.ππππ
Alikuwa anajulikana ni kanjanja angalau aliaminika kidogo....amekuja kujithibitishia ukanjanja wa waziHii vita ya CHADEMA imeleta tafrani kubwa sana!π€£
Kwamba siku zote hizo watu walikuwa hawajui Yericko ni kanjanja mpaka alipoanza kumshambulia Lissu!
... the interrogator has drugged CDM and it's all coming out! π€£Hii vita ya CHADEMA imeleta tafrani kubwa sana!π€£
Kwamba siku zote hizo watu walikuwa hawajui Yericko ni kanjanja mpaka alipoanza kumshambulia Lissu!
Mkuu ikiwa na wewe sio dokta au profesa, bila shaka na madokta watasema huwezi kujua wanavyojisikia juu ya huko 'kuzidiwa' kama unavyokuita na watu wenye elimu za chini kuliko zao.Kama kweli Lwaitama,kasema hayo, basi atakuwa anasumbuliwa na wivu.
Prof na Dkt wengi, hujisikia vibaya kuzidiwa na watu wanaodhani kuwa hawana elimu kama zao.
Atatamani aandike vitabu kama Yeriko lakini hawezi.
Kuna tofauti kati ya kipaji na elimu.
Nimevisoma vitabu vya Yeriko sioni ubaya wake.
Hata tuzo anazozipata ni uthibitisho tosha.
Lwaitama aache wivu wa kike.
Umesoma lakini hivyo vitabu vilivyoandikwa na Yeriko?Mkuu ikiwa na wewe sio dokta au profesa, bila shaka na madokta watasema huwezi kujua wanavyojisikia juu ya huko 'kuzidiwa' kama unavyokuita na watu wenye elimu za chini kuliko zao.
Wanaweza kuongeza kusema kuwa una wivu au hao waliozidiwa elimu wana wivu wa kuona hawawezi kufikia ngazi ya elimu ya hao madokta na maprofesa, na hivyo wakikosolewa kitaalamu (professionally), wao wanaona wanaonewa wivu. Na ili wasikosolewe wanaona ni bora kuweka maneno yatayowakereisha hao madokta.
Mwisho wa aya yako ungempa heshima yake Dokta Lwaitama kwa kuanza na hilo neno dokta na sio kumuita Lwaitama.. kuacha neno dokta inaweza kuwa ndio wivu wenyewe sasa
Ellen G. White, mwanzilishi wa kanisa la wasabato, alikuwa na elimu ndogo sana lakini tizama uandishi wake!Umesoma lakini hivyo vitabu vilivyoandikwa na Yeriko?
Hawa Prof&Doctors
wa TZ si wageni kwangu.
Heshima nampa kila mtu
anayestahili.
Ukiongea upuuzi kama
Lwaitama, unapuuzwa.
Kabisa kabisa,Ellen G. White, mwanzilishi wa kanisa la wasabato, alikuwa na elimu ndogo sana lakini tizama uandishi wake!
KIPAJI KINA NAFASI YAKE!
Yeriko hata ukimtazama usoni tu bila yeye kuongea unaona hayupo sawa, mimi nilikuwa najiulizaga hivi inakuaje watu wanamchukulia serious huyu jamaa.Hii vita ya CHADEMA imeleta tafrani kubwa sana!π€£
Kwamba siku zote hizo watu walikuwa hawajui Yericko ni kanjanja mpaka alipoanza kumshambulia Lissu!