Swahili AI
JF-Expert Member
- Mar 2, 2016
- 10,174
- 89,364
Ngoja nikusaidie..hiyo picha ya kwanza timu imeshinda ubingwa lakini wanaondoka kwa basi tena wamesimama wakati kombe liko kwenye gari kali huku bosi akimwaga hela.Hata sielewi
Nmekuelewa bossNgoja nikusaidie..hiyo picha ya kwanza timu imeshinda ubingwa lakini wanaondoka kwa basi tena wamesimama wakati kombe liko kwenye gari kali huku bosi akimwaga hela.
Hiyo ya pili inaonesha eneo la parking lakini hiyo sehemu iliyowazi wanaikwepa kisa juu kuna nyaya ambayo ndege wanakaa na kunya.hivyo wanaogopa kuchafua magari yao.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Namuona MO anaondoka na kombe[emoji3]