YES! KUNA MAPENZI ZAIDI YA PESA! Unaweza kuwa na mshiko ukawa unachunwa vile vile wanahongwa wenzio!

YES! KUNA MAPENZI ZAIDI YA PESA! Unaweza kuwa na mshiko ukawa unachunwa vile vile wanahongwa wenzio!

nimependa ulivyoonesha accounting concepts kwenye hii situation.kweli acruals lazima ziwe debited kwenye P&L
 
Mmh I never expected such a classic promotion 2 happen in here! Shkamoo lara1#
Marhabaaaaaaaaa! Karibu Gahawaaa na Gashataa Yakheeeeeee! Promotion kivipi yakhe mbona sijakusoma?
 
hata ingekuwa wewe still it's none of his business

BTW nimependa ujumbe wa leo and ur a good author lara keep it up

Sometimes I think she could be a novelist...atauza sana kuliko Shigongo.. lara 1
 
Last edited by a moderator:
upendo wako unaweza usiwe appreciated - just love anyway


well said
 
nashangaaga notion ya kwamba wenye hela wana manyanyaso, wana makasoro kibao kiasi cha kuwa-discourage wadada kuwakimbilia!

mi huwa naamini tabia halisi ya binadamu (hasa mwanaume) inajionyesha akishakuwa na hela. Kwa maana nyingine wasio na hela wanaishi kifeki feki sana ndo maana watu wengi wanajidanganya kuwa ni afadhali kuliko mwenye hela
 
nashangaaga notion ya kwamba wenye hela wana manyanyaso, wana makasoro kibao kiasi cha kuwa-discourage wadada kuwakimbilia!

mi huwa naamini tabia halisi ya binadamu (hasa mwanaume) inajionyesha akishakuwa na hela. Kwa maana nyingine wasio na hela wanaishi kifeki feki sana ndo maana watu wengi wanajidanganya kuwa ni afadhali kuliko kwenye hela
Good point!

Sema tunaongelea angle tofauti! What i am saying is sio lazima uwe na hela ndo uwe na furaha! Unaweza kuwa na hela ukawa na furaha na unaweza usiwe na hela ukawa na furaha vilevile! And vice versa is also true!
 
[QU OTE=lara 1;9831871]Anyeong haseyooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo! (Mambo ya Kim Un)

Imeaminika na inavumishwa sanaaa na wazambi wachache, watu wa mataifa kuwa pesa ndo kila kitu! Bila pesa sijui usijisumbue, blah! Blah! Blah! SI KWELI! Wapo watu kibao nampesa zao they cant get a girl to marry them, or cant make a wife keep her legs closed.

Well pesa ni muhimu na inamata sanaa kwa watu wasiokuwa nayo. And money CAN NEVER BUY YOU HAPPINESS! Kuna watu wadada wa mjini wameolewa na GAY people, BISEXUALS kukomaa na hela, ila wako frustrated. Very frustrated. Wanapost post insta ila tunajua ishu zao.

Nimeshuhudia mwenyewe kwa experience yangu watu wana MAHELA ila hawana furaha kabisaaa! Mtu anakupa ATM toa unazotaka! Ila dunia kwake chachu chachu haswaa! Unaweza ku aspire nikipata hela nikaenda sehemu flani, nitakuwa na furaha sanaa! Believe me ukifika pale unawaza ningekuwa na kina flani pangenoga zaidi.

Kila mtu ana mapungufu yake, wengine vibamiosis, wengine broke ass, wengine lazy bill, wengine free p, wengine bahili, wengine wana gundu etc etc. WITH ALL YOUR DEFECTS THERE IS STILL A CHANCE TO FIND HAPPINESS! JUST DONT GIVE UP ON IT!

Upendo wako unaweza usiwe appreciated, jst love anyway, unaweza ukatoa sanaa na bado ukachunwa zaidi, just give anyway, unaweza kuwa muaminifu ukachitiwa, jst be faithful anyway, hata kama mumeoa hakupendi mpende hivo hivo! DOT LET THE UNGRATEFULL WORLD CHANGE YOU TO SOMETHING YOU ARE NOT

P.s. I LOVE YOU PIKO WA MOYO WANGU Matola

Afu modes FYI hili bundle nimekopa, hii tablet nimeazima kwa shemeji, ili tu nitupie kitu hapa MMU sasa mkiuhamisha huu uzi nakuja na PANGA! lol! Msiuhamishe bana![/QUOTE]

Basi sawaaaaaaaaaa.......
 
Last edited by a moderator:
Anyeong haseyooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo! (Mambo ya Kim Un)

Imeaminika na inavumishwa sanaaa na wazambi wachache, watu wa mataifa kuwa pesa ndo kila kitu! Bila pesa sijui usijisumbue, blah! Blah! Blah! SI KWELI! Wapo watu kibao nampesa zao they cant get a girl to marry them, or cant make a wife keep her legs closed.

Well pesa ni muhimu na inamata sanaa kwa watu wasiokuwa nayo. And money CAN NEVER BUY YOU HAPPINESS! Kuna watu wadada wa mjini wameolewa na GAY people, BISEXUALS kukomaa na hela, ila wako frustrated. Very frustrated. Wanapost post insta ila tunajua ishu zao.

Nimeshuhudia mwenyewe kwa experience yangu watu wana MAHELA ila hawana furaha kabisaaa! Mtu anakupa ATM toa unazotaka! Ila dunia kwake chachu chachu haswaa! Unaweza ku aspire nikipata hela nikaenda sehemu flani, nitakuwa na furaha sanaa! Believe me ukifika pale unawaza ningekuwa na kina flani pangenoga zaidi.

Kila mtu ana mapungufu yake, wengine vibamiosis, wengine broke ass, wengine lazy bill, wengine free p, wengine bahili, wengine wana gundu etc etc. WITH ALL YOUR DEFECTS THERE IS STILL A CHANCE TO FIND HAPPINESS! JUST DONT GIVE UP ON IT!

Upendo wako unaweza usiwe appreciated, jst love anyway, unaweza ukatoa sanaa na bado ukachunwa zaidi, just give anyway, unaweza kuwa muaminifu ukachitiwa, jst be faithful anyway, hata kama mumeoa hakupendi mpende hivo hivo! DOT LET THE UNGRATEFULL WORLD CHANGE YOU TO SOMETHING YOU ARE NOT

P.s. I LOVE YOU PIKO WA MOYO WANGU Matola

Afu modes FYI hili bundle nimekopa, hii tablet nimeazima kwa shemeji, ili tu nitupie kitu hapa MMU sasa mkiuhamisha huu uzi nakuja na PANGA! lol! Msiuhamishe bana!

LARA 1 huwa nakuelewa sana 100%!

U hev a. very very. very. strong & positive mind!!!!
 
Last edited by a moderator:
[QU OTE=lara 1;9831871]Anyeong haseyooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo! (Mambo ya Kim Un)

Imeaminika na inavumishwa sanaaa na wazambi wachache, watu wa mataifa kuwa pesa ndo kila kitu! Bila pesa sijui usijisumbue, blah! Blah! Blah! SI KWELI! Wapo watu kibao nampesa zao they cant get a girl to marry them, or cant make a wife keep her legs closed.

Well pesa ni muhimu na inamata sanaa kwa watu wasiokuwa nayo. And money CAN NEVER BUY YOU HAPPINESS! Kuna watu wadada wa mjini wameolewa na GAY people, BISEXUALS kukomaa na hela, ila wako frustrated. Very frustrated. Wanapost post insta ila tunajua ishu zao.

Nimeshuhudia mwenyewe kwa experience yangu watu wana MAHELA ila hawana furaha kabisaaa! Mtu anakupa ATM toa unazotaka! Ila dunia kwake chachu chachu haswaa! Unaweza ku aspire nikipata hela nikaenda sehemu flani, nitakuwa na furaha sanaa! Believe me ukifika pale unawaza ningekuwa na kina flani pangenoga zaidi.

Kila mtu ana mapungufu yake, wengine vibamiosis, wengine broke ass, wengine lazy bill, wengine free p, wengine bahili, wengine wana gundu etc etc. WITH ALL YOUR DEFECTS THERE IS STILL A CHANCE TO FIND HAPPINESS! JUST DONT GIVE UP ON IT!

Upendo wako unaweza usiwe appreciated, jst love anyway, unaweza ukatoa sanaa na bado ukachunwa zaidi, just give anyway, unaweza kuwa muaminifu ukachitiwa, jst be faithful anyway, hata kama mumeoa hakupendi mpende hivo hivo! DOT LET THE UNGRATEFULL WORLD CHANGE YOU TO SOMETHING YOU ARE NOT

P.s. I LOVE YOU PIKO WA MOYO WANGU Matola

Afu modes FYI hili bundle nimekopa, hii tablet nimeazima kwa shemeji, ili tu nitupie kitu hapa MMU sasa mkiuhamisha huu uzi nakuja na PANGA! lol! Msiuhamishe bana!

Basi sawaaaaaaaaaa.......[/QUOTE]

Preta mbona kama hujapenda kumkuta matola ndio sterling? mambo yamebadilika kubwa la maadui yuko under my control now. jamani Smile yupo lakini?
 
Last edited by a moderator:
lara 1 huwa sikusomi misimamo yako.
hata hivyo ni mmoja ya watu ambao wanapanua ubongo wangu kifikra.keep it up dada
 
pata mwanaume asiye hata na hela ya kula ndo utajua umuhimu wa pesa!
 
Back
Top Bottom