Yesu Kristo anarudi

Amina mpendwa kwa hakika Yesu yu karibu kuliko tulivyoanza kuamini.
Ni kweli ndugu, tupo nyakati mbaya sana. Vipi unaizungumziaje kuhusu unyakuo, dhiki kuu, utawala wa miaka 1000 ya Bwana Yesu na hukumu kwa watu wote baada ya utawala wa miaka 1000 ya Bwana Yesu hapa duniani?
 
Great!
 
Hakuna ajuaye siku wala saa ndiyo maana tangu hujazaliwa watu wanatangaza anarudi anarudi wanakufa wanasahaulika wanakuja wengine anarudi anarudi....
 
Mi naomba siku atakayokuja niwe nimekunywa Konyagi ili nimtwange maswali mujarab!!
 
Lini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…