Yesu Kristo awaaibisha wanasayansi wakubwa!

Yesu Kristo awaaibisha wanasayansi wakubwa!

Setfree

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
1,679
Reaction score
2,123
Kina nani hao? Amewaaibishaje? Ntakueleza, ngoja kidogo niwasaidie wale waliokimbia masomo ya sayansi, hasa hasa Fizikia. Ulimwengu wa kisayansi umejengwa juu ya sheria na kanuni zinazoelezea mienendo ya vitu. Miongoni mwa sheria/kanuni hizo ni:
  1. The Law of Universal Gravitation: Hii sheria inaelezwa na mwanasayansi mahiri Isaac Newton. Kwa maneno rahisi, sheria hii inasema kwamba kila kitu chenye uzito huvutwa kuelekea kwenye kitu kingine kwa nguvu ya uvutano.

  2. Archimedes' Principle: Kanuni hii inaelezwa na mwanasayansi Archimedes. Hii inasema kwamba kitu kinachoelea majini hupata msukumo unaolingana na uzito wa maji yaliyoachwa (displaced water).
Yesu Kristo, ambaye ni Bwana wa vitu vyote, aliwaaibisha wanasayansi hao kwa kuzivunja sheria/kanuni hizo hadharani.

Yesu alitembea juu ya maji – na kuvunja kanuni ya kuelea (Buoyancy)
Kulingana na kanuni hiyo ya Archimedes, ili mtu aweze kuelea, lazima nguvu ya msukumo iwe kubwa au sawa na uzito wake. Sasa kwa kuwa uzito wa mwanadamu ni mkubwa kuliko msukumo wa maji, haiwezekani mtu akatembea juu ya maji bila kuzama. Lakini Biblia inasema:

"...Saa nne usiku Yesu akawaendea, akitembea juu ya bahari." (Mathayo 14:25)

Kama tulivyoona, kisayansi mtu kutembea juu ya maji ni jambo lisilowezekana, lakini kwakuwa Yesu ni Mungu, hakuna linaloshindikana kwake.

Yesu alipaa mbinguni – na kuvunja Sheria ya Uvutano
Kulingana na Sheria ya Uvutano, Newton alieleza kwamba kitu chochote chenye uzito lazima kivutwe na mvuto wa dunia. Ndiyo maana mtu akiruka juu, lazima arudi chini.

Lakini Biblia inasema:
"Bwana Yesu, baada ya kusema nao, akachukuliwa juu mbinguni..." (Marko 16:19)

“Akiisha kusema hayo, wote wakiwa wanamtazama, akainuliwa, wingu likampokea kutoka machoni pao wasimwone tena.”(Matendo 1:9)

Yesu alipaa mbinguni bila kuvutwa na gravitational force! Tukio hili linathibitisha tena kuwa Yesu ni Mungu na yuko juu ya laws of nature. Wanasayansi wa kisasa wanahitaji makombora yenye nguvu nyingi kufanikisha safari za kwenda katika anga za juu, lakini Yesu alipaa kwa uwezo wake mwenyewe bila msaada wa makombora!

Kwa kuvunja sheria/kanuni hizi za kisayansi, Yesu anaonyesha kuwa Yeye hakuwa mwanadamu wa kawaida bali ni Mungu mwenye nguvu(Isaya 9:6).

Tumsifu Yesu Kristo. Milele Amina! 🙏🔥
 
Kina nani hao? Amewaaibishaje? Ntakueleza, ngoja kidogo niwasaidie wale waliokimbia masomo ya sayansi, hasa hasa Fizikia. Ulimwengu wa kisayansi umejengwa juu ya sheria na kanuni zinazoelezea mienendo ya vitu. Miongoni mwa sheria/kanuni hizo ni:
  1. The Law of Universal Gravitation: Hii sheria inaelezwa na mwanasayansi mahiri Isaac Newton. Kwa maneno rahisi, sheria hii inasema kwamba kila kitu chenye uzito huvutwa kuelekea kwenye kitu kingine kwa nguvu ya uvutano.

  2. Archimedes' Principle: Kanuni hii inaelezwa na mwanasayansi Archimedes. Hii inasema kwamba kitu kinachoelea majini hupata msukumo unaolingana na uzito wa maji yaliyoachwa (displaced water).
Yesu Kristo, ambaye ni Bwana wa vitu vyote, aliwaaibisha wanasayansi hao kwa kuzivunja sheria/kanuni hizo hadharani.

Yesu alitembea juu ya maji – na kuvunja kanuni ya kuelea (Buoyancy)
Kulingana na kanuni hiyo ya Archimedes, ili mtu aweze kuelea, lazima nguvu ya msukumo iwe kubwa au sawa na uzito wake. Sasa kwa kuwa uzito wa mwanadamu ni mkubwa kuliko msukumo wa maji, haiwezekani mtu akatembea juu ya maji bila kuzama. Lakini Biblia inasema:

"...Saa nne usiku Yesu akawaendea, akitembea juu ya bahari." (Mathayo 14:25)

Kama tulivyoona, kisayansi mtu kutembea juu ya maji ni jambo lisilowezekana, lakini kwakuwa Yesu ni Mungu, hakuna linaloshindikana kwake.

Yesu alipaa mbinguni – na kuvunja Sheria ya Uvutano
Kulingana na Sheria ya Uvutano, Newton alieleza kwamba kitu chochote chenye uzito lazima kivutwe na mvuto wa dunia. Ndiyo maana mtu akiruka juu, lazima arudi chini.

Lakini Biblia inasema:
"Bwana Yesu, baada ya kusema nao, akachukuliwa juu mbinguni..." (Marko 16:19)

“Akiisha kusema hayo, wote wakiwa wanamtazama, akainuliwa, wingu likampokea kutoka machoni pao wasimwone tena.”(Matendo 1:9)

Yesu alipaa mbinguni bila kuvutwa na gravitational force! Tukio hili linathibitisha tena kuwa Yesu ni Mungu na yuko juu ya laws of nature. Wanasayansi wa kisasa wanahitaji makombora yenye nguvu nyingi kufanikisha safari za kwenda katika anga za juu, lakini Yesu alipaa kwa uwezo wake mwenyewe bila msaada wa makombora!

Kwa kuvunja sheria/kanuni hizi za kisayansi, Yesu anaonyesha kuwa Yeye hakuwa mwanadamu wa kawaida bali ni Mungu mwenye nguvu(Isaya 9:6).

Tumsifu Yesu Kristo. Milele Amina! 🙏🔥
Jesus Marked Void These Formulas.jpg
 
Kwa muktadha wa Imani ni sahihi kabisa LAKINI vile vile huko kwa Mkuu wa kazi kuna watu hawaamini hivyo vitu, ILA naimani hata wewe ubishi hizo sheria kuna vitu vipo applicable kabisa kwake na kila siku tunashuhudia....
 
Mama mchungaji Yesu mwenyewe alisema ni kwa imani sio kisheria.
Mambo mengi alitoka nje ya sheria kupitia imani.

Inawezekana hata pale msalabani hakuteseka kweli aliacha kiini macho yeye akakaa pembeni akila matunda yake ya mizaitune 😂
 
Kina nani hao? Amewaaibishaje? Ntakueleza, ngoja kidogo niwasaidie wale waliokimbia masomo ya sayansi, hasa hasa Fizikia. Ulimwengu wa kisayansi umejengwa juu ya sheria na kanuni zinazoelezea mienendo ya vitu. Miongoni mwa sheria/kanuni hizo ni:
  1. The Law of Universal Gravitation: Hii sheria inaelezwa na mwanasayansi mahiri Isaac Newton. Kwa maneno rahisi, sheria hii inasema kwamba kila kitu chenye uzito huvutwa kuelekea kwenye kitu kingine kwa nguvu ya uvutano.

  2. Archimedes' Principle: Kanuni hii inaelezwa na mwanasayansi Archimedes. Hii inasema kwamba kitu kinachoelea majini hupata msukumo unaolingana na uzito wa maji yaliyoachwa (displaced water).
Yesu Kristo, ambaye ni Bwana wa vitu vyote, aliwaaibisha wanasayansi hao kwa kuzivunja sheria/kanuni hizo hadharani.

Yesu alitembea juu ya maji – na kuvunja kanuni ya kuelea (Buoyancy)
Kulingana na kanuni hiyo ya Archimedes, ili mtu aweze kuelea, lazima nguvu ya msukumo iwe kubwa au sawa na uzito wake. Sasa kwa kuwa uzito wa mwanadamu ni mkubwa kuliko msukumo wa maji, haiwezekani mtu akatembea juu ya maji bila kuzama. Lakini Biblia inasema:

"...Saa nne usiku Yesu akawaendea, akitembea juu ya bahari." (Mathayo 14:25)

Kama tulivyoona, kisayansi mtu kutembea juu ya maji ni jambo lisilowezekana, lakini kwakuwa Yesu ni Mungu, hakuna linaloshindikana kwake.

Yesu alipaa mbinguni – na kuvunja Sheria ya Uvutano
Kulingana na Sheria ya Uvutano, Newton alieleza kwamba kitu chochote chenye uzito lazima kivutwe na mvuto wa dunia. Ndiyo maana mtu akiruka juu, lazima arudi chini.

Lakini Biblia inasema:
"Bwana Yesu, baada ya kusema nao, akachukuliwa juu mbinguni..." (Marko 16:19)

“Akiisha kusema hayo, wote wakiwa wanamtazama, akainuliwa, wingu likampokea kutoka machoni pao wasimwone tena.”(Matendo 1:9)

Yesu alipaa mbinguni bila kuvutwa na gravitational force! Tukio hili linathibitisha tena kuwa Yesu ni Mungu na yuko juu ya laws of nature. Wanasayansi wa kisasa wanahitaji makombora yenye nguvu nyingi kufanikisha safari za kwenda katika anga za juu, lakini Yesu alipaa kwa uwezo wake mwenyewe bila msaada wa makombora!

Kwa kuvunja sheria/kanuni hizi za kisayansi, Yesu anaonyesha kuwa Yeye hakuwa mwanadamu wa kawaida bali ni Mungu mwenye nguvu(Isaya 9:6).

Tumsifu Yesu Kristo. Milele Amina! 🙏🔥
Unafaa Kuwa muhubiri Safi, kabisa!
 
Mh! wewe unafaa kupimwa ubongo tena wakuwahi mapema!.
ndo maana kila siku nasema imani ni ugonjwa mmbaya sana yani hata fikra kidogo tu umeshindwa kufikiri!.
Yuko vizuri kwa Imani yake!
 
Kina nani hao? Amewaaibishaje? Ntakueleza, ngoja kidogo niwasaidie wale waliokimbia masomo ya sayansi, hasa hasa Fizikia. Ulimwengu wa kisayansi umejengwa juu ya sheria na kanuni zinazoelezea mienendo ya vitu. Miongoni mwa sheria/kanuni hizo ni:
  1. The Law of Universal Gravitation: Hii sheria inaelezwa na mwanasayansi mahiri Isaac Newton. Kwa maneno rahisi, sheria hii inasema kwamba kila kitu chenye uzito huvutwa kuelekea kwenye kitu kingine kwa nguvu ya uvutano.

  2. Archimedes' Principle: Kanuni hii inaelezwa na mwanasayansi Archimedes. Hii inasema kwamba kitu kinachoelea majini hupata msukumo unaolingana na uzito wa maji yaliyoachwa (displaced water).
Yesu Kristo, ambaye ni Bwana wa vitu vyote, aliwaaibisha wanasayansi hao kwa kuzivunja sheria/kanuni hizo hadharani.

Yesu alitembea juu ya maji – na kuvunja kanuni ya kuelea (Buoyancy)
Kulingana na kanuni hiyo ya Archimedes, ili mtu aweze kuelea, lazima nguvu ya msukumo iwe kubwa au sawa na uzito wake. Sasa kwa kuwa uzito wa mwanadamu ni mkubwa kuliko msukumo wa maji, haiwezekani mtu akatembea juu ya maji bila kuzama. Lakini Biblia inasema:

"...Saa nne usiku Yesu akawaendea, akitembea juu ya bahari." (Mathayo 14:25)

Kama tulivyoona, kisayansi mtu kutembea juu ya maji ni jambo lisilowezekana, lakini kwakuwa Yesu ni Mungu, hakuna linaloshindikana kwake.

Yesu alipaa mbinguni – na kuvunja Sheria ya Uvutano
Kulingana na Sheria ya Uvutano, Newton alieleza kwamba kitu chochote chenye uzito lazima kivutwe na mvuto wa dunia. Ndiyo maana mtu akiruka juu, lazima arudi chini.

Lakini Biblia inasema:
"Bwana Yesu, baada ya kusema nao, akachukuliwa juu mbinguni..." (Marko 16:19)

“Akiisha kusema hayo, wote wakiwa wanamtazama, akainuliwa, wingu likampokea kutoka machoni pao wasimwone tena.”(Matendo 1:9)

Yesu alipaa mbinguni bila kuvutwa na gravitational force! Tukio hili linathibitisha tena kuwa Yesu ni Mungu na yuko juu ya laws of nature. Wanasayansi wa kisasa wanahitaji makombora yenye nguvu nyingi kufanikisha safari za kwenda katika anga za juu, lakini Yesu alipaa kwa uwezo wake mwenyewe bila msaada wa makombora!

Kwa kuvunja sheria/kanuni hizi za kisayansi, Yesu anaonyesha kuwa Yeye hakuwa mwanadamu wa kawaida bali ni Mungu mwenye nguvu(Isaya 9:6).

Tumsifu Yesu Kristo. Milele Amina! 🙏🔥
Huu uzi umeniongezea kitu kizuri Jumapili ya leo.

Kongole mkuu.
 
Hilo somo la yesu kutembea juu ya maji lilifunzwa mafundisho yapi,

I tell my people, science will do the same, subject will create form and my people as usual will worship this form of body in flesh, kama wanachofanya Kwa yesu,
Dhambi ya sasa ni ujinga, debate ya uongo na ukweli ilishapita kando,

Msalimie yule mjinga mwenzako aliyedai mbele ya uma kuwa hana muda na mzungu anayemfananisha na nyani..
Mafundisho ya miaka 2000 nyuma inafika Africa after 1800 years ni lazima uone mtu anatembea juu ya maji au malaika mwenye mabawa akipaa... affected with form look for the subject to kill illusion
 
Kina nani hao? Amewaaibishaje? Ntakueleza, ngoja kidogo niwasaidie wale waliokimbia masomo ya sayansi, hasa hasa Fizikia. Ulimwengu wa kisayansi umejengwa juu ya sheria na kanuni zinazoelezea mienendo ya vitu. Miongoni mwa sheria/kanuni hizo ni:
  1. The Law of Universal Gravitation: Hii sheria inaelezwa na mwanasayansi mahiri Isaac Newton. Kwa maneno rahisi, sheria hii inasema kwamba kila kitu chenye uzito huvutwa kuelekea kwenye kitu kingine kwa nguvu ya uvutano.

  2. Archimedes' Principle: Kanuni hii inaelezwa na mwanasayansi Archimedes. Hii inasema kwamba kitu kinachoelea majini hupata msukumo unaolingana na uzito wa maji yaliyoachwa (displaced water).
Yesu Kristo, ambaye ni Bwana wa vitu vyote, aliwaaibisha wanasayansi hao kwa kuzivunja sheria/kanuni hizo hadharani.

Yesu alitembea juu ya maji – na kuvunja kanuni ya kuelea (Buoyancy)
Kulingana na kanuni hiyo ya Archimedes, ili mtu aweze kuelea, lazima nguvu ya msukumo iwe kubwa au sawa na uzito wake. Sasa kwa kuwa uzito wa mwanadamu ni mkubwa kuliko msukumo wa maji, haiwezekani mtu akatembea juu ya maji bila kuzama. Lakini Biblia inasema:

"...Saa nne usiku Yesu akawaendea, akitembea juu ya bahari." (Mathayo 14:25)

Kama tulivyoona, kisayansi mtu kutembea juu ya maji ni jambo lisilowezekana, lakini kwakuwa Yesu ni Mungu, hakuna linaloshindikana kwake.

Yesu alipaa mbinguni – na kuvunja Sheria ya Uvutano
Kulingana na Sheria ya Uvutano, Newton alieleza kwamba kitu chochote chenye uzito lazima kivutwe na mvuto wa dunia. Ndiyo maana mtu akiruka juu, lazima arudi chini.

Lakini Biblia inasema:
"Bwana Yesu, baada ya kusema nao, akachukuliwa juu mbinguni..." (Marko 16:19)

“Akiisha kusema hayo, wote wakiwa wanamtazama, akainuliwa, wingu likampokea kutoka machoni pao wasimwone tena.”(Matendo 1:9)

Yesu alipaa mbinguni bila kuvutwa na gravitational force! Tukio hili linathibitisha tena kuwa Yesu ni Mungu na yuko juu ya laws of nature. Wanasayansi wa kisasa wanahitaji makombora yenye nguvu nyingi kufanikisha safari za kwenda katika anga za juu, lakini Yesu alipaa kwa uwezo wake mwenyewe bila msaada wa makombora!

Kwa kuvunja sheria/kanuni hizi za kisayansi, Yesu anaonyesha kuwa Yeye hakuwa mwanadamu wa kawaida bali ni Mungu mwenye nguvu(Isaya 9:6).

Tumsifu Yesu Kristo. Milele Amina! 🙏🔥
Hili somo zuri sana, ila nashangaa pamoja na upako wote ulionao bado unamwacha Mwamposa anapiga hela pekee yake.
 
Back
Top Bottom