"Yesu Kristo na Ufalme wa Mungu: Jinsi Mafundisho Yake Yanavyobadilisha Dunia"

"Yesu Kristo na Ufalme wa Mungu: Jinsi Mafundisho Yake Yanavyobadilisha Dunia"

Paspii0

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2020
Posts
346
Reaction score
522
👉🏾Mafundisho ya Yesu Kristo yalikuwa ufunuo wa kimungu uliojaa upendo, msamaha, na haki, akionyesha muunganiko wa kibinadamu na kimungu. Alibadili mtindo wa uongozi wa wakati wake na kutoa mwanga wa kiroho katika ulimwengu uliojaa dhambi na udhalimu.

👉🏾Kwa kufundisha upendo usio na masharti na uhusiano wa moja kwa moja na Mungu, alianzisha mabadiliko ya kiroho na kijamii yaliyoathiri vizazi vyote.

TUUTAZAME UJIO WA YESU KRISTO KATIKA NMNA ZIFUATAZO!

👉🏾Yesu Kristo alikuja duniani kama mwalimu,akileta mafundisho ya kimungu yaliyotaka kubadili si tu mioyo ya watu, bali pia jamii nzima. Alihubiri ujumbe wa upendo, msamaha, na haki, akionyesha njia ya kufikia wokovu kupitia uhusiano wa moja kwa moja na Mungu.

Alitumia mifano ya kila siku na lugha rahisi kufundisha ukweli wa kiroho, akisisitiza kuwa ufalme wa Mungu unapatikana kwa watu wote, bila kujali hadhi au hali yao ya kijamii. Katika maisha yake, alionyesha mfano wa upole, kujitolea, na huduma kwa wengine, na kwa hiyo, alikua kielelezo cha kile alichokifundisha.

👉🏾Yesu Kristo alikuja duniani kama Mkombozi, akilenga kuleta wokovu kwa wanadamu kupitia kifo chake na ufufuo. Aliishi maisha ya kipekee, akiwa mfano wa huruma, upendo, na haki, ili kuonyesha njia ya kutoka katika dhambi na mauti.

Kufa kwake msalabani kulikuwa ni dhabihu ya kimungu iliyolipia dhambi za ulimwengu, na kwa ufufuo wake, alithibitisha ushindi dhidi ya kifo na nguvu za giza. Kama Mkombozi, alikubali kuwa sadaka kwa ajili ya watu, akimwalika kila mtu kuingia katika uhusiano wa moja kwa moja na Mungu na kupokea neema ya wokovu.

👉🏾Yesu Kristo alikuja duniani kama Baba mwenye huruma, akionyesha upendo na msamaha wa Mungu kwa wanadamu. Alifundisha kwamba Mungu ni Baba anayewapenda na kuwakaribisha wote, akisisitiza kuwa huruma yake haina mipaka, na kwamba kila mtu anathamani mbele ya Mungu, bila kujali makosa yao.

JE UJIO WA PILI WA YESU KRISTO UTAKUWAJE?.

👉🏾Yesu Kristo atarudi kama Hakimu mwenye haki, atakayehukumu kwa usawa na haki kwa kila mtu kulingana na matendo yao. Katika Ufalme wake, hakutakuwa na upendeleo wala ubaguzi, kwani atahukumu kwa ukamilifu na uadilifu, akizingatia mioyo ya watu pamoja na matendo yao.

Huu utakuwa wakati wa malipo, ambapo wale waliotenda mema wataingia katika furaha ya Mungu, na wale waliokataa haki na upendo wa Mungu watajumuika na matokeo ya kutokuwa na haki.

TUNAPOELEKEA KUMALIZA MWAKA 2024 ,YATUPASA TUTAFAKARI KWA KINA!

👉🏾Kristo alisisitiza kuwa "mtumishi wa wote atakuwa mkubwa," je, tunajitahidi kuwa na roho ya huduma na kujitolea kwa ajili ya wengine katika jamii zetu?

👉🏾Je, tunajitahidi kufuata mfano wa Kristo katika kuwa na upendo usio na masharti, hasa kwa wale wanaotuchukia au kutudhulumu?

👉🏾Je, tunapoishi katika ulimwengu uliojaa migogoro, tunapataje amani ya kweli kama Kristo alivyofundisha, ambayo hutoka ndani ya roho na si nje ya hali ya kisiasa au kijamii?

👉🏾Je, tunapojiandaa kumaliza mwaka, tunajiuliza vipi kuhusu mchango wetu katika kuleta amani na usawa katika familia, jamii, na taifa letu?

👉🏾Kristo alionyesha mfano wa huduma kwa wengine, si kwa kujipatia umaarufu, bali kwa kuwasaidia wanyonge na maskini – je, tunapataje mfano huu katika siasa za sasa, ambapo mara nyingi watu hutafuta madaraka kwa manufaa binafsi?

Mwisho tunanaona jinsi Krismasi inavyokuwa kipindi cha kutafakari upendo na mabadiliko tunayoweza kuleta duniani, kwa kufuata mfano wa Yesu Kristo, ambaye alileta nuru na amani kwa ulimwengu uliojaa giza. Ni wakati wa kujuliza: Je, tunatoa upendo na msamaha kama alivyofundisha Kristo, na tunaishi kwa amani na haki?

Mwaka mpya wa 2025 unapoanza, ni fursa ya kuishi kwa dhati, kwa roho ya huruma na haki. Tunajiuliza: Je, tunaweza kuwa vyombo vya mabadiliko, kutenda matendo mema, na kuishi kwa upendo wa kweli, kama alivyofundisha Kristo? Huu ni wakati wa kujenga ndani na kutekeleza kwa vitendo kile tunachokiamini.
~mwanazuoni PhD
 

Attachments

  • IMG_6297.jpeg
    IMG_6297.jpeg
    36.3 KB · Views: 6
Hilo Limdoli la father Krismass linapatikana wapi kwenye maandiko?
Huyo ni Santa Claus,tumtazame kidogo
👉🏾Santa Claus, ni hadithi ikiwa pamoja na visa vya kubuniwa kutoka kwa hadithi ya Mtakatifu Nikolaus, askofu wa Myra (ambaye alijulikana kwa kutoa misaada kwa watoto na maskini). Hata hivyo, Santa Claus na wimbo huu hawana uhusiano wa moja kwa moja na Biblia au maandiko ya kidini.
Kikubwa tunaenzi mazuri yake yakukumbuka wahitaji hasa watoto wenye mazingira magumu!.
 
Huyo ni Santa Claus,tumtazame kidogo
👉🏾Santa Claus, ni hadithi ikiwa pamoja na visa vya kubuniwa kutoka kwa hadithi ya Mtakatifu Nikolaus, askofu wa Myra (ambaye alijulikana kwa kutoa misaada kwa watoto na maskini). Hata hivyo, Santa Claus na wimbo huu hawana uhusiano wa moja kwa moja na Biblia au maandiko ya kidini.
Kikubwa tunaenzi mazuri yake yakukumbuka wahitaji hasa watoto wenye mazingira magumu!.
Krismass na huyo Santa Claus ni UPAGANI

Wenye Sikukuu Yao waroma wanakiri hii Sikukuu ni ya wapagani

Tusipende kudandia vitu sababu tu tumekua tumevikuta

naanza kuingiwa mashaka na elimu ya Theology mnayopewa huko vyuoni

Makanisa ya Upentekoste hayana hata miaka 100 toka yaanzishwe

Hii Sikukuu ya X mass ni ya wakatoliki na mmekopa huko,

Sasa wasikilize wahusika wakisema

Nanukuu kutoka kitabu kiitwacho:
"BUSTANI YA KATEKISTA" UK 73

"Swali; Je Yesu alizaliwa tarehe 25 December?

Jibu; Kwa kweli, hakuna anayejua tarehe ya kuzaliwa kwa Yesu. Tarehe 25 Desemba ilikuwa sikuu kubwa kwa wapagani, walikuwa wakifanya ibada zao kwa mungu JUA. kwenye karne ya 4 mwaka 336 baada ya Kristo, viongozi wa kanisa walionelea siku hiyo washerehekee kuzaliwa kwa Yesu mwanga, Nuru ya ulimwengu. Lengo kubwa lilikuwa kuwahusisha pia wapagani katika kumshangilia Yesu badala ya miungu ya uwongo"

Mwisho wa kunukuu"

Kwa hiyo Wakristo walikubali kusherekea Sikukuu ya kipagani ili wapagani wamuone Yesu.

Swali: Hapo mpagani kamuona Yesu au Wakristo ndo wapo kwenye upagani kumuabudu mungu Jua?
FB_IMG_1735071040878.jpg


FB_IMG_1735070969128.jpg
 
👉🏾Mafundisho ya Yesu Kristo yalikuwa ufunuo wa kimungu uliojaa upendo, msamaha, na haki, akionyesha muunganiko wa kibinadamu na kimungu. Alibadili mtindo wa uongozi wa wakati wake na kutoa mwanga wa kiroho katika ulimwengu uliojaa dhambi na udhalimu.

👉🏾Kwa kufundisha upendo usio na masharti na uhusiano wa moja kwa moja na Mungu, alianzisha mabadiliko ya kiroho na kijamii yaliyoathiri vizazi vyote.

TUUTAZAME UJIO WA YESU KRISTO KATIKA NMNA ZIFUATAZO!

👉🏾Yesu Kristo alikuja duniani kama mwalimu,akileta mafundisho ya kimungu yaliyotaka kubadili si tu mioyo ya watu, bali pia jamii nzima. Alihubiri ujumbe wa upendo, msamaha, na haki, akionyesha njia ya kufikia wokovu kupitia uhusiano wa moja kwa moja na Mungu.

Alitumia mifano ya kila siku na lugha rahisi kufundisha ukweli wa kiroho, akisisitiza kuwa ufalme wa Mungu unapatikana kwa watu wote, bila kujali hadhi au hali yao ya kijamii. Katika maisha yake, alionyesha mfano wa upole, kujitolea, na huduma kwa wengine, na kwa hiyo, alikua kielelezo cha kile alichokifundisha.

👉🏾Yesu Kristo alikuja duniani kama Mkombozi, akilenga kuleta wokovu kwa wanadamu kupitia kifo chake na ufufuo. Aliishi maisha ya kipekee, akiwa mfano wa huruma, upendo, na haki, ili kuonyesha njia ya kutoka katika dhambi na mauti.
Kama huyo Yesu alikuja duniani kama mkombozi, Amekomboa nini ilhali uovu haujawahi kuisha na hauishi?
Kufa kwake msalabani kulikuwa ni dhabihu ya kimungu iliyolipia dhambi za ulimwengu, na kwa ufufuo wake, alithibitisha ushindi dhidi ya kifo na nguvu za giza. Kama Mkombozi, alikubali kuwa sadaka kwa ajili ya watu, akimwalika kila mtu kuingia katika uhusiano wa moja kwa moja na Mungu na kupokea neema ya wokovu.
Kama kufa kwake huyo Yesu kulilipa dhambi za ulimwengu, Kwa nini Yesu huyohuyo atarudi tena duniani kuwahukumu watu kwa dhambi ambazo tayari alishazifia na kulizipia?

Hivi huyo Yesu pamoja na wewe mna jielewa kweli?
👉🏾Yesu Kristo alikuja duniani kama Baba mwenye huruma, akionyesha upendo na msamaha wa Mungu kwa wanadamu. Alifundisha kwamba Mungu ni Baba anayewapenda na kuwakaribisha wote, akisisitiza kuwa huruma yake haina mipaka, na kwamba kila mtu anathamani mbele ya Mungu, bila kujali makosa yao.
Kama huruma ya Mungu haina mipaka, Kwa nini kuna Jehanam/ motoni?

Motoni ni kwa haja gani, Kama kweli huyo Mungu ana huruma bila kujali makosa?
JE UJIO WA PILI WA YESU KRISTO UTAKUWAJE?.

👉🏾Yesu Kristo atarudi kama Hakimu mwenye haki, atakayehukumu kwa usawa na haki kwa kila mtu kulingana na matendo yao. Katika Ufalme wake, hakutakuwa na upendeleo wala ubaguzi, kwani atahukumu kwa ukamilifu na uadilifu, akizingatia mioyo ya watu pamoja na matendo yao.
Hapa tayari umethibitisha kwamba huyo Yesu hana huruma.

Kama atarudi tena kuhukumu watu, Basi huyo sio Yesu mwenye huruma.

Bali ni Yesu mlipa visasi mwenye gubu na kisirani.
Huu utakuwa wakati wa malipo, ambapo wale waliotenda mema wataingia katika furaha ya Mungu, na wale waliokataa haki na upendo wa Mungu watajumuika na matokeo ya kutokuwa na haki.

TUNAPOELEKEA KUMALIZA MWAKA 2024 ,YATUPASA TUTAFAKARI KWA KINA!

👉🏾Kristo alisisitiza kuwa "mtumishi wa wote atakuwa mkubwa," je, tunajitahidi kuwa na roho ya huduma na kujitolea kwa ajili ya wengine katika jamii zetu?

👉🏾Je, tunajitahidi kufuata mfano wa Kristo katika kuwa na upendo usio na masharti, hasa kwa wale wanaotuchukia au kutudhulumu?

👉🏾Je, tunapoishi katika ulimwengu uliojaa migogoro, tunapataje amani ya kweli kama Kristo alivyofundisha, ambayo hutoka ndani ya roho na si nje ya hali ya kisiasa au kijamii?

👉🏾Je, tunapojiandaa kumaliza mwaka, tunajiuliza vipi kuhusu mchango wetu katika kuleta amani na usawa katika familia, jamii, na taifa letu?

👉🏾Kristo alionyesha mfano wa huduma kwa wengine, si kwa kujipatia umaarufu, bali kwa kuwasaidia wanyonge na maskini – je, tunapataje mfano huu katika siasa za sasa, ambapo mara nyingi watu hutafuta madaraka kwa manufaa binafsi?

Mwisho tunanaona jinsi Krismasi inavyokuwa kipindi cha kutafakari upendo na mabadiliko tunayoweza kuleta duniani, kwa kufuata mfano wa Yesu Kristo, ambaye alileta nuru na amani kwa ulimwengu uliojaa giza. Ni wakati wa kujuliza: Je, tunatoa upendo na msamaha kama alivyofundisha Kristo, na tunaishi kwa amani na haki?

Mwaka mpya wa 2025 unapoanza, ni fursa ya kuishi kwa dhati, kwa roho ya huruma na haki. Tunajiuliza: Je, tunaweza kuwa vyombo vya mabadiliko, kutenda matendo mema, na kuishi kwa upendo wa kweli, kama alivyofundisha Kristo? Huu ni wakati wa kujenga ndani na kutekeleza kwa vitendo kile tunachokiamini.
~mwanazuoni PhD
 
Krismass na huyo Santa Claus ni UPAGANI

Wenye Sikukuu Yao waroma wanakiri hii Sikukuu ni ya wapagani

Tusipende kudandia vitu sababu tu tumekua tumevikuta


Mtumishi Wa Mungu Nelson naanza kuingiwa mashaka na elimu ya Theology mnayopewa huko vyuoni
Mengine ni Dogma … refer ( dogma datur christianis) 😂 umenijibu kisabato na mihemko mikali be polite
 
👉🏾Mafundisho ya Yesu Kristo yalikuwa ufunuo wa kimungu uliojaa upendo, msamaha, na haki, akionyesha muunganiko wa kibinadamu na kimungu. Alibadili mtindo wa uongozi wa wakati wake na kutoa mwanga wa kiroho katika ulimwengu uliojaa dhambi na udhalimu.

👉🏾Kwa kufundisha upendo usio na masharti na uhusiano wa moja kwa moja na Mungu, alianzisha mabadiliko ya kiroho na kijamii yaliyoathiri vizazi vyote.

TUUTAZAME UJIO WA YESU KRISTO KATIKA NMNA ZIFUATAZO!

👉🏾Yesu Kristo alikuja duniani kama mwalimu,akileta mafundisho ya kimungu yaliyotaka kubadili si tu mioyo ya watu, bali pia jamii nzima. Alihubiri ujumbe wa upendo, msamaha, na haki, akionyesha njia ya kufikia wokovu kupitia uhusiano wa moja kwa moja na Mungu.

Alitumia mifano ya kila siku na lugha rahisi kufundisha ukweli wa kiroho, akisisitiza kuwa ufalme wa Mungu unapatikana kwa watu wote, bila kujali hadhi au hali yao ya kijamii. Katika maisha yake, alionyesha mfano wa upole, kujitolea, na huduma kwa wengine, na kwa hiyo, alikua kielelezo cha kile alichokifundisha.

👉🏾Yesu Kristo alikuja duniani kama Mkombozi, akilenga kuleta wokovu kwa wanadamu kupitia kifo chake na ufufuo. Aliishi maisha ya kipekee, akiwa mfano wa huruma, upendo, na haki, ili kuonyesha njia ya kutoka katika dhambi na mauti.

Kufa kwake msalabani kulikuwa ni dhabihu ya kimungu iliyolipia dhambi za ulimwengu, na kwa ufufuo wake, alithibitisha ushindi dhidi ya kifo na nguvu za giza. Kama Mkombozi, alikubali kuwa sadaka kwa ajili ya watu, akimwalika kila mtu kuingia katika uhusiano wa moja kwa moja na Mungu na kupokea neema ya wokovu.

👉🏾Yesu Kristo alikuja duniani kama Baba mwenye huruma, akionyesha upendo na msamaha wa Mungu kwa wanadamu. Alifundisha kwamba Mungu ni Baba anayewapenda na kuwakaribisha wote, akisisitiza kuwa huruma yake haina mipaka, na kwamba kila mtu anathamani mbele ya Mungu, bila kujali makosa yao.

JE UJIO WA PILI WA YESU KRISTO UTAKUWAJE?.

👉🏾Yesu Kristo atarudi kama Hakimu mwenye haki, atakayehukumu kwa usawa na haki kwa kila mtu kulingana na matendo yao. Katika Ufalme wake, hakutakuwa na upendeleo wala ubaguzi, kwani atahukumu kwa ukamilifu na uadilifu, akizingatia mioyo ya watu pamoja na matendo yao.

Huu utakuwa wakati wa malipo, ambapo wale waliotenda mema wataingia katika furaha ya Mungu, na wale waliokataa haki na upendo wa Mungu watajumuika na matokeo ya kutokuwa na haki.

TUNAPOELEKEA KUMALIZA MWAKA 2024 ,YATUPASA TUTAFAKARI KWA KINA!

👉🏾Kristo alisisitiza kuwa "mtumishi wa wote atakuwa mkubwa," je, tunajitahidi kuwa na roho ya huduma na kujitolea kwa ajili ya wengine katika jamii zetu?

👉🏾Je, tunajitahidi kufuata mfano wa Kristo katika kuwa na upendo usio na masharti, hasa kwa wale wanaotuchukia au kutudhulumu?

👉🏾Je, tunapoishi katika ulimwengu uliojaa migogoro, tunapataje amani ya kweli kama Kristo alivyofundisha, ambayo hutoka ndani ya roho na si nje ya hali ya kisiasa au kijamii?

👉🏾Je, tunapojiandaa kumaliza mwaka, tunajiuliza vipi kuhusu mchango wetu katika kuleta amani na usawa katika familia, jamii, na taifa letu?

👉🏾Kristo alionyesha mfano wa huduma kwa wengine, si kwa kujipatia umaarufu, bali kwa kuwasaidia wanyonge na maskini – je, tunapataje mfano huu katika siasa za sasa, ambapo mara nyingi watu hutafuta madaraka kwa manufaa binafsi?

Mwisho tunanaona jinsi Krismasi inavyokuwa kipindi cha kutafakari upendo na mabadiliko tunayoweza kuleta duniani, kwa kufuata mfano wa Yesu Kristo, ambaye alileta nuru na amani kwa ulimwengu uliojaa giza. Ni wakati wa kujuliza: Je, tunatoa upendo na msamaha kama alivyofundisha Kristo, na tunaishi kwa amani na haki?

Mwaka mpya wa 2025 unapoanza, ni fursa ya kuishi kwa dhati, kwa roho ya huruma na haki. Tunajiuliza: Je, tunaweza kuwa vyombo vya mabadiliko, kutenda matendo mema, na kuishi kwa upendo wa kweli, kama alivyofundisha Kristo? Huu ni wakati wa kujenga ndani na kutekeleza kwa vitendo kile tunachokiamini.
~mwanazuoni PhD
Amen mtumishi na Mungu akubariki
 
Kama huruma ya Mungu haina mipaka, Kwa nini kuna Jehanam/ motoni?
Refer parable of the sower in Mathayo 13:24-30, ambapo Yesu anatoa mfano (parables) kuhusu mfalme wa mbinguni na jinsi watu wanavyoishi duniani. Katika kifungu hiki, Yesu anaelezea jinsi alivyopanda ngano kwenye shamba lake, lakini adui akaenda na kupanda magugu kati ya ngano. Wakati wa mavuno, ngano itavunwa na kuhifadhiwa katika ghala, huku magugu yakichomwa na kutupwa katika moto.
 
Refer parable of the sower in Mathayo 13:24-30, ambapo Yesu anatoa mfano (parables) kuhusu mfalme wa mbinguni na jinsi watu wanavyoishi duniani. Katika kifungu hiki, Yesu anaelezea jinsi alivyopanda ngano kwenye shamba lake, lakini adui akaenda na kupanda magugu kati ya ngano. Wakati wa mavuno, ngano itavunwa na kuhifadhiwa katika ghala, huku magugu yakichomwa na kutupwa katika moto.
Kwa nini huyo Yesu amruhusu huyo adui apande magugu, ilhali alikuwa na uwezo wa kumdhibiti na kumzuia huyo adui asipande magugu tangu mwanzoni?

Au huyo Yesu alifanya makusudi kuacha ngano na magugu vikue pamoja?

Kwa nini Yesu hakumzuia huyo adui asipande magugu tangu mwanzoni?
 
Hapa tayari umethibitisha kwamba huyo Yesu hana huruma.

Kama atarudi tena kuhukumu watu, Basi huyo sio Yesu mwenye huruma bali Yesu mlipa visasi mwenye gubu na kisirani.
Tenda mema tu ndugu yangu hakuna excuse imeandikwa!
👉🏾Mathayo 25:31-46 , 31 "Wakati Mwana wa Adamu atakapokuja katika utukufu wake, na malaika wote pamoja naye, atakalia kiti cha enzi cha utukufu wake.
32 Mataifa yote yatakusanyika mbele zake, na atawatenganisha watu kama mchungaji anavyotenganisha kondoo na mbuzi.
33 Ataziweka kondoo upande wake wa kulia, na mbuzi upande wa kushoto.
 
Kama kufa kwake huyo Yesu kulilipa dhambi za ulimwengu, Kwa nini Yesu huyohuyo atarudi tena duniani kuwahukumu watu kwa dhambi ambazo tayari alishazifia na kulizipia?
👉🏾Yohana 3:16, Warumi 5:8-9
& just go deeper in parable of the sower
 
👉🏾Mafundisho ya Yesu Kristo yalikuwa ufunuo wa kimungu uliojaa upendo, msamaha, na haki, akionyesha muunganiko wa kibinadamu na kimungu. Alibadili mtindo wa uongozi wa wakati wake na kutoa mwanga wa kiroho katika ulimwengu uliojaa dhambi na udhalimu.

👉🏾Kwa kufundisha upendo usio na masharti na uhusiano wa moja kwa moja na Mungu, alianzisha mabadiliko ya kiroho na kijamii yaliyoathiri vizazi vyote.

TUUTAZAME UJIO WA YESU KRISTO KATIKA NMNA ZIFUATAZO!

👉🏾Yesu Kristo alikuja duniani kama mwalimu,akileta mafundisho ya kimungu yaliyotaka kubadili si tu mioyo ya watu, bali pia jamii nzima. Alihubiri ujumbe wa upendo, msamaha, na haki, akionyesha njia ya kufikia wokovu kupitia uhusiano wa moja kwa moja na Mungu.

Alitumia mifano ya kila siku na lugha rahisi kufundisha ukweli wa kiroho, akisisitiza kuwa ufalme wa Mungu unapatikana kwa watu wote, bila kujali hadhi au hali yao ya kijamii. Katika maisha yake, alionyesha mfano wa upole, kujitolea, na huduma kwa wengine, na kwa hiyo, alikua kielelezo cha kile alichokifundisha.

👉🏾Yesu Kristo alikuja duniani kama Mkombozi, akilenga kuleta wokovu kwa wanadamu kupitia kifo chake na ufufuo. Aliishi maisha ya kipekee, akiwa mfano wa huruma, upendo, na haki, ili kuonyesha njia ya kutoka katika dhambi na mauti.

Kufa kwake msalabani kulikuwa ni dhabihu ya kimungu iliyolipia dhambi za ulimwengu, na kwa ufufuo wake, alithibitisha ushindi dhidi ya kifo na nguvu za giza. Kama Mkombozi, alikubali kuwa sadaka kwa ajili ya watu, akimwalika kila mtu kuingia katika uhusiano wa moja kwa moja na Mungu na kupokea neema ya wokovu.

👉🏾Yesu Kristo alikuja duniani kama Baba mwenye huruma, akionyesha upendo na msamaha wa Mungu kwa wanadamu. Alifundisha kwamba Mungu ni Baba anayewapenda na kuwakaribisha wote, akisisitiza kuwa huruma yake haina mipaka, na kwamba kila mtu anathamani mbele ya Mungu, bila kujali makosa yao.

JE UJIO WA PILI WA YESU KRISTO UTAKUWAJE?.

👉🏾Yesu Kristo atarudi kama Hakimu mwenye haki, atakayehukumu kwa usawa na haki kwa kila mtu kulingana na matendo yao. Katika Ufalme wake, hakutakuwa na upendeleo wala ubaguzi, kwani atahukumu kwa ukamilifu na uadilifu, akizingatia mioyo ya watu pamoja na matendo yao.

Huu utakuwa wakati wa malipo, ambapo wale waliotenda mema wataingia katika furaha ya Mungu, na wale waliokataa haki na upendo wa Mungu watajumuika na matokeo ya kutokuwa na haki.

TUNAPOELEKEA KUMALIZA MWAKA 2024 ,YATUPASA TUTAFAKARI KWA KINA!

👉🏾Kristo alisisitiza kuwa "mtumishi wa wote atakuwa mkubwa," je, tunajitahidi kuwa na roho ya huduma na kujitolea kwa ajili ya wengine katika jamii zetu?

👉🏾Je, tunajitahidi kufuata mfano wa Kristo katika kuwa na upendo usio na masharti, hasa kwa wale wanaotuchukia au kutudhulumu?

👉🏾Je, tunapoishi katika ulimwengu uliojaa migogoro, tunapataje amani ya kweli kama Kristo alivyofundisha, ambayo hutoka ndani ya roho na si nje ya hali ya kisiasa au kijamii?

👉🏾Je, tunapojiandaa kumaliza mwaka, tunajiuliza vipi kuhusu mchango wetu katika kuleta amani na usawa katika familia, jamii, na taifa letu?

👉🏾Kristo alionyesha mfano wa huduma kwa wengine, si kwa kujipatia umaarufu, bali kwa kuwasaidia wanyonge na maskini – je, tunapataje mfano huu katika siasa za sasa, ambapo mara nyingi watu hutafuta madaraka kwa manufaa binafsi?

Mwisho tunanaona jinsi Krismasi inavyokuwa kipindi cha kutafakari upendo na mabadiliko tunayoweza kuleta duniani, kwa kufuata mfano wa Yesu Kristo, ambaye alileta nuru na amani kwa ulimwengu uliojaa giza. Ni wakati wa kujuliza: Je, tunatoa upendo na msamaha kama alivyofundisha Kristo, na tunaishi kwa amani na haki?

Mwaka mpya wa 2025 unapoanza, ni fursa ya kuishi kwa dhati, kwa roho ya huruma na haki. Tunajiuliza: Je, tunaweza kuwa vyombo vya mabadiliko, kutenda matendo mema, na kuishi kwa upendo wa kweli, kama alivyofundisha Kristo? Huu ni wakati wa kujenga ndani na kutekeleza kwa vitendo kile tunachokiamini.
~mwanazuoni PhD
Asante kwa homilia nzuri na iliyo sahihi.

Kwa kuongeza kidogo sana, tukumbuke kuwa YESU KRISTO alikuja Duniani, akauvaa ubinadamu ili atuoneshe jinsi mwanadamu anavyotakiwa kutenda na kuenenda, kwa kadiri ya mpango wa Mungu.

Yesu Kristo alituonesha kuwa kiongozi maana yake ni kuwa mtumishi, yaani wewe uteseke, uumie kwaajili ya faida ya wale unaowaongoza. Tujiulize, sisi kama viongozi wa jamii, viongozi wa Serikali, viongozi wa dini, viongozi wa familia, tunakubali kuteseka kwaajili ya wale tunaowaongoza? Au tupo tayari kuwatesa tunaowaongoza kwaajili ya manufaa yetu?

Yesu Kristo, tumwitae BWANA alijishusha, akakubali kuteseka, kuimwaga damu yake, hadi kufa, kifo cha msalaba kwaajili yetu. Hata kama hatuwezi kufanya kama alivyofanya, tujiulize hata katika huu udhaifu wetu, tunajitahidi kwa kiasi gani?
 
Kwa nini huyo Yesu amruhusu huyo adui apande magugu, ilhali alikuwa na uwezo wa kumdhibiti na kumzuia huyo adui asipande magugu tangu mwanzoni?

Au huyo Yesu alifanya makusudi kuacha ngano na magugu vikue pamoja?

Kwa nini Yesu hakumzuia huyo adui asipande magugu tangu mwanzoni?
In sapientia et misericodia dei ( katika huruma na hekima ya Mungu )
👉🏾Warumi 11:33-34:
👉🏾Zaburi 103:8-12:
👉🏾Ufunuo 22:12:
 
Asante kwa homilia nzuri na iliyo sahihi.

Kwa kuongeza kidogo sana, tukumbuke kuwa YESU KRISTO alikuja Duniani, akauvaa ubinadamu ili atuoneshe jinsi mwanadamu anavyotakiwa kutenda na kuenenda, kwa kadiri ya mpango wa Mungu.

Yesu Kristo alituonesha kuwa kiongozi maana yake ni kuwa mtumishi, yaani wewe uteseke, uumie kwaajili ya faida ya wale unaowaongoza. Tujiulize, sisi kama viongozi wa jamii, viongozi wa Serikali, viongozi wa dini, viongozi wa familia, tunakubali kuteseka kwaajili ya wale tunaowaongoza? Au tupo tayari kuwatesa tunaowaongoza kwaajili ya manufaa yetu?
Asante sana mkuu Bamsi🙏,Mungu akubariki sana
 
Mengine ni Dogma … refer ( dogma datur christianis) 😂 umenijibu kisabato na mihemko mikali be polite
Kwanini kila anayepinga upagani mnasema msabato?

Ok

Mk 7:9
Akawaambia, Vema! Mwaikataa amri ya Mungu mpate kuyashika mapokeo yenu.
 
Back
Top Bottom