NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
Mungu alishaweka sheria tule vyakula vifuatavyo
Wanyama - wawe wenye kwato + miguu ya kupasuka kati + mwenye kucheua
walioruhusiwa: Ng;ombe, mbuzi, kondoo, swala, nyati, n.k
wasioruhusiwa: Nguruwe, Kobe, punda, mbwa, nyau, panya, n.k.
Samaki - wawe na magamba + mapazi
walioruhusiwa: Kambale, dagaa, n.k.
Wasioruhusiwa: Pweza, Kasa, papa, kaa, chunusi, n.k.
Ndege:
Walioruhusiwa: kuku, bata mzinga, bata, njiwa, kanga, n.k.
wasioruhusiwa: Bundi, Popo, Kuguru, vulture, Mwewe, mbuni, n.k.
wadudu: wawe wana uwezo wa kuruka na wana miguu maalum kwajili ya kuruja
vilivyoruhusiwa: senene, nzige, senene, panzi n.k
visivyoruhusiwa: nzi, vipepeo, buibui, n.k.
Reptiles: hawa hawaruhusiwei kabisa kuliwa kuanzia kenge, chura, nyoka, konokono, n.k
Hata watu wanaokula baadhi ya visivyoruhusiwa huwa wanakula karibu vyote vilivyoruhusiwa kwa amani, iweje huko kwa ambavyo havijaruhusiwa wnachagua sana na vingi wanaona si sawa, mfanomtu anapenda nguruwe ila anaona nzi kwake si sawa ?
Kumbambikia Yesu kusafisha vyakula'
Yesu akiwa na wanafunzi wake waliokuwa na njaa walipopita sehemu ya mahindi walianza kuyachuma na kuyala bila kuosha mikono, kwa sheria za mafarisayo kula bila kunawa waliona kinachoingia kinamtia mtu unajisi, mafarisayo walipoanza kumbana Yesu ajieleze ndipo aliposema kwa mtu kufanya kinachonajisi ni kile kinachomtoka rohoni kinachomfanya atende dhambi na wala si kinachomuingia kwa kula bila kuosha mikono.
Kuna yale maneno ya kwenye mabano ya nyongeza kwamba kwa kusema hivi Yesu alivitakasa vyakula vyote, maneno yoyote ya kwenye mabano huwa ni mawazo binafsi ya watu wengine, hivyo Yesu hakuzungumzia lolote kuhusu kutakasa vyakula.
Tujiepushe na tukae mbali sana kwa vyakula ambavyo havikutakaswa, hivi wewe unaweza kula nzi, kupe, buibui, nyau, nk?
Wanyama - wawe wenye kwato + miguu ya kupasuka kati + mwenye kucheua
walioruhusiwa: Ng;ombe, mbuzi, kondoo, swala, nyati, n.k
wasioruhusiwa: Nguruwe, Kobe, punda, mbwa, nyau, panya, n.k.
Samaki - wawe na magamba + mapazi
walioruhusiwa: Kambale, dagaa, n.k.
Wasioruhusiwa: Pweza, Kasa, papa, kaa, chunusi, n.k.
Ndege:
Walioruhusiwa: kuku, bata mzinga, bata, njiwa, kanga, n.k.
wasioruhusiwa: Bundi, Popo, Kuguru, vulture, Mwewe, mbuni, n.k.
wadudu: wawe wana uwezo wa kuruka na wana miguu maalum kwajili ya kuruja
vilivyoruhusiwa: senene, nzige, senene, panzi n.k
visivyoruhusiwa: nzi, vipepeo, buibui, n.k.
Reptiles: hawa hawaruhusiwei kabisa kuliwa kuanzia kenge, chura, nyoka, konokono, n.k
Hata watu wanaokula baadhi ya visivyoruhusiwa huwa wanakula karibu vyote vilivyoruhusiwa kwa amani, iweje huko kwa ambavyo havijaruhusiwa wnachagua sana na vingi wanaona si sawa, mfanomtu anapenda nguruwe ila anaona nzi kwake si sawa ?
Kumbambikia Yesu kusafisha vyakula'
Yesu akiwa na wanafunzi wake waliokuwa na njaa walipopita sehemu ya mahindi walianza kuyachuma na kuyala bila kuosha mikono, kwa sheria za mafarisayo kula bila kunawa waliona kinachoingia kinamtia mtu unajisi, mafarisayo walipoanza kumbana Yesu ajieleze ndipo aliposema kwa mtu kufanya kinachonajisi ni kile kinachomtoka rohoni kinachomfanya atende dhambi na wala si kinachomuingia kwa kula bila kuosha mikono.
Kuna yale maneno ya kwenye mabano ya nyongeza kwamba kwa kusema hivi Yesu alivitakasa vyakula vyote, maneno yoyote ya kwenye mabano huwa ni mawazo binafsi ya watu wengine, hivyo Yesu hakuzungumzia lolote kuhusu kutakasa vyakula.
Tujiepushe na tukae mbali sana kwa vyakula ambavyo havikutakaswa, hivi wewe unaweza kula nzi, kupe, buibui, nyau, nk?