Yesu ni Mungu hilo halina ubishi

Yesu ni Mungu hilo halina ubishi

Maghayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2014
Posts
20,307
Reaction score
47,210
Inakuwaje wanajamvi!

Yesu mtu wangu wa nguvu wewe ni Mungu hilo halipingiki shikilia hapo hapo mwanangu tulio wengi tuko nyuma yako.

Tunakupenda na kamwe hatutaacha kukuabudu.

JESUS FIRST JESUS FOREVER

JESUS IS GOD

HUNIAMBII KITU KUHUSU YESU
 
Hapani Sio Kweli Masihi Mwana Wa Mariamu ni Mjumbe Tu Wa Allah Na Sio Mungu Na Hilo Atakuja Kulikataa Mwenyew Siku Ya Qiama Kama Alivyosema Allah Akatika Suurat Al Maaidah...

وَإِذْ قَالَ اللَّـهُ يَا عِيسَى ابْنَ مَرْيَمَ أَأَنتَ قُلْتَ لِلنَّاسِ اتَّخِذُونِي وَأُمِّيَ إِلَـٰهَيْنِ مِن دُونِ اللَّـهِ ۖ قَالَ سُبْحَانَكَ مَا يَكُونُ لِي أَنْ أَقُولَ مَا لَيْسَ لِي بِحَقٍّ ۚ إِن كُنتُ قُلْتُهُ فَقَدْ عَلِمْتَهُ ۚ تَعْلَمُ مَا فِي نَفْسِي وَلَا أَعْلَمُ مَا فِي نَفْسِكَ ۚ إِنَّكَ أَنتَ عَلَّامُ الْغُيُوبِ ﴿١١٦﴾

116. Na pindi Allaah Atakaposema: Ee ‘Iysaa mwana wa Maryam! Je, wewe uliwaambia watu: Nifanyeni mimi na mama yangu kuwa ni waabudiwa wawili badala ya Allaah? (‘Iysaa) atasema: Subhaanak! (Utakasifu ni Wako). Hainipasi mimi kusema yasiyo kuwa haki kwangu. Ikiwa nimesema hayo basi kwa yakini Ungeliyajua. (Kwani) Unayajua yale yote yaliyomo katika nafsi yangu, na wala mimi sijui yale yaliyomo katika Nafsi Yako, hakika Wewe Ni Mjuzi wa Ghaibu(Yaliyojificha).

مَا قُلْتُ لَهُمْ إِلَّا مَا أَمَرْتَنِي بِهِ أَنِ اعْبُدُوا اللَّـهَ رَبِّي وَرَبَّكُمْ ۚ وَكُنتُ عَلَيْهِمْ شَهِيدًا مَّا دُمْتُ فِيهِمْ ۖ فَلَمَّا تَوَفَّيْتَنِي كُنتَ أَنتَ الرَّقِيبَ عَلَيْهِمْ ۚ وَأَنتَ عَلَىٰ كُلِّ شَيْءٍ شَهِيدٌ ﴿١١٧﴾

117. Sijawaambia (lolote) ila yale tu Uliyoniamrisha kwamba: Mwabuduni Allaah Rabb (Mola) wangu na Rabb wenu. Na nilikuwa juu yao shahidi wakati nilipokuwa nao. Uliponikamilishia muda Ukanichukua juu, Ulikuwa Wewe Ndiye Mwangalizi juu yao. Na Wewe Ni Mwenye Kushuhudia kila kitu.

إِن تُعَذِّبْهُمْ فَإِنَّهُمْ عِبَادُكَ ۖ وَإِن تَغْفِرْ لَهُمْ فَإِنَّكَ أَنتَ الْعَزِيزُ الْحَكِيمُ ﴿١١٨﴾

118. Ukiwaadhibu, basi bila shaka hao ni Waja Wako, na Ukiwaghufuria(Ukiwasamehe) basi hakika Wewe Ndiye Mwenye Enzi ya Nguvu Asiyeshindika, Mwenye Hikmah wa yote.[36]
 
Na Ushahid Mwingne Katika Qur an Wa Kufahamisha Kuwa Masihi Mwana Wa Mariam Ni Mtu Ni Katika Hiyo Hiyo Suurat Al Maaidah Allah Aliposema



مَّا الْمَسِيحُ ابْنُ مَرْيَمَ إِلَّا رَسُولٌ قَدْ خَلَتْ مِن قَبْلِهِ الرُّسُلُ وَأُمُّهُ صِدِّيقَةٌ ۖ كَانَا يَأْكُلَانِ الطَّعَامَ ۗ انظُرْ كَيْفَ نُبَيِّنُ لَهُمُ الْآيَاتِ ثُمَّ انظُرْ أَنَّىٰ يُؤْفَكُونَ ﴿٧٥﴾

75. Al-Masiyh mwana wa Maryam si chochote ila ni Rasuli (Mtume) tu, wamekwishapita kabla yake Rusuli (wengine). Na mama yake ni Muumini mkweli wa dhati. Wote wawili walikuwa wanakula chakula. Tazama jinsi Tunavyowabainishia Aayaat (Ishara, Hoja, Dalili) kisha tazama vipi wanavyoghilibiwa.


Yesu ni mtume sio mungu wala sio mwana wa mungu turudini katika haqqi ndugu zangu kwa ufahamu wa salafy swaaleh
 
Na Ushahid Mwingne Katika Qur an Wa Kufahamisha Kuwa Masihi Mwana Wa Mariam Ni Mtu Ni Katika Hiyo Hiyo Suurat Al Maaidah Allah Aliposema



مَّا الْمَسِيحُ ابْنُ مَرْيَمَ إِلَّا رَسُولٌ قَدْ خَلَتْ مِن قَبْلِهِ الرُّسُلُ وَأُمُّهُ صِدِّيقَةٌ ۖ كَانَا يَأْكُلَانِ الطَّعَامَ ۗ انظُرْ كَيْفَ نُبَيِّنُ لَهُمُ الْآيَاتِ ثُمَّ انظُرْ أَنَّىٰ يُؤْفَكُونَ ﴿٧٥﴾

75. Al-Masiyh mwana wa Maryam si chochote ila ni Rasuli (Mtume) tu, wamekwishapita kabla yake Rusuli (wengine). Na mama yake ni Muumini mkweli wa dhati. Wote wawili walikuwa wanakula chakula. Tazama jinsi Tunavyowabainishia Aayaat (Ishara, Hoja, Dalili) kisha tazama vipi wanavyoghilibiwa.


Yesu ni mtume sio mungu wala sio mwana wa mungu turudini katika haqqi ndugu zangu kwa ufahamu wa salafy swaaleh
Sasa wewe unakuja na ushahidi wa quran pekee huku quran hiyo hiyo inakuagiza uheshimu vitabu vikuu vya mwenyezi Mungu ambavyo ni ;
1. Torati
2. Zaburi
3. Injili ambamo ni habari za Yesu mfalme mkuu.
4. Quran yenyewe
Sasa kwa nini mnapingana na Kitabu cha Injili ambacho quran yenu inakitambua?
 
Sasa wewe unakuja na ushahidi wa quran pekee huku quran hiyo hiyo inakuagiza uheshimu vitabu vikuu vya mwenyezi Mungu ambavyo ni ;
1. Torati
2. Zaburi
3. Injili ambamo ni habari za Yesu mfalme mkuu.
4. Quran yenyewe
Sasa kwa nini mnapingana na Kitabu cha Injili ambacho quran yenu inakitambua?
Injili ya kweli haijasema yesu ni mungu hebu fuatilia kuhusu tawrati na injili ni kitu gani watu waisraail wamevifanyia hvyo vitabu vitakatifu mpka allah akateremsha qur an kusahihisha yale ambayo wanawaisrail wameyaharibu.

masihi kakiri katk qur an kwa yale yaliyokuja katika injili

وَإِذْ قَالَ عِيسَى ابْنُ مَرْيَمَ يَا بَنِي إِسْرَائِيلَ إِنِّي رَسُولُ اللَّـهِ إِلَيْكُم مُّصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيَّ مِنَ التَّوْرَاةِ وَمُبَشِّرًا بِرَسُولٍ يَأْتِي مِن بَعْدِي اسْمُهُ أَحْمَدُ ۖ فَلَمَّا جَاءَهُم بِالْبَيِّنَاتِ قَالُوا هَـٰذَا سِحْرٌ مُّبِينٌ﴿٦﴾

6. Na pale ‘Iysaa mwana wa Maryam aliposema: Enyi wana wa Israaiyl! Hakika mimi ni Rasuli(Mtume) wa Allaah kwenu mwenye kusadikisha yaliyo kabla yangu katika Tawraat, na mwenye kubashiria kuja kwa Rasuli baada yangu jina lake Ahmad(Muhammadi).[4] Basi alipowajia kwa hoja bayana, walisema: Hii ni sihiri bayana.
 
Mungu kweli na mtu kweli, alizaliwa bila kuumbwa na mwenye Umungu mmoja na baba' ameshuka Toka mbinguni kwa ajili yetu sisi wanadamu!!

Akili zetu ni ndogo na nyepesi kujadili mambo ya kimungu, yaliyo juu zaidi kiimani!!!
 
Binafsi inaniuma sana kuona ndugu zangu waafrika wakigombana hadi kufikia hatua ya kutweza utu wao kisa hadithi za kiarabu za zama za chuma.

Hadithi ambazo hazina kichwa wala miguu na zaidi zinachochea figra mgando tu.

Dunia imeshavuka huko ndugu zangu achaneni na hekaya za miungu.
 
Back
Top Bottom