ukiwa unafikiri kwa kutumia ma----ko ndo athari zake kwaujinga huu Acha waseme mungu hayupoHivi wewe hasa unataka nini?. Yeye aliuweka mdomo anashindwaje kula?. Alyeuweka m***ndu atashindwaje kun**a?. Acha zako wewe.
basi itakuwa yesu alikuwa unhinged,kwani huwezi ukawa unajiita wewe mwenyewe mtoto wangu wakati ni wewe mwenyewe,kuna kitu hakiko sawa ama labda alikuwa anatumia mvinyo kupita kiasi.
Unakumbuka ile siku alipokuwa na njaa kali akaufuata mti ili apate matunda na alipokosa matunda akaulaani mti kwa hasira?
au siku alipowatuma wafuasi wake wakachukue punda wa mwanakijiji bila ruksa ya menye punda ili apande kuingia jerusalem kama mfalme?wakati hakuwa mfalme
Halaf huwa wanasema wanamrespect yesu.. Hiv Muhammad alimuoa Aisha na umri gani vile....? Hata kwenye Islam Yesu yupo alive , muhammad amekufa yesu ndo atakayerudi in siku ya mwisho kujudge ulimwengu na kuiongoza dunia na sio muhammad na hivi vyote vipo kwenye vitabu vyenu... Imeandikwa kwenye Quran kuwa Allah hawezi kushare judging power na kiumbe chochote na katika majina 99 ya allah moja wapo ni The jugdge iweje yesu ndiye atakayejudge ulimwengu kama yeye sio mungu .. Imeandikwa pia mungu pekee ndo muumbaji lakini kwenye Quran inaonyesha kuwa yesu anao uwezo wa kuumba hata kama ni kwa ruhusa ya allah ruhusa haimuondolei mtu uwezo wa kufanya kitu ..conclusion Yesu ni Mungu.
ha ha ha,tuliza mzuka,huu mchezo hautaki hasira,we tuambie tu unatumia vigezo gani kusema yesu ni mungu,hebu tuanzie hapo kwanza......Halaf huwa wanasema wanamrespect yesu.. Hiv Muhammad alimuoa Aisha na umri gani vile....? Hata kwenye Islam Yesu yupo alive , muhammad amekufa yesu ndo atakayerudi in siku ya mwisho kujudge ulimwengu na kuiongoza dunia na sio muhammad na hivi vyote vipo kwenye vitabu vyenu... Imeandikwa kwenye Quran kuwa Allah hawezi kushare judging power na kiumbe chochote na katika majina 99 ya allah moja wapo ni The jugdge iweje yesu ndiye atakayejudge ulimwengu kama yeye sio mungu .. Imeandikwa pia mungu pekee ndo muumbaji lakini kwenye Quran inaonyesha kuwa yesu anao uwezo wa kuumba hata kama ni kwa ruhusa ya allah ruhusa haimuondolei mtu uwezo wa kufanya kitu ..conclusion Yesu ni Mungu.
Good..bless youMbona allah anatumia waislamu kufanya jihadi kuua makafiri.. Kwenye Quran anasema ataadhibu makafir kupitia mikono yenu.. Kwa nini asiadhibu yeye nwenyewe.? Kwa nini watu wajilipue kwa kufanya jihadi wakati alah anaweza kutumia seconds tu kutengeneza bomu.
Vigezo tunavyo tumia ni >ha ha ha,tuliza mzuka,huu mchezo hautaki hasira,we tuambie tu unatumia vigezo gani kusema yesu ni mungu,hebu tuanzie hapo kwanza......
Hapo Yesu aliongea akiwa ktk hali ya ubinadamu kamili,..jee Mungu hawezi maajabu hayo?¿
Vigezo tunavyo tumia ni >
Maandiko ambayo yalikuwepo hata kabla ya muhammad hajazaliwa!; hadi Allah kwa itikadi hiyo ya Wakristo amewapa darja ya ucha Mungu na Usomi, ref.Quran.5:82!...
kama maandiko yapi kwa mfano,hebu weka hapa tuone...Vigezo tunavyo tumia ni >
Maandiko ambayo yalikuwepo hata kabla ya muhammad hajazaliwa!; hadi Allah kwa itikadi hiyo ya Wakristo amewapa darja ya ucha Mungu na Usomi, ref.Quran.5:82!...
Halaf huwa wanasema wanamrespect yesu.. Hiv Muhammad alimuoa Aisha na umri gani vile....? Hata kwenye Islam Yesu yupo alive , muhammad amekufa yesu ndo atakayerudi in siku ya mwisho kujudge ulimwengu na kuiongoza dunia na sio muhammad na hivi vyote vipo kwenye vitabu vyenu... Imeandikwa kwenye Quran kuwa Allah hawezi kushare judging power na kiumbe chochote na katika majina 99 ya allah moja wapo ni The jugdge iweje yesu ndiye atakayejudge ulimwengu kama yeye sio mungu .. Imeandikwa pia mungu pekee ndo muumbaji lakini kwenye Quran inaonyesha kuwa yesu anao uwezo wa kuumba hata kama ni kwa ruhusa ya allah ruhusa haimuondolei mtu uwezo wa kufanya kitu ..conclusion Yesu ni Mungu.
Jn 1:3 then Jn 1:14..kama maandiko yapi kwa mfano,hebu weka hapa tuone...
Wakristo wa kanisa lipi
waliopewa hiyo daraja ya ucha mungu, wakatoliki, walokole, jehovah winesses ......,??
Acha uongo Quran gani? Kwny Quran yesu ni mtume wa mungu,kwa maana nyingine ni mtu acha uongi weweYesu Kristo anajulikana katika Quran kama Neno la Mungu.roho ya Mungu kuna maana gani hapo.Mungu aliumba kila kitu kutumia neno.je neno ni nani
Kwenda kuleeCha kufurahisha ni vile Yesu kristo Mungu wetu anavyo wasumbua wengi. Wenzetu hawa wenye mungu katili muuaji, mchochezi wa mauaji ulimwenguni kote, kiasi anawauwa hata wale wanaomwamini wanahangaika kweli kutafuta ukweli kuhusu uungu wa Yesu. Cha ajabu hata hawajishungulishi kujiuliza ni mtume huyu aliyeacha balaa ulimwengu mzima hauna amani. Niwashauri, mtume aliyetumwa na mungu wa mafarakano ndo wamtafakari.
We kweli hujielewi haya nioneshe kwny hiyo aya iliposema yesu ni roho.Tatizo lenu mnakariri Mambo hamna hata hata ELIMU KIROHO,situkan QURAN YENU NDIO INASEMA HIVYO,soma,17:85,View attachment 407574View attachment 407578
Sura ngumu umeeleza vyema kabisa, na mwenye macho aone na mwenye sikio asikieUkweli unauma lakini hakuna budi lazima tuuseme tu,,
Swali lako lina make sense sana,hvi mungu na uwezo wote aliokua nao,apoteze muda eti azaliwe,akue ,eti ndo aje kuwalingania binadamu.muna underestimate uwezo wa mungu ntukufuu ,mungu alimleta binadamu mwenzenu tena aliezaliwa kwa miujiza ili mujiongoe wenyewe.atakae bisha byeeeeeSasa kama ana uwezo wa kila kitu kwa nini atumie nguvu kujibadilisha binadamu ili watu wamwelewe kwa nini asitumie seconds tu kuwafanya binadamu wabadilike?
Unamwambia mwenzio asiifikirie atawehuka,kwasababu unataka mwenzio asijiulize maswali magumu ambayo bible haijibu.Usilewe mtoto mzuri eh.
Jenga tabia ya kuwa unaisoma bible kama hukupitia sundayschool, anzia mwanzo mpaka ufunuo.
Kama huwezi acha kuifikiria utawehuka.
Jibu swali ,ni yupi mwenye mamlaka hapo? Usikimbie kimbie, jibu nani ana mamlaka? Yesu au baba wa mbinguni,usilete kiswahili kiswahili hapa huku unakimbia swali la msingiNikakujibu mkuu kuliko ni mwenye mamlaka.hujaelewa wapi???