Hahaha ,mkuu hawawezi kukujibu ,kwasababu Anachoamini ni uongo,je atapata wapi majibu?Sasa wewe mbona unataka kubadilika kutoka kwenye majibu uliotoa mwanzoni. Haya tufanye majibu yale ya mwanzo ulikosea haya twende unavyotaka wewe saivi. Umesema kuwa yesu alivyokuwa duniani alivaa mwili wa ubinadamu. Je yesu alivyovaa mwili je baba aliyekuwa mbinguni ndio huyo huyo yesu? Au baba ni baba na yesu ni yesu (mwana?)
Wewe embu tuliza akili yako.acha akili zenu za majini.bible inasomwa kwa akili kubwa sio hizi za kutokea kulia kwenda kushoto utadata, sawa?Jibu swali ,ni yupi mwenye mamlaka hapo? Usikimbie kimbie, jibu nani ana mamlaka? Yesu au baba wa mbinguni,usilete kiswahili kiswahili hapa huku unakimbia swali la msingi
Bible haijakosa jibu.yeye ndiye kipofu.Unamwambia mwenzio asiifikirie atawehuka,kwasababu unataka mwenzio asijiulize maswali magumu ambayo bible haijibu.
Swali lako lina make sense sana,hvi mungu na uwezo wote aliokua nao,apoteze muda eti azaliwe,akue ,eti ndo aje kuwalingania binadamu.muna underestimate uwezo wa mungu ntukufuu ,mungu alimleta binadamu mwenzenu tena aliezaliwa kwa miujiza ili mujiongoe wenyewe.atakae bisha byeeeee
Surat ANN NISAA AYA YA 172Yesu Kristo anajulikana katika Quran kama Neno la Mungu.roho ya Mungu kuna maana gani hapo.Mungu aliumba kila kitu kutumia neno.je neno ni nani
Inamaana hujui kama bible imekuwepo kabla ya mtume wenu kuja kuwakamata.au unazuga?????kama maandiko yapi kwa mfano,hebu weka hapa tuone...
Hahaha wakorinto huna akili.Wewe embu tuliza akili yako.acha akili zenu za majini.bible inasomwa kwa akili kubwa sio hizi za kutokea kulia kwenda kushoto utadata.sawa??????.
Hahaha wakorinto huna akili.
Waliotajwa hapo.Wakristo wa kanisa lipi
waliopewa hiyo daraja ya ucha mungu, wakatoliki, walokole, jehovah winesses ......,??
Ndio hatukatai injili ilikuepo kabla ya mtume wetu.na yesu tunamtambua na kumuheshimu na kumuombea mema kama mtume wa mwenyezimungu alietumwa kwa watu wake. Kila mtume alitumwa kwa watu wake,mbn hamuabudu Ibrahim?Inamaana hujui kama bible imekuwepo kabla ya mtume wenu kuja kuwakamata.au unazuga?????
Acha kuruka ruka wewe, kwny lugha ya kiarabu wingi unaanzia namba tatu ndomana kwny aya nyingi inaongea km wingi hayo mambo ya holy trinity ni yenuNa sijui ni Mungu yupi anayesemwa katika wingi??? wakati mnatuaminisha Mungu ni mmoja, agawanyiki wala kuzidishwa...sasa kwa nini kwenye hiki kitabu chenu anatumia wingi....Mungu mmoja nafsi tatu..baba, mwana na roho mtakatifu.....
And We have created you in pairs (male and female, tall and short, good and bad, etc.).(8)----An-Naba 78:8
Ndio hatukatai injili ilikuepo kabla ya mtume wetu.na yesu tunamtambua na kumuheshimu na kumuombea mema kama mtume wa mwenyezimungu alietumwa kwa watu wake. Kila mtume alitumwa kwa watu wake,mbn hamuabudu Ibrahim? Au yakobo nao si mitume? Jibu ni kua hata nyinyi hamupaswi kumfata yesu/issa bcz nyinyi sio watu wake aliotumwa kwenu. Mtume wenu ni Mohammad s.w bisha utakavyo huo ndo ukweli.kama yesu ni mungu mbn Hugo yesu alikua anaomba msaada wa mungu? Mungu gani? Anajiomba mwenyewe?? Tumia akili za kawaida.
And I will pray the Father, and He will give you another Helper, that He may abide with you forever (John 14:16).”Wewe muhamad hawezi kuwa mtume wangu mimi.hakuna popote kwenye bible yangu ametajwa kuja/wala kutabiriwa.
Utume wa Yesu kwenu sisi hautuhusu, mnajua nyinyi wenyewe mjishughulishe naye vipi.ila sisi kwetu huyu ni Mungu.
Yohana 1:1-18 soma ukiwa umetulia acha wenge.
And I will pray the Father, and He will give you another Helper, that He may abide with you forever (John 14:16).”Wewe muhamad hawezi kuwa mtume wangu mimi.hakuna popote kwenye bible yangu ametajwa kuja/wala kutabiriwa.
Utume wa Yesu kwenu sisi hautuhusu, mnajua nyinyi wenyewe mjishughulishe naye vipi.ila sisi kwetu huyu ni Mungu.
Yohana 1:1-18 soma ukiwa umetulia acha wenge.
Mkorinto,njoo hapa nimekuletea verse ya bible inayo predict kuja kwa mtume wa watu wrote.njoo ubishe sasaWewe muhamad hawezi kuwa mtume wangu mimi.hakuna popote kwenye bible yangu ametajwa kuja/wala kutabiriwa.
Utume wa Yesu kwenu sisi hautuhusu, mnajua nyinyi wenyewe mjishughulishe naye vipi.ila sisi kwetu huyu ni Mungu
Yohana 1:1-18 soma ukiwa umetulia acha wenge.
Unaijua Quran au unabisha ilimrad umeonekana?Acha uongo Quran gani? Kwny Quran yesu ni mtume wa mungu,kwa maana nyingine ni mtu acha uongi wewe
Usikurupuke ,hekima umuokoa MTU kiwango changu cha Ilim ya dini hakilingan na chako,by the fuata unachokiamn!!.We kweli hujielewi haya nioneshe kwny hiyo aya iliposema yesu ni roho.
Umejuaje kama hakilingani? Wewe ni muongo.PERIOD!!!Usikurupuke ,hekima umuokoa MTU kiwango changu cha Ilim ya dini hakilingan na chako,by the fuata unachokiamn!!.
Sibishani nawewe, nakufundisha.And I will pray the Father, and He will give you another Helper, that He may abide with you forever (John 14:16).”
Mkorinto,njoo hapa nimekuletea verse ya bible inayo predict kuja kwa mtume wa watu wrote.njoo ubishe sasa
Wewe pia huijui! Kama unaijua nioneshe aya inayosema yesu ni roho.Unaijua Quran au unabisha ilimrad umeonekana?
Kwikwikwikwi wakorinto nimekunyooshaa! Explain hayo verse ya bible ndo uje uniambie mm nikasome.Haya endelea soma john 14:17-27.
Then uje uniambie mudi wako katajwa wapi????