Wanqoshutumu Yesu ni kwqvkuwa alijifanya yeye ni sawa na Mungu (Yohana 5:18 - Basi kwa sababu hiyo Wayahudi walizidi kutaka kumwua, kwa kuwa hakuivunja sabato tu, bali pamoja na hayo alimwita Mungu Baba yake; na Yohana 10:30 - Mimi na Baba tu umoja".
Lakini wafuasi wake hawakumwona Yesu kama sawa ba Mungu, hata Paulo kwenye waraka wake kwa Wafilipi 2:9 anaandika "Kwa hiyo tena Mungu alimwadhimisha mno, akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina". Ni hakika Paulo hakuamini Yesu alikuwa Mungu.
Hivyo basi ni vizuri tutofautishe Mungu, Mwana wa Mungu na Umungu. Mungu ni mmoja aliyeumba mbingu na dunia. Wanadamu wote ni wana wa Mungu. Yesu ni mwana wa Mungu mwenye Jina lipatalo Majina yote kwa kuwa ana Umungu.