Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

Yesu si Mungu, Paulo ana kesi ya kujibu

Status
Not open for further replies.
tatizo mkuu mistari inapigana,huku inadai mtoto wa mungu,huku inadai mwanaume,kule anadai mwenyewe katumwa,halafu huku paul nae akidai ni mungu mkuu,
pale tena unakuta kumbe jina lake halisi ni Emanuel,etc?
Sasa tushike lipi hapa,hasa ukichukulia mwenyewe hajasema yeye ni mungu?
YESU SIO EMANUEL.

EMANUEL MAANA YAKE "MUNGU PAMOJA NASI"

Issaya alivyo tabiri alimaanisha MAKAFIRI wata mwita YESU MUNGU(yaani watasema Mungu pamoja nasi)

kwa hivyo huo ni utabiri tu kuwa watu watamuona au watamwita Yesu mungu ili hali sio.

Yesu jina lake ni hilo YESU,,, hana jengine zaid Issa, Jesus, na yote yana maana moja.
 
Mungu mwenyewe unayetaka tumjadili Alishakufaga......
Hivi hadi leo mtu unajadili kuhusu sijui Mungu,Ukristo,Uislam???......Wastage of time!
 
biblia kapewa mtume gani ? hakunaga kitabu cha mungu kinachoitwa biblia.

Ndivyo ulivyofundishwa sio kosa lako hili swali inakupasa umuache ajiulize Mkristo mwenye imani yake sio wewe muislam ujiulize, pia Mkristo sio kazi yake kujiuliza au kutaka kujua kuran ilidondoka kutoka juu au iliandikwa pangoni coz silo alilofundishwa hilo ni lako wewe Muislam kujiuliza,hizi imani ni zakutuongoza kuishi kwa kuhishiamiana na kuvumiliana na haya yatawezekana kama Mkristo akakamata Bible akawahubiria wakristo wenzake pia Musilam akakamata kuruan akawahubiria Waislam wenzake ili kama kuna atakaevutiwa atahamia upande wa pili but haya mambo ya kuchukua vifungu kutoka hapa na pale kuja kuulizana humu nikupoteza tu muda, jiombee nafsi yako usitegemee kuwa utakuwa na Sir_Mimi au hata baba au mama yako utakapohesabiwa mema au mabaya yako fikiri nje ya box broder.
 
YESU SIO EMANUEL.

EMANUEL MAANA YAKE "MUNGU PAMOJA NASI"

Issaya alivyo tabiri alimaanisha MAKAFIRI wata mwita YESU MUNGU(yaani watasema Mungu pamoja nasi)

kwa hivyo huo ni utabiri tu kuwa watu watamuona au watamwita Yesu mungu ili hali sio.

Yesu jina lake ni hilo YESU,,, hana jengine zaid Issa, Jesus, na yote yana maana moja.
isaya hakuwa anamtabilia yesu,hebu kaisome vizuri hiyo haya,alikuwa anamtabilia mfalme ahaz kama sikosei ukifuata mtiririko wote wa aya utaona huo kweli,sijui ilikuaje wanasema isaya alimtabilia kuzaliwa kwa yesu,ngoja nitafute nikuwekee hapa usome kisha ufanye judgement mwenyewe
 
YESU SIO EMANUEL.

EMANUEL MAANA YAKE "MUNGU PAMOJA NASI"

Issaya alivyo tabiri alimaanisha MAKAFIRI wata mwita YESU MUNGU(yaani watasema Mungu pamoja nasi)

kwa hivyo huo ni utabiri tu kuwa watu watamuona au watamwita Yesu mungu ili hali sio.

Yesu jina lake ni hilo YESU,,, hana jengine zaid Issa, Jesus, na yote yana maana moja.
Kijana haya mambo yana kuzidi kimo kama umemaliza quran yote kuisoma nenda kafundishe wenzio hiyo.hii huiwezi.
 
tatizo mkuu mistari inapigana,huku inadai mtoto wa mungu,huku inadai mwanaume,kule anadai mwenyewe katumwa,halafu huku paul nae akidai ni mungu mkuu,
pale tena unakuta kumbe jina lake halisi ni Emanuel,etc?
Sasa tushike lipi hapa,hasa ukichukulia mwenyewe hajasema yeye ni mungu?
Mkuu ukiona kiatu kinapwaya mguuni jua ni kikubwa kukuzidi sio saizi yako.usije sema kimekosewa kutengenezwa.

Hivi niwaulize swali moja nyinyi waislam,

Huwa mnapata kiherehere kutoka wapi kuifungua bible,mnatafuta nini mule ambacho mnahisi labda labda kinapungua kwenye msahafu?

Naomba jibu.
 
YESU SIO EMANUEL.

EMANUEL MAANA YAKE "MUNGU PAMOJA NASI"

Issaya alivyo tabiri alimaanisha MAKAFIRI wata mwita YESU MUNGU(yaani watasema Mungu pamoja nasi)

kwa hivyo huo ni utabiri tu kuwa watu watamuona au watamwita Yesu mungu ili hali sio.

Yesu jina lake ni hilo YESU,,, hana jengine zaid Issa, Jesus, na yote yana maana moja.


Ukiisoma Biblia kwa miwani ya vitabu vingine vinavyotambulika kuwa ni vitakatifu utapotea kabisa. Isome yenyewe ikifundishe yenyewe kwani Biblia inatafsiri Biblia. Sa wewe unamsemea Isaya Nabii kuwa alichokisema sicho! Haya unamshitaki Paulo kwa hilo mbona Yohana ndiye aliyesema kwa wazi kabisa juu ya uungu wa Yesu wala humtaji? Tena Yohana anasema Yesu alikuwako na kushiriki uumbaji na alikuwako kwa Mungu naye "Neno" alikuwa Mungu. Sijui kama unajua ya kwamba sifa moja ya uungu ni uumbaji? Hata kwa kutumia utaratibu wa kujenga hoja wa Sokorati utakubali ya kuwa Yesu ni Mungu. Hebu tujaribu.

Kweli No 1. Mungu pekee tu ndiye anayeumba
Kweli No. 2. Yesu alishiriki uumbaji wa dunia na vyote vilivyomo kama fundi stadi
Kweli No. 3 Yesu ni Mungu

Halafu juu ya Issa ama nani ipo shule moja ya ----- inakataa kuwa Yesu si Issa bali ni Yasuh al Masih. Yasuh ipo karibu sana na viini vya lugha za mashariki vinavyolizunguka jina la Yesu hususan Kiebrania kama vile Yeshua na Yoshua. Issa ipo mbali sana. Kiingereza ni Jesus, Kiyunani ni Iesou, wapo wanaolitamka Jezu, ama Jesu. Issa ipo mbali sana. Wale wataalamu niliowataja hapo juu -------wanasema Issa alizaliwa chini ya mtende ila Yasuh Al Masih katika zizi la ngombe kama inavyosema Biblia.
 
YESU SIO EMANUEL.

EMANUEL MAANA YAKE "MUNGU PAMOJA NASI"

Issaya alivyo tabiri alimaanisha MAKAFIRI wata mwita YESU MUNGU(yaani watasema Mungu pamoja nasi)

kwa hivyo huo ni utabiri tu kuwa watu watamuona au watamwita Yesu mungu ili hali sio.

Yesu jina lake ni hilo YESU,,, hana jengine zaid Issa, Jesus, na yote yana maana moja.
ETI MAKAFIRI,NGOJA NIKUFUNDISHE MAKAFIRI NI KINA NANI,
1475095246551.jpg
MSIKITI WANAJENGA DINI GAN?JIB UNALO
 
isaya hakuwa anamtabilia yesu,hebu kaisome vizuri hiyo haya,alikuwa anamtabilia mfalme ahaz kama sikosei ukifuata mtiririko wote wa aya utaona huo kweli,sijui ilikuaje wanasema isaya alimtabilia kuzaliwa kwa yesu,ngoja nitafute nikuwekee hapa usome kisha ufanye judgement mwenyewe
We hamnazo kwanin msisome vitu kwa makin ndo mchallenge ujinga?Biblia hamjui,mnachojua ni kujitoa MHANGA,kajifunge hata mabom huko coz dini yako inaruhus,HAPA KINACHOELEZW NI NIN NA UNACHOBISHA
1475095898965.jpg
NI NN?
 
Wacha kudanganya , WEWE KAMA SI MCHUNGAJI MWENYE NJAA KALI, MAXI SHIMBA UTAKUWA NI MWANAFUNZI WAKE


sura alhadeed haisemi hivyo ,

unajaribu KUCHUKUWA AYA ZA QURAN NA KUZICHANGANYA NA ZA BIBLIA , UNAMPAKAZIA YESU UUNGU


KATAFUTE MAVI YA KUKU UBANJE


HII HAPA NI SURA AL H`ADIID

57 - AL -H'ADIID

KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.


1.Kinamsabihi kumtakasa Mwenyezi Mungu kila kiliomo ndani ya mbingu na ardhi. Na Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima.


2.
Yeye ndiye Mwenye ufalme wa mbingu na ardhi. Anahuisha na anafisha. Na Yeye ni Mwenye uweza wa kila kitu.


3.
Yeye ndiye wa Mwanzo na ndiye wa Mwisho, naye ndiye wa Dhaahiri na wa Siri, naye ndiye Mjuzi wa kila kitu.


4.
Yeye ndiye aliye ziumba mbingu na ardhi katika siku sita; kisha akakaa vyema juu ya enzi. Anayajua yanayo ingia katika ardhi na yanayo toka humo, na yanayo teremka kutoka mbinguni, na yanayo panda humo. Naye yu pamoja nanyi popote mlipo. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuyaona mnayo yatenda.


5.
Ufalme wa mbingu na ardhi ni wake. Na mambo yote yanarejeshwa kwa Mwenyezi Mungu.


6.
Anaingiza usiku katika mchana, na anaingiza mchana katika usiku. Na Yeye ni Mwenye kuyajua yaliomo vifuani.


7.
Muaminini Mwenyezi Mungu na Mtume wake; na toeni katika alivyo kufanyeni nyinyi kuwa ni waangalizi wake. Basi walio amini miongoni mwenu, na wakatoa, wana malipo makubwa.


8.
Na mna nini hata hamumuamini Mwenyezi Mungu na hali Mtume anakuiteni mumuamini Mola wenu Mlezi? Naye amekwisha chukua ahadi yenu, ikiwa nyinyi ni Waumini.


9.
Yeye ndiye anaye mteremshia mja wake Aya zinazo bainisha wazi ili akutoeni gizani muingie kwenye nuru. Na hakika Mwenyezi Mungu kwenu ni Mpole, Mwenye kurehemu.


10.
Na mna nini hata hamtoi katika Njia ya Mwenyezi Mungu, na hali urithi wa mbingu na ardhi ni wa Mwenyezi Mungu? Hawawi sawa miongoni mwenu wenye kutoa kabla ya Ushindi na wakapigana vita. Hao wana daraja kubwa zaidi kuliko wale ambao walio toa baadae na wakapigana. Na wote hao Mwenyezi Mungu amewaahidia wema. Na Mwenyezi Mungu anazo khabari za mnayo yatenda.


11.
Ni nani atakaye mkopesha Mwenyezi Mungu mkopo mwema, ili amrudishie mardufu, na apate malipo ya ukarimu.


12.
Siku utakapo waona Waumini wanaume na Waumini wanawake, nuru yao iko mbele yao, na kuliani kwao: Furaha yenu leo - Bustani zipitazo mito kati yake mtakaa humo milele. Huko ndiko kufuzu kukubwa.


13.
Siku wanaafiki wanaume na wanaafiki wanawake watapo waambia walio amini: Tungojeni ili tupate mwangaza katika nuru yenu. Waambiwe: Rejeeni nyuma yenu mkaitafute nuru! Utiwe baina yao ukuta wenye mlango - ndani yake mna rehema, na nje upande wake wa mbele kuna adhabu.


14.
Watawaita wawaambie: Kwani vile hatukuwa pamoja nanyi? Watawaambia: Ndiyo, lakini mlijifitini wenyewe, na mkasitasita, na mkatia shaka, na matamanio ya nafsi zenu yakakudanganyeni. mpaka ilipo kuja amri ya Mwenyezi Mungu, na mdanganyifu akakudanganyeni msimfuate Mwenyezi Mungu.


15.
Basi leo haitapokelewa kwenu fidia, wala kwa wale walio kufuru. Makaazi yenu ni Motoni, ndio bora kwenu; na ni marejeo maovu yalioje!


16.
Je! Wakati haujafika bado kwa walio amini zikanyenyekea nyoyo zao kwa kumkumbuka Mwenyezi Mungu na haki iliyo teremka? Wala wasiwe kama walio pewa Kitabu kabla yao, muda wao ukawa mrefu, kwa hivyo nyoyo zao zikawa ngumu, na wengi wao wakawa wapotovu.


17.
Jueni kwamba Mwenyezi Mungu huifufua ardhi baada ya kufa kwake. Tumekubainishieni Ishara ili mpate kuzingatia.


18.
Kwa hakika wanaume wanao toa sadaka, na wanawake wanao toa sadaka, na wakamkopesha Mwenyezi Mungu mkopo mwema, watazidishiwa mardufu na watapata malipo ya ukarimu.


19.
Na walio muamini Mwenyezi Mungu na Mitume wake, hao ndio Masidiqi na Mashahidi mbele ya Mola wao Mlezi. Wao watapata malipo yao na nuru yao. Na walio kufuru na wakakadhibisha Ishara zetu, hao ndio watu wa Motoni.


20.
Jueni ya kwamba maisha ya dunia ni mchezo, na pumbao, na pambo, na kujifakhirisha baina yenu na kushindana kwa wingi wa mali na watoto. Mfano wake ni kama mvua ambayo huwafurahisha wakulima mimea yake, kisha hunyauka ukayaona yamepiga manjano kisha yakawa mabua. Na akhera kuna adhabu kali na magh**** kutoka kwa Mwenyezi Mungu na radhi. Na maisha ya dunia si chochote ila ni starehe ya udanganyifu.


21.
Kimbilieni msamaha wa Mola wenu Mlezi, na Pepo ambayo upana wake ni kama upana wa mbingu na ardhi, iliyo wekewa walio muamini Mwenyezi Mungu na Mitume wake. Hiyo ndiyo fadhila ya Mwenyezi Mungu, humpa amtakaye. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye fadhila kuu.


22.
Hautokei msiba katika ardhi wala katika nafsi zenu ila umekwisha andikwa katika Kitabu kabla hatujauumba. Hakika hayo kwa Mwenyezi Mungu ni mepesi.


23.
Ili msihuzunike kwa kilicho kupoteeni, wala msijitape kwa alicho kupeni. Na Mwenyezi Mungu hampendi kila anaye jivuna akajifakhirisha.


24.
Ambao wanafanya ubakhili, na wanaamrisha watu wafanye ubakhili. Na anaye geuka, basi Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujitosha, Msifiwa.


25.
Kwa hakika tuliwatuma Mitume wetu kwa dalili waziwazi, na tukateremsha Kitabu pamoja nao na Mizani, ili watu wasimamie uadilifu, na tumeteremsha chuma chenye nguvu nyingi na manufaa kwa watu, na ili Mwenyezi Mungu amjue anaye mnusuru Yeye na Mitume wake kwa ghaibu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu Mwenye kushinda.


26.
Na bila ya shaka tulimtuma Nuhu na Ibrahim, na tukaweka katika dhuriya zao Unabii na Kitabu. Basi wapo miongoni mwao walio ongoka, na wengi katika wao ni wapotovu.


27.
Tena tukafuatisha nyuma yao Mitume wengine, na tukamfuatisha Isa bin Mariamu, na tukampa Injili. Na tukajaalia katika nyoyo za walio mfuata upole na rehema. Na umonaki (utawa wa mapadri) wameuzua wao. Sisi hatukuwaandikia hayo, ila kutafuta radhi za Mwenyezi Mungu. Lakini hawakuufuata inavyo takiwa kuufuata. Basi wale walio amini katika wao tuliwapa ujira wao. Na wengi wao ni wapotovu.


28.
Enyi mlio amini! Mcheni Mwenyezi Mungu, na muaminini Mtume wake, atakupeni sehemu mbili katika rehema yake, na atakujaalieni muwe na nuru ya kwenda nayo. Na atakusameheni. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.


29.
Ili watu wa Kitabu wajue kwamba wao hawana uweza wowote juu ya fadhila za Mwenyezi Mungu. Na fadhila zote zimo mikononi mwa Mwenyezi Mungu. Humpa amtakaye. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye fadhila kuu.
ETI MUISLAM,HATA QURAN YENYEW HUJUI NA UNAIKATAA,UTAIWEZ BIBLE?NIMEKUWEKEA HIYO SURA UNAYOIKANA(ETI NIMEDANGANYA THEN ONYESHA WAP NIMEBADILISHA)MUISLAM UBWABWA!!.
1475096965642.jpg
Quotation yang ilikuw aya ya 3!!..
 
We hamnazo kwanin msisome vitu kwa makin ndo mchallenge ujinga?Biblia hamjui,mnachojua ni kujitoa MHANGA,kajifunge hata mabom huko coz dini yako inaruhus,HAPA KINACHOELEZW NI NIN NA UNACHOBISHAView attachment 408658 NI NN?
punguza hasira mkuu,haya mambo hayataki hasira,subiri nakuletea hiyo aya ya isaya ..
By the way hizo link unazoweka sidhani kama kuna mtu anafungua,bora uweke peupe tu,watu wengine tunaogopa virus hatuclick
 
Mungu pamoja nasi. Hakukumaanishwa kuwa yesu ni Mungu yupo pamoja na binadamu. Bali ni kwamba Kutokana na dhambi walizokuwa wanatenda waisrael ndipo Mungu akaleta mwalimu kwaajili ya kuwafundisha njia sahihi ya Mungu ambaye ndio yesu. Hivyo Mungu alikuwa pamoja nao hakuwaacha wanaisrael wapotee nawala hakuja maanisha kuwa yesu ni Mungu.

Matayo 1:21-22

Atajifungua mtoto wa kiume, nawe utampa jina Yesu, kwa kuwa yeye atawaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao."
1:22 Basi, haya yote yalitukia ili litimie lile neno Bwana alilosema kwa njia ya nabii:
Unaona tatizo lilipo? Maana ya neno utafsiriwa tofauti. Baki na tafsiri yako na sie wengine tutabaki na yetu. Ubaya zaidi hayupo aliepewa huo ujumbe ili atuambie maana halisi. Kama umemuomba Mungu akakufungulia kua huo mstari unamaanisha hivyo basi hongera.

Na mimi nimemuomba Mungu na tafsiri alionipa ni kua Yesu ni Mungu aliletwa duniani na ili kuweza kutuokoa ilibidi achukue umbo la kibinadamu na kua mtu.
 
Nilichoeleza mimi ni kwamba Yesu sio Mungu. Na ndio maana nimetoa andiko la yohana 20:17 yesu akisema kuwa Mungu wake anayemuabudu yeye ndio Mungu wetu sisi sote. Sasa toa wewe ufafanuzi wa yohana 20:17
Alivyokua duniani Yesu alijivua uungu. Ndo mana akawa anamtegemea Mungu baba!
Angekua Mungu akati yuko duniani hasingezaliwa, hasingesikia njaa, hasingeweza jaribiwa na hasingekufa. Yesu alichukua ubinadamu ili aishi duniani.
 
Kama ni Mungu au mtu itakusaidia nini wewe? waache wenye kuabudu ni Mungu waabudu hivyo na waache wasioamini hivyo waendelee kama kweli siku ya mwisho ipo tutajua nani alikosea na nani hakukosea haina haja ya kulumbana.

Nenda kafanye kazi sio kujiumiza katika mambo yasiyokusaidia au umetumwa na unarejesha (retirement)?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom