Manabii na mitume tunaowasoma kwenye biblia walikuwa ni watu wa kuhangaika kutokana na kukataliwa na watu na watawala kutokana na ujumbe waliobeba kuwa kama ncha ya upanga kwa kukata na kupenya kunako. Mtume Paulo pamoja na kuwa mtume wa mataifa hatukuwahi kusikia alimiliki utajiri bali alihubiri injili kwa mahangaiko na mateso makubwa.
Lakini hawa kizazi hiki wanaishi maisha ya kifahari, kujenga mahekalu na mahoteli ya nyota kadhaa na kula bata bila kupata msukosuko wowote, tukisema ni wa mchongo tutakuwa tumekosea?
Lakini hawa kizazi hiki wanaishi maisha ya kifahari, kujenga mahekalu na mahoteli ya nyota kadhaa na kula bata bila kupata msukosuko wowote, tukisema ni wa mchongo tutakuwa tumekosea?