Yesu wa Kenya anaenda kusulubishwa, manabii na mitume wa mchongo wakae kwa tahadhari

Manabii na mitume tunaowasoma kwenye biblia walikuwa ni watu wa kuhangaika kutokana na kukataliwa na watu na watawala kutokana na ujumbe waliobeba kuwa kama ncha ya upanga kwa kukata na kupenya kunako. Mtume Paulo pamoja na kuwa mtume wa mataifa hatukuwahi kusikia alimiliki utajiri bali alihubiri injili kwa mahangaiko na mateso makubwa.

Lakini hawa kizazi hiki wanaishi maisha ya kifahari, kujenga mahekalu na mahoteli ya nyota kadhaa na kula bata bila kupata msukosuko wowote, tukisema ni wa mchongo tutakuwa tumekosea?
 
Huko jirani, wadau wanataka kumjambisha yule yesu wa mchongo, wanataka kumsulubisha kwa kadiri ya maandiko wakitarajia ufufuko wake siku ya tatu, je sisi tunasubiri nini? Hawa mitume na manabii wa mchongo inabidi wachezee vichapo.
Kenya ni wajaribishaji wa kila kitu
 

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Utapeli mtupu. Si wanaona mkono wa Sheria hauwezi kuwafikia ndio maana Kila kukicha Kuna mtume na nabii mpya. Yaani matapeli wamepata a safe haven kwenye kichaka Cha dini/Imani. Hawaguswi na mtu wanatapeli wapendavyo!
 
inabidi sasa tuwaletee shida ila maandiko yatimie, nabii hakubaliki kwao
 
Utapeli mtupu. Si wanaona mkono wa Sheria hauwezi kuwafikia ndio maana Kila kukicha Kuna mtume na nabii mpya. Yaani matapeli wamepata a safe haven kwenye kichaka Cha dini/Imani. Hawaguswi na mtu wanatapeli wapendavyo!
Wakinyooshwa akili zao zitakaa sawa
 
Tatizo watu mnajikuta wajuaji sana. Mtu anamkashifu mwenzake anae amini mitume na manabii wakati huo na yeye kuna mwanasiasa anamuamini na pia ni muumini wa chama fulani.

Wote nyie ni wale wale hamna tofauti. Brain washed!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…