mimi nalima tikiti morogoro ila kwa bei ya mia tano kwa tikiti wakati dar linauzwa elfu 3 huu ni ufisadi kumbe wakina EL mko wengi
inaeza kutoa tikiti adi 1500 kama yakizaa yote na kutegemea upandaji na uzaaji ila 1500 is maximum...gharama mara nyingi ni laki kama tatu na nusu
Mnunuzi wa matikiti maji nitafute mwakani.
Inshallah